Wanene kuongezewa marupurupu

Wanene kuongezewa marupurupu

Laughing Out Loud!

Mswahili bana acha kuzungusha mkuu! Sijafuatilia alikoitwa hivyo na nikipaona I promise to start another session of banning. Haipendezi kuchukua maamuzi ya ban lakini when someone needs it am good in delivering.

Anyway, w/end njema kwa wote and whether I like or not I have to get out of this rid.

Invisible
 
Mswahili,
Come on now, unaelewa nilichosema,ulikuwa Utani. Sasa wanifanya kuamini kabisa kuwa ulitutukana wa bara kwa kusema hatuna ustaarabu.

Hata hivyo kiswahili lugha pana sana msenge kwa lugha yenu pwani ni mtu aliyezubaa hadi wajanja wanachukua mkewe! - Zoba au Fara huitwa msenge au sio?.... nimejifunza kwenu!
Utachukuliwa vipi mkeo kama kweli wewe mwanaume rijali?... aaah jamaa laini sana, yakhe yakhe nyingi hadi mtoto anatafuta makuchi jogoo la kazi. Hata kama mtu achukue mke wangu siwezi kwenda kulalamika kwa Spika!..Tutayamaliza kihuni huni.
 
Mtanzania,
Nimekuelewa lakini issue za udaku ziwe na heading yake.Sio hapa ''wanene waongezewa marupurupu'' unakuta ndani tunajadili uchafu.Nani kalana uroda na nani.Mie nasema issue za udaku ziende sehemu ya udaku,kule watu waseme mpaka wachoke.Mwenye nia ya kujua udaku wa mtu aende kule.
Adm. nakuomba kata issue yeyote bila kujali uanachama wa mtu endapo issue hiyo haitaendana na kichwa cha mada inayojadiliwa na itafutie sehemu yake. Umasikini Afrika kweli hautaisha!
 
Kumbe hapa bado kuna upumbavu hivi. Mara ya mwisho nilijibizana na watu mambo ya kipumbavu mwaka jana na kwa muda mrefu nilidhani ustaarabu umejengeka lakini kumbe bado upumbavu upo.

Kwa jumla Mswahili umeongea upumbavu sana, na umeprove hivyo tena na tena. Una bahati kuwa rais ni ndugu yako, jitahidi umshauri utakavyo na endesheni nchi mtakavyo kwa vile ni swala la upwani na ubara. Nimetunza post yako ulioadress kwa rais kwenye hard disk yangu kwa kumbukumbu zangu na nitaweza kuitumia kwa namna yoyote ile nitayopenda kuonyesha some mentalities za wapwani.

Invisible

??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Mpakanjia ni mtoto wa pwani na kuna msemo unaosema kadri unavyokwenda bara-ndivyo ustaarabu unazidi kupotea.sitegemei mtu wa musoma type ya mwanakijiji, au ZITTO kuwa na uchungu au huruma kwa wagonjwa kwani ustaraabu umewapitia kushoto. ZITTO ACHA ROHO MBAYA KAMUONE AMINA, KWENYE RAHA MLIKUWA WOTE, LEO KWENYE SHIDA HUTAKI KUMJULIA HALI?.

We Mswahili weh!

Ado ado.. Nami natokea mitaa hiyo hiyo naweza nikakuchenjia vilevile.. ebo!
 
Ukisoma mtiririko wa hii mada utakuta ni sehemu chache sana panaongelewa habari ya wanene kujiongezea marupurupu! Sasa nashauri mambo mawili:

i) watu turudi kwenye mada kujadili kama ni sawa kwa wanene hawa kujiongezea marupurupu lundo huku sisi wananchi tukiendelea kupigwa na vumbi, shule na hospitali zikiwa hoi.

au

ii) jina la mada/thread hii libadilishwe liwe:kwa nini lakini? halafu hapo watu wajadili chochote wanachotaka.

Natoa wito pia wananchi wenzangu hapa JF kuchangia na mada zingine ambazo sasa zinaonekana kudoda, kama vile bajeti ili tuwasaidie wabunge wetu kupata mawazo wanapoanza kujadili bajeti siku ya Jumatano. Ni ombi na ushauri tu hasa kwa marafiki zangu ambao hawajachangia kabisa hii mada muhimu!
 
Ndugu yangu mswahili ni lazima uwe tayari kukubali kuwa tatizo liko kwako na unatumia wengine kuepuka ukweli kuwa una matatizo ya kisaikolojia. Kama kuwa mtu wa pwani haupo pekee yako humu na kama suala la chuki za kidini muislamu hauko pekee hapa kaka….

Kwa miaka mingi sana nimekuwa nikisumbuliwa na hili suala la kukejeli neno waswahili ama uswahili ambalo mara nyingi huficha uislam kwa kulihusisha na tabia hovyohovyo na sio uungwana kama ilivyokuwa hapo zamani. Na hili limekuwa linaniuma sana........Lakini kwa jinsi unavyobehave humu nasikitika kuwa unahalalisha prejudice za wengi kuwa waswahili ni watu hovyo na ndio maana mtu kama JK hafai kuwa kiongozi katika jamii ya wale ambao wanajiona kuwa wako civilised yaani wasio waswahili (ama waislamu)

Kuna mengi sana humu kama sio yote unayoongea ni udaku tu unaotegemea ama ushahidi wa vibarazani ama magazeti ya udaku na ndivyo ambavyo watanzania wanaaminishwa kuwa hivyo ndio vyanzo vikuu vya ufahamu wa waswahili.

Nimeona katika uchafu wako wote unaoleta huku upo tayari kuwatetea wale unaona kuwa ni waswahili wenzako(waislamu) and sometime blindly. Kuna mambo mengine umekuwa ukitetea humu wakati ukijua kabisa kwamba yana ukweli.

Lakini zaidi umekuwa ukitetea baadhi ya mambo bila hata ushahid na unajifanya unayajua. Katika ile picha ya kina Dada Muhonga na yule mwengine unayemwita LEILA Mayenga ambayo walipiga katika sherehe nyumbani kwa waziri mkuu katika kikao cha bunge mwaka jana. Kutumia jina la LEILA kunaonyesha dhahiri jinsi ulivyo hovyohovyo kama ambavyo watu wengi huwaidentify waswahili (waislamu). Hivi unajua chanzo cha huyo dada mheshimiwa kuitwa hilo jina. Hivi kweli wewe unamjua huyo Mheshimiwa? Ama kwa sababu siku hizi anajiita LEILA na sio LUCY basi ameshakuwa mfano wa kuigwa na kutumia kuonyesha eti kuwa wengine ni wabaya.

Umekuwa ukibishana na mkandara kuwa katika jamii yako hakuna tatizo la ubaradhuli huku ukijua wazi tofauti iliyokuwepo kati ya jamii ya kimagharibi (ukristo) na jamii ya kiswahili (uislamu) ni kuwa wenzako wamekuwa na na utamaduni wa uwazi na uvumilivu kwa kiasi fulani na ndio maana hayo yanasemwa kwa uwazi lakini sio kuwa wamezidi jamii yako. Unataka kuniambia kuwa waswahili hawana tabia ya ubaradhuli?

Unajua wazi hata hao "wengine" kama Jamaa zake Philomon Michael wamejifunza huo ushenzi kutoka katika jamii yako. Unajua wazi kuwa wakati tabia hiyo inaanza kukua katika jamii zengine nchini kwetu, lakini ubaradhuli umeota mizizi katika jamii za kiswahili kiasi cha kufikia watu wafanyao huo ushenzi kuwa legends katika jamii.

Ndugu yangu mswahili kwa kifupi wewe una tatizo ambalo kwa ujuvi wangu mdogo katika maswala ya afya ya jamii, naweza kusema una identity crisis..

Unachohitaji si kuwakashifu na kuwazulia mambo wengine bali unatakiwa kujiangalia wewe binafsi mapungufu yako (self reflection) halafu kujifunza kubadilika na kuwa mwema zaidi ili unufaike na kuwa na manufaa kwa jamii yetu. Ukiweza hilo ndio utakuwa unajisaidia na kusaidia jamii yako ambayo inahusishwa na staarabu hovyohovyo kutokana na makosa madogomadgo kama unayofanya wewe hapa.

Lingine kaka, niliweka suala la Dr Dau ili kukuchokonoa tu lakini ukweli ni kuwa mimi namjua sana DAU na naijua issue ile A-Z with written proofs na DAU ni mmoja wa watu walionisaidia kufika nilipofika na namuona kama nimuonavyo Zitto kama mmoja wa watu muhimu katika maisha yangu, ya jamii yangu na Tanzania yangu kwa ujumla. Nasikitika kusema kuwa kama katika ule mjadala wa ukabila na ule wa Dr KIMEI, DR DAU alidhalilishwa basi ni kutokana namapungufu yako. Nasikitika kuwa hata mdogo ambaye tupo naye humu alishindwa kuliona hilo na kuendelea kukuunga mkono wakati ukimwanika DAU kwenye zizi la mafisi waliokuwa wakitafuta njia ya kumdisqualify kama ambavyo wanalenga kwa Zitto hivi sasa….

Tanzanianjema
 
kuna siku alichaguliwa mkurugenzi wa idara moja nyeti kwa vile ni mswahili. yalikuja matusi na kejeli nyingi tu kwa JK kumteua huyu bwana. na kigezo kuwa jamaa hajasoma na mengi tu. huyu bwana kabla ya kupewa ukurugenzi mkuu alikuwa mkurugenzi wa utawala na fedha.nilipofanya utafiti wangu nikaona yule aliyeingia ana masters wakati anayeondoka ni kidato cha sita. hapo ndio nikajua kuna crusade ya namna gani kwa JK.


There you ar again ....totaly wrong and blindly......fuatilia who played the cards katika suala hilo and for what purpose halafu uone .......

Tanzanianjema
 
Kitila Mkumbo,

Natoa wito pia wananchi wenzangu hapa JF kuchangia na mada zingine ambazo sasa zinaonekana kudoda, kama vile bajeti ili tuwasaidie wabunge wetu kupata mawazo wanapoanza kujadili bajeti siku ya Jumatano

Hivi kweli mwenzangu bado una tumaini na Bunge hili?..Yaleyale tulokuwa tukisema kuwa sisi wepesi sana kusahau na sasa tunataka kuwa devil's advocates!
Hawa jamaa hawawezikutetea maslahi yako hata kidogo kwa sababu wanapotoka Bungeni huvua majoho ya Ubunge na kuvaa ya Uwaziri! Hawa ndio Ma MP na Ministers hata ktk ID zao huanza na Hon. Minister so and so kisha kwenye mabano inawekwa MP.
Ni vigumu Bunge kuiwajibisha serikali hali Bunge ndio serikali yenyewe.
 
picha johnson lukaza na mh rais kikwete

Hapa rais anatumika kama kijiko cha chipsi ambacho hakiogopi mafuta ya moto au analinda analinda upakuaji chipsi halafu naye anakaa jmvini kula.

jkbu2um4.jpg


http://photos1.blogger.com/x/blogger/3812/1569/1600/299993/bu2.jpg

hii ndiyo kampuni yao.
http://www.prointz.com/
 
Ndugu yangu mswahili ni lazima uwe tayari kukubali kuwa tatizo liko kwako na unatumia wengine kuepuka ukweli kuwa una matatizo ya kisaikolojia. Kama kuwa mtu wa pwani haupo pekee yako humu na kama suala la chuki za kidini muislamu hauko pekee hapa kaka….

Kwa miaka mingi sana nimekuwa nikisumbuliwa na hili suala la kukejeli neno waswahili ama uswahili ambalo mara nyingi huficha uislam kwa kulihusisha na tabia hovyohovyo na sio uungwana kama ilivyokuwa hapo zamani. Na hili limekuwa linaniuma sana........Lakini kwa jinsi unavyobehave humu nasikitika kuwa unahalalisha prejudice za wengi kuwa waswahili ni watu hovyo na ndio maana mtu kama JK hafai kuwa kiongozi katika jamii ya wale ambao wanajiona kuwa wako civilised yaani wasio waswahili (ama waislamu)

Kuna mengi sana humu kama sio yote unayoongea ni udaku tu unaotegemea ama ushahidi wa vibarazani ama magazeti ya udaku na ndivyo ambavyo watanzania wanaaminishwa kuwa hivyo ndio vyanzo vikuu vya ufahamu wa waswahili.

Nimeona katika uchafu wako wote unaoleta huku upo tayari kuwatetea wale unaona kuwa ni waswahili wenzako(waislamu) and sometime blindly. Kuna mambo mengine umekuwa ukitetea humu wakati ukijua kabisa kwamba yana ukweli.

Lakini zaidi umekuwa ukitetea baadhi ya mambo bila hata ushahid na unajifanya unayajua. Katika ile picha ya kina Dada Muhonga na yule mwengine unayemwita LEILA Mayenga ambayo walipiga katika sherehe nyumbani kwa waziri mkuu katika kikao cha bunge mwaka jana. Kutumia jina la LEILA kunaonyesha dhahiri jinsi ulivyo hovyohovyo kama ambavyo watu wengi huwaidentify waswahili (waislamu). Hivi unajua chanzo cha huyo dada mheshimiwa kuitwa hilo jina. Hivi kweli wewe unamjua huyo Mheshimiwa? Ama kwa sababu siku hizi anajiita LEILA na sio LUCY basi ameshakuwa mfano wa kuigwa na kutumia kuonyesha eti kuwa wengine ni wabaya.

Umekuwa ukibishana na mkandara kuwa katika jamii yako hakuna tatizo la ubaradhuli huku ukijua wazi tofauti iliyokuwepo kati ya jamii ya kimagharibi (ukristo) na jamii ya kiswahili (uislamu) ni kuwa wenzako wamekuwa na na utamaduni wa uwazi na uvumilivu kwa kiasi fulani na ndio maana hayo yanasemwa kwa uwazi lakini sio kuwa wamezidi jamii yako. Unataka kuniambia kuwa waswahili hawana tabia ya ubaradhuli?

Unajua wazi hata hao “wengine” kama Jamaa zake Philomon Michael wamejifunza huo ushenzi kutoka katika jamii yako. Unajua wazi kuwa wakati tabia hiyo inaanza kukua katika jamii zengine nchini kwetu, lakini ubaradhuli umeota mizizi katika jamii za kiswahili kiasi cha kufikia watu wafanyao huo ushenzi kuwa legends katika jamii.

Ndugu yangu mswahili kwa kifupi wewe una tatizo ambalo kwa ujuvi wangu mdogo katika maswala ya afya ya jamii, naweza kusema una identity crisis..

Unachohitaji si kuwakashifu na kuwazulia mambo wengine bali unatakiwa kujiangalia wewe binafsi mapungufu yako (self reflection) halafu kujifunza kubadilika na kuwa mwema zaidi ili unufaike na kuwa na manufaa kwa jamii yetu. Ukiweza hilo ndio utakuwa unajisaidia na kusaidia jamii yako ambayo inahusishwa na staarabu hovyohovyo kutokana na makosa madogomadgo kama unayofanya wewe hapa.

Lingine kaka, niliweka suala la Dr Dau ili kukuchokonoa tu lakini ukweli ni kuwa mimi namjua sana DAU na naijua issue ile A-Z with written proofs na DAU ni mmoja wa watu walionisaidia kufika nilipofika na namuona kama nimuonavyo Zitto kama mmoja wa watu muhimu katika maisha yangu, ya jamii yangu na Tanzania yangu kwa ujumla. Nasikitika kusema kuwa kama katika ule mjadala wa ukabila na ule wa Dr KIMEI, DR DAU alidhalilishwa basi ni kutokana namapungufu yako. Nasikitika kuwa hata mdogo ambaye tupo naye humu alishindwa kuliona hilo na kuendelea kukuunga mkono wakati ukimwanika DAU kwenye zizi la mafisi waliokuwa wakitafuta njia ya kumdisqualify kama ambavyo wanalenga kwa Zitto hivi sasa….

Tanzanianjema

Wakuu.

Habari za masiku? Nimeufuatilia huu mjadala kuna mambo muhimu tunaweza kujifunza kwa mustakabali wa Taifa.

Mswahili amekuwa akiandamwa, kwa sababu ya jina lake Mswahili na angekuja na jina Joseph au Smith tungesema anatoa data.

kuna wengi wamesema Mswahili mdini na mkabila, lakini hapa wanajadiliwa waislam watupu Zitto,Amina na Mpakanjia uzuri zaidi kati yao hakuna mchagga.sioni mkristu wala mchaga. tumwambie Mswahili unawashambulia waislamu wenzako. sisi hatufanyi hivyo.

hapa mnamuonea Mswahili, kuna hoja hazijapata majibu sahihi kuna sehemu bi senti 50 anasema Zitto Kabwe alikosa scholarship, ndio akaenda chuo kikuu cha Dar. na Kitila anasema walimshauri afanye hivyo. badala ya bi senti kuja na jibu sahihi anakuja kumkejili Mswahili kwa mambo ya Mwnkjj. hili linaonesha ukwepaji wa hoja.

Zitto Kabwe ndiye aliyevuruga mjadala huu, kwa kurudi kwenye forum kupitia mlango wa uani huku akijua watu wanamsubiri kama mpira wa kona.

Haikuwa busara kuendelea kumtetea Zito huku tukijua ananuka kashfa nzito.

Mswahili ameonesha hana beef na Zitto isipokuwa kwa kuona watu wanamfagilia mhalifu, ukipitia michango ya Zitto kabla ya sakati hili,sioni sehemu ambapo wamekwaruzana na Mswahili.

Mwanakijiji nae amekuwa kikwazo kingine, kila mada ya Chadema lazima achangie positively. utafikiri ana mkataba nao, hili wana JF wanalifumbia macho angekuwa Nungwi mngesikia kelele. kutetea uovu si jambo la kufurahia kwa sababu yeyote itakayotolewa.

Mswahili pamoja na kuwa jina lake hamlipendi, amekuwa neutral kama mmefuatilia mada ya Ditopile alivyodai yeye. hajachangia chochote kumsuport Dito na kwa vile wote ni waswahili wangesaidiana, Mswahili aliweza kuvumilia, ni sawa na Mwanakjj kuweza kuvumilia kuona mada ya Chadema au wanafunzi Ukraine imesomwa na watu elfu 20 na asichangie. ni jambo ambalo haliwezeni lazima atakuwa Bias tu. jamani tunajuana humu tuache unazi.

Kichuguu.

Matusi uliyomwaga humu ni uthibitisho wa ujinga wa wasomi wa Udsm, huwezi kumwambia mwenzako kuwa ********. kila siku mnakesha kumtukana Dr.Warioba wa Mzumbe University, hajawahi kuwaambieni kuwa ni wajinga. ana busara,hekima na uvumilivu mkubwa ambao nyie mnaojifanya malecturer wa Udsm, mmejaa jazba, matusi na upendeleo wa wazi kumsaidia Zito Kabwe sababu alisoma chuo kikuu cha Dar-es-salaam, mjadala huu umenisaidia kujua kuwa Udsm inakula makapi ya Zanzibar University, mtu aliyefukuzwa Zanzibar University watu wa Udsm wamempokea kwa mikono miwili hili ni jambo la aibu sana.

Tanzania Njema au niseme Tanzania Daima.

Historia aliyoitoa Mswahili kuwahujumu waswahili kupitia chuo kikuu cha Dar-es-salaam haina shaka ndani yake. kumekuwa kunapikwa migomo na majungu kila ajapo kiongozi Mswahili.

Kazi ya Dr.DAU inaonekana,labda kwa vile wewe unajibu lako kuwa waswahili ni watu wa ovyo ovyo ndio sababu kuu ya kumpiga vita huyo bwana.

kulikuwa na mada ya Nssf na Mengi ulikuwa wapi TN? hii ni kuonesha chuki zako za wazi kama ambavyo amekuwa akipigwa vita Dr.Warioba. jamani na Dau naye kwa vile Dr. ndio mnamchukia? huyu Dau ni mtu wa UDSM, msimchukie na amelitoa mbali shirika hili,jifunzeni utaratibu wa kusifia pale wanapostahili.DR.Dau hongera kuiongoza Timu yetu ya Taifa kuifunga Burkina Fasso, umeacha shughuli zako uko na vijana bega kwa bega.nimeiamini kamati yako ya oparesheni Ushindi.

jamani tuwe wa kweli wa nafsi zetu, kwangu mimi waswahili ni watu waungwana sana na watu wema.

mlianza kuwabagua Wana Mzumbe kuwa ni wababaishaji, sasa mmewavamia waswahili kuwa ni watu ovyo ovyo.

Nani kiziwi humu? kila JK akifanya mabadiliko akiweka waislamu. tutalalamika weeeeeee. hata pale wakristu tunapokuwa wengi bado tunaona hawa waislam hawastahili na ni watu ovyo ovyo tu ni sehemu ya jamii yetu.

kwa muda mrefu JK amekuwa akichagua wakristu sana hivi karibuni toka wakuu wa wilaya, afisa tawala wa mikoa, kundi la mawaziri waliochaguliwa kipindi cha Membe kupewa mambo ya nje, hakuna muislam japo wa dawa aliyechaguliwa.tulilala kwa salama na amani.

tufuatilie makatibu wakuu wamechaguliwa hivi karibuni wote ni wakristu, tabaka gani tunajenga? alipochaguliwa Adadi kuliwaka moto, Mkuu wa usalama wa Taifa ilikuwa balaa. huu si ustarabu ndugu zangu.

Mswahili.

Ushauri wangu kwako. kitendo cha kutumia jina halisi imekuwa tabu kwako. ungejaribu kuiga ulimbukeni wa Udsm, kujipa majina ya kizungu kama DR.Augustine Moshi, au John Walker hapo ungepata heshima kubwa kