Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,798
- 24,427
Kichuguu,
Umeandika:
"Tatizo letu nadhani ni uwezo wa kuangalia mambo kwa mapana na marefu. Tunataka tuambiwe majibu yanayoendana na mawazo yetu tu; tunashindwa kunyofoa habari tunazotaka kutoka kwenye rundo la habari. Haya ndiyo pia matatizo ya viongozi tulio nao Tanzania ambao pia hawachambui habari na ndiyo maana wakipewa mikataba hawaisomi"
Jitahidi sana kuto ku question abilities za wana JF kwasababu huwajui na haina maana kwamba kama wewe ni researcher basi una tofauti na mwana JF mwingine yeyote. Kinachoendelea hapa ni mapambano ya principles, ni mapamambano ya misimamo ambayo hii JF inatakiwa ifuate huko mbele. Kinachoendelea hapa hakina uhusiano wowote na uwezo wa kuchambua mambo au kutokuwa na uwezo wa kuchambua mambo.
Kiongozi yeyote akiwa na scandal, hapa JF lazima aulizwe maswali tena sio on his own terms huo ndio msimamo wa baadhi yetu. Kundi lingine linaona ngono ni mambo binafsi, sil lazima zijadiliwe hapa. Kuna kundi lingine ambalo linaona Zitto kuwa hapa ni bahati kwa JF kwahiyo tumpe heshima hata pale anapokuwa na makosa, tumpe muda atakapokuwa tayari aje atoe msimamo wake.
Hayo yote ni mapambano juu ya visions za JF. Wanaoandika kila mtu amefanya uchambuzi wa kina kwa uwezo wake. Sasa, kuanza ku question uwezo wa hao watu naona ndio arrogance hizo hizo tunazozipinga hapa.
Kama mnataka mashindano ya kuchambua hoja, anzisheni thread nyingine na tutakuwa tayari huko huko kushindana kwa hoja.
Kwa upande wangu kama alivyoandika hata mzee ES na wengine wote, kinachonisikitisha zaidi ni hili la kujaribu kuzuia watu waache kuuliza maswali, au waache kumjadili Zitto kwasababu tu eti amesema atakuja kujibu on his own terms. Toka lini watu wakazuiwa kujadili au kuuliza maswali hapa JF?
Waacheni watu waendelee kujadili na msianze ku question abilities zao wakati hata watu wenyewe hamuwafahamu. Kama mtu huna la kuongezea kaa kimya na mjadala utaendelea mpaka watu watakapochoka wataacha wenyewe.
JF ina sheria zake, kama mtu amekiuka hizo sheria ndio apewe warning au kuadhibiwa. Lakini sio kwasababu wewe huoni faida ya baadhi ya maswali kuulizwa basi uanze kuwaambia wana JF wengine wasiulize.
Mtanzania nimekusikia loud and clear,
Ila kabla ya kuandika vile nilikuwa nimerudia posts zote zilizokuwa pale kwenye vibweka (ambapo hata hii thread imehamishiwa) na posts zote zilizokuwa kwenye hii thread. Baada ya kulinganisha posts za watu na majibu yao ndiyo maana nikaandika vile. Before that nilikuwa nimetoa summary of events kujibu swali la Mzee ES unaweza kuipata huku nyuma.
Kama nilivyosema huko nyuma, naturally binadamu wengi tuna tabia ya kulaumu wengine wakati matakwa yetu yasipotimia. Ruksa mtu yeyote kutumia jina langu kutoa lawama zake, ila nimetahadharisha tu kuwa itapunguza frustrations na excitement kama tutaweza kuextract information kutoka kwenye garbage. Usitegemee kuwa kila mtu utajayemuhoji atakupa informationa katika form unayotaka, na usipoipata katika form hiyo usilaumu wengine. Imani yangu ni kuwa Jamboforum siyo kilabu cha pombe ambapo watu wanaongea bila kuangalia upya yale waliyoongea,