hahahh... Mswahili wangapi hapa tunapenda ngono? Kama wewe hupendi ni matatizo yako kaka na inaweza kutoa jibu kwanini umemshupalia Zitto, mama yake n.k Nimefuatilia unavyoandika katika mada mbalimbalii. Jambo moja nimegundua ni kuwa hakuna sentensi au hoja utakayosema bila kumtaja mwanakjj. Imefikia mahali kuna mtu kauliza kama kuna beef kati yenu na hata wengine wamefikia mahali pa kufikiria huenda mmezidiana kete. Hata hivyo kwa jinsi unavyoandika mimi nafikiri ni zaidi ya hivyo. Haiwezekani hata kidogo kutaja jina la mwanamme mwenzio kila mara hadi kufikia kutuambia juu ya ugovi wake bila kuwa na sababu kubwa ya msingi.
Nikifuata Freudian psychology, yote inahusiana na frustrations za ngono.
Hivyo nilichotaka kumuuliza ndugu yetu Mswahili, inakuwaje umfikirie mwanamme mwenzio kiasi hicho? Inawezekana kuwa una "manly crush" na huwezi kusikia raha ya roho hadi utaje jina lake? Binafsi sina tatizo na hilo kwani nawajua baadhi ya watu wa pwani walivyo. Sasa kaka kama umempenda au unataka akurudishie penzi ni bora muambiane maana mtu hakujibu, wala kukuacknowledge kila unapomtaja, na wewe huridhiki kila sentensi ni "mwanakijiji hiki, mwanakijiji kile".
Kama kaka tumeshakupoteza kwa "timu ile" basi sawa tunaomba uje clean angalau tujue. Hivyo naomba ndugu Mswahili uje utuambie imekuwaje umtaje taje mwanamme mwenzio hivyo na kwa kila jambo. Mara hukosi kusikiliza radio yake, mara tulimmiss kwa wiki tatu, mara hivi na vile. Sijui mara ya mwisho mwanakijiji kukujibu hapa ilikuwa lini.
Kwa ufupi, kama mnatakana au kama unataka akutake napendekeza mambo hayo myafanye chemba. Mimi pia ni msikilizaji mwaminifu wa karedio kake, lakini wakati ule anaumwa hakusema lolote kuhusu "kukatwa" kwake, kwa vile wewe unajua hilo lote, kwa vyovyote kuna vitu vinaendelea baina yenu nyinyi wawili. So, tafute chumba myamalize.
Na kaka Mwanakjj, kama anataka usimpuuzie tu, mjibu angalau aridhike.
Asante.
Mkuu Es.
Kimya nakusubiri niweke dozi ya mwaka kwa Zitto na hawala yake.
BI Senti 50/ Tanzania njema.
Nimeweka link hapo juu kwa Faida ya BI sent 50 na Mkandara, waliotaka kuwazushia watu wa pwani. kumbe wenzetu tayari wana heleni masikio yote mawili,nitajie mji wa pwani uliooneshwa hapo? Mkandara anazuga kufa kuwa wao hawayawezi kumbe, huko wamepitisha kabisa bungeni toka 2001 anakuja hapa kutuzuga.
BI Senti 50-kila nikitizama picha yako huko kwenye helikopta na kandambili, nacheka sana, ukitizama picha yako ile nyingine uliyopiga ukiwa tayari mbunge kuna tofauti kubwa.
Nayakumbuka maneno ya Kichuguu kuwa ni nyumba inayobeba Nguchilo na n.k na pia Bunge limebeba watu wa ajabu sana kama hawa kina Zitto na watu wao, leo unafikia kuona ninamfuatafuta mwanakjj?
najua wewe una benefit sana na Mwanakjj kumtetea Zitto, kisa mbaya wako AC katoswa, na ndio furaha kwako kwani alivunja mahusiano yako na Zitto.
BI Sent hamsini. binadamu yeyote mwenye akili timamu hathubutu kumuombea mabaya mwenzake with exceptional of Mwanakjj ambaye aliwaombea viongozi wa nchi yetu balaa, yaani Mwenyezi Mungu awalaani, na wewe utakuwa wa pili kumuombea mabaya Amina kwa sababu tu alikula nawe sahani moja.
