Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,658
- 38,356
Sasa mtu kama retired ana nini cha maana?Huyo Pascal Mayalla mmempa kamserereko
Mngempambanisha na Allen Kilewella au Retired
Mkaona mmfanyie uteuzi Ili asikose hata humu JF, eti!?
Sasa mtu kama retired ana nini cha maana?Huyo Pascal Mayalla mmempa kamserereko
Mngempambanisha na Allen Kilewella au Retired
Mkaona mmfanyie uteuzi Ili asikose hata humu JF, eti!?
Mwaka uhu eh![]()
Kuna watu wa jukwaa fulani wana masham sham kuliko wengine!!
Fuatilia utaona. Majukwaa mengine ni kama hawajaona kinachoendelea!!Jukwaa gani
Muhimu maisha hayagandiFuatilia utaona. Majukwaa mengine ni kama hawajaona kinachoendelea!!
Anacho Cha maana ndiyo maana nimemuandika hapoSasa mtu kama retired ana nini cha maana?
Nipo invisible modeSema ww umetukimbia sikuiz kule
Aisee.. hongereni🖐️Habari wana JF,
Jamii Forums inatambua mchango wa wanachama wake walioshiriki mijadala vizuri kwa mwaka 2022. Mchakato huo ulikuwa wa wazi na shirikishi. Kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa jukwaani washindi wetu ni kama ifuatavyo.
Jukwaa Mshindi Kura Jokes 47% Kilimo na Uvuvi 68% Technology 93% Celebrities 28% MMU 69% Siasa 49% Michezo 49% Afya 58% Garage 40% Lugha 56% Elimu 54% International & Kenyan 62% & 83% Historia No competitor Photos & Habari na Hoja & Intelligence 83% & 50% & 32% Biashara na uchumi 42% Chef No competitor Sheria No competitor Entertainment 82%
Kwa wote ambao wametajwa katika orodha hii, mnaomba kuingia inbox ili kujua utaratibu wa kuchukua zawadi zenu Mtapokea ujumbe kutoka kwa ID official ya JamiiForums.
NB: Utaratibu wa kuchukua tuzo hautahusisha kufichua utambulisho wa mwanachama yeyote.
Hongereni sana.
Oh good siku moja jitokezeNipo invisible mode
Aina kabaya dingiiiOh good siku moja jitokeze
Nimecheka mpaka basi. JF raha mno.Kwani GENTAMYCINE yupo serious, we jiteue tu na wewe unakua karisimatiki fela, gem chenja na intateina kama Mr. Genta
hongera wewe kuwa na rafiki mm nina mabestito kama Mshana Jr nahisi atanikumbuka kavocha tu maana simituzo mwananguUkiona washindi wote hao hauna rafiki hata mmoja jitafakari sana , ndio mambo ya darasani kua na marafiki vilaza hufiki popote, sasa nimecheki hapo kwenye list sio mbaya marafiki zangu karibu 6 wameshine sana
Kwa niaba yao na Wivu wa Haters nasema Asante na nitawafikishia Wote.Hongera zao
hahahaaaaaaaaaaaaaa yale yale ya ya jinsia ya warumiKwan Cocastica huwa ni jinsia gani?? Maana huwa simwelewagi kabisa!
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app