Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 536
Hakuna kashfa hapa! nimeeleza maisha aliyokulia zitto ndio sababu ya kufanya uovu wake.
BI Sent 50.
tuwekee picha ya harusi ya wazazi wake zitto. hilo litadhibitisha uongo wangu.
Malezi kwa watoto ni muhimu sana. ukiyakosa unaweza kuwa kauzu ukubwani.
Sasa kama ni hivyo ndugu yangui Mswahili kwani kumsakama Zitto na si malezi? Kwani kumkashifu na kumsakama hadi mzazi wake kana kwamba alikosea kumzaa Zitto?
Wataka kutuambia kuwa malezi yako yalikuwa perfect? Kama ni hivyo basi usitumie 'kivuli' (Mswahili) come with your full detaila- jina lako na mahali unapotoka uone ili uwape Wana JF na wakujuao nafasi ya kujadili kuhusu background yako na wazazi wako. Nadhani hutafanya na wakianza kuwajadili wazazi wako utajisikia vibaya sana maana hawakufanya kosa kukuzaa na kukulea pia udhaifu wao have nothing to do with udhaifu wako.
Simtetei Zitto hapa ingawa ni mdogo wangu lakini bado issue ya hii thread bado haihusiani na suala la Zitto bali mustakabali wa Taifa.
BI Sent 50.
tuwekee picha ya harusi ya wazazi wake zitto. hilo litadhibitisha uongo wangu.
Malezi kwa watoto ni muhimu sana. ukiyakosa unaweza kuwa kauzu ukubwani.
Sasa kama ni hivyo ndugu yangui Mswahili kwani kumsakama Zitto na si malezi? Kwani kumkashifu na kumsakama hadi mzazi wake kana kwamba alikosea kumzaa Zitto?
Wataka kutuambia kuwa malezi yako yalikuwa perfect? Kama ni hivyo basi usitumie 'kivuli' (Mswahili) come with your full detaila- jina lako na mahali unapotoka uone ili uwape Wana JF na wakujuao nafasi ya kujadili kuhusu background yako na wazazi wako. Nadhani hutafanya na wakianza kuwajadili wazazi wako utajisikia vibaya sana maana hawakufanya kosa kukuzaa na kukulea pia udhaifu wao have nothing to do with udhaifu wako.
Simtetei Zitto hapa ingawa ni mdogo wangu lakini bado issue ya hii thread bado haihusiani na suala la Zitto bali mustakabali wa Taifa.