Naomba ujue hali ya Amina sio nzuri hamjui anaiyeingia wala kutoka. wewe bado una beef naye si ubinadamu,Mpakanjia aliyofanyiwa makubwa kuliko wewe lakini anamsaidia, hao walikuwa wana ndoa halali.
wewe na Zitto mlichokuwa mnafanya ni kinyume na sheria ingawa ndio watunga sheria wetu. kuendelea kumkomalia Amina wakati unajua kabisa yuko ktk hali mbaya si kumtendea haki.
NI SAWA NA JAMAA MMOJA ALIYEAMBIWA KUWA NI VYEMA KUMUOMBEA KHERI KILA BINADAMU MWENZAKE. NA KILA UKIMUOMBEA KHERI UNAPATA MARA MBILI YA VILE ATAKAVYOPATA MTU UNAYEMTAKIA/MUOMBEA KHERI.
JAMAA ALIKUWA NA BEEF NA MWENZAKE AKAONA ATUMIE NAFASI HIYO KUOMBA MWENYEZI MUNGU AMPOFOE (YEYE) JICHO MOJA, ILI NA JIRANI YAKE YAPOFOKE MACHO YOTE MAWILI.
kwa muhtasari huo hapo juu inaoneka na wewe au mwanakjj ambaye tayari ameomba dua mbaya kwa serikali yetu. mnaweza kukubali mpofoke jicho moja ili AMINA awe kipofu kabisa au JK.
just a word of caution always Dua au maombi hutakiwa kuwa positive, Mwenyezi Mungu hakubali dua negative hilo mlijue.
KUMFUATA FUTA MWANAKIJIJI.
Umedai kila maandishi yangu hakosi Mwanakijiji, hilo unanizushia fuatilia posts zangu zote ujisute nafsi yako bi sent 50.
ukweli ni kuwa Mwanakijiji ndiye amekuwa kila habari yake ni kumfuatafuata JK na serikali yake kwa mabaya, hawezi kutoa habari bila kumkandia JK,SERIKALI YAKE au chama chake, nani humu ndani haijui habari hii au crusade ya mwanakijiji kwa JK?
JEE NAYE ANAMTAJA JK ANAMPENDA? KWANINI JK NA SERIKALI YAKE HAIMTOKI MDOMONI? ROHO YAKE INAKOSA FURAHA HADI AMTAJE JK NDIO AWE SHWARI? KAMA BI SENT HAMSINI HAUKO BIAS MAJIBU YA MASWALI YAKO HAYA HAPA.
MWANAKJJ KAPIGA SIMU KWA MSOLLA AKAKATIWA CM, AKAPIGA KWA EL AKAMWAMBIA NIKO BUSY,AKAPIGA KWA MKONO AKAMWAMBIA NIPE MUDA "NITAKUSHUGHULIKIA" MWANAKJJ HAKUTOSHEKA AKAPIGA KWA JK. AKASEMA "MZEE NINA SHIDA, SISI NI WANAFUNZI TUPO NJE TUNAPATA TABUU UKRAINE, KWANZA HAPO KAMDANGANYA RAIS KUJIFANYA YEYE NI SEHEMU YA WANAFUNZI WA UKRAINE NAYE NI MSEMAJI WAO.
LAKINI PAZURI ZAIDI PATAKAPOMALIZA MJADALA WETU KUONA NANI ANAWAFUATA WATU ZAIDI NI SEHEMU HII YA MAWASILIANO YA MWANAKJJ NA JK.
"JK ALIMWAMBIA MWANAKJJ HUKU UMEFIKA MBONA MBALI? NENDA KWA MSOLLA, MWANAKIJJI AKAJIBU KANIZIMIA CM,MZEE NAKUTAKA WEWE TU UNIMALIZIE SHIDA ZANGU,
JK- NIMESIKIA LAKINI HUKU MBALI, AKANGANGANIA TU MWANAKJJ ASAIDIWE NA JK, MUUNGWANA KWA SAUTI YA KIUNGWANA AKAMWAMBIA NENDA KWA MKONO "ATAKUSHUGHULIKIA TU" WALE NDIO WENYEWE KWA MAMBO HAYO.
MWANAKJJ AKASEMA MZEE HANISHUGHULIKII-JK AKASEMA MPE MUDA "ATAKUSHUGHULIA" TU SHIDA ZAKO .
Unapata tafsiri gani BI sent 50? JK anatumia lugha ya kistaraabu kuwa yeye hana mchezo huo mchafu, umepita kote huko kwa kina EL,Msolla n.k,wote hawana shughuli hizo,
mtu anayekufaa ni MKONO kwa vile ni homeboy wake na atajua Musoma wana utaratibu gani wa kushughulikiana.
YAPO mengi ya kutia wasi wasi kwa huyo mtu wako mwanakjj kama vile "jamani kuna mtu ana namba ya Msolla naomba mnPM" mara namba ya Mpendu, mara Spika. huyu ndio mtu wako.
BI sent 50 umesema kuwa pwani ndio mchezo wao huo. sio kweli nimeweka link hapo hakuna mji wa pwani. na hata kama ikiwa hivyo, basi Mwanakjj ndio anakuwa Elton john.
kama umechunguza wazungu wengi wanakwenda Pwani za mombasa au Znz, wengi wao ni jamii ya kina elton john ambao wanahisia kuwa watu wa mwambao makini kwa vile wamerekebisha kalamu zao kama alivyoenda kurekebisha mwanakjj hospital hivi karibuni,
hivyo kama wakishughulikiwa wanapata kitu halisi(natural) ndio utaona wanasingizia kufungua mahoteli ya kitalii kumbe wanataka dozi.
Umehoji vitu vya kijinga sana eti ulijuaje kama Mwakjj yuko, hospital? ile ni kama mtu kenda kufanyiwa operation ya henia na si siri,hata ndugu zetu wamakonde hufanya sherehe kabisa, au utasikia watu wa pwani wanasema fulani na fulani wanatoka siku fulani walikuwa kwa ngariba (natural sio hospital).
dada yetu bi sent 50 . hicho ni kitu cha kawaida kila mtu anakijua kikitokea ktk jamii. labda kwa vile wewe mwanamke umekosea kuliuza hilo swali,ukahisi inafanana na siku wewe "ulipokuwa" ambapo ni jambo la siri. hapana umekosea ni vitu viwili tofauti.
WANABODI
Hapa kuna double standards,watu wanataka tutoke nje ili tusimjadili ZITTO,
Naomba nitoe mfano wangu halisi,lilipokuja suala la Dittopile na dereva wa Dala dala watu walitukana na kujadili sana ingawa wengi wao waliamua kupitishia hasira zao za miaka ya nyuma kuambiwa wana tongo tongo na si wana mji,
kisa DITTOPILE ni mswahili, tulikuwa hatulali,baadhi ya Wanachadema wenye akili fupi wakatumia mwanya ule kupenyeza sera zao. na wenye redio za uvunguni ndio kabisa, wengine wakawa wanatembea na laptop ili kila robo saa achangie mada ya Ditopile.
mimi kama Mswahili sikuthubuti kutetea au kuchangia jambo lolote mle, tena DITO mwana mji mwenzangu, niliacha kwa kuchelea kuwa kuna haki za watu, na kuna wafiwa upande wa pili, na natoa idhini yeyote atayeona andiko langu kule ndio iwe mwisho mimi kuwepo humu.
tuchukulie Ditopile baada ya mwezi na nusu baada ya lile tukio, wakati wana JF wameweka maswali mengi hayana majibu. aje humu na kuchangia topik ya marupurupu ya wanene na asiseme chochote juu ya kadhia yake, jamani tuwe wakweli kungekalika hapa? wangekuja kina Kichuguu nakusema tuachie mahakama? Tanzania njema ungenyamaza? Phillimon mikael ungekaa kimya?
Hivyo hivyo Amina tunaweza kumpoteza wakati wowote na aliyesababisha tunaye humu na tunamkingia kifua. kisa mwana chadema. na watu wako tayari kuandika makala kuwa ccm wanalinda na waoga. sisi humu tunafanya nini? kumbukeni familia za Mpakanjia na Chifupa zinahangaika kama mlivyoona Familia ya Mbonde inahangaka.
Senti 50 na wenzako mnapoteza sifa ya chama kwa kutetea maovu.
SUALA HAPA NI ZITTO LAZIMA TUMJADILI. HAPENDWI MTU HAPA WALA HAPENDELEWI HATA KAMA CHADEMA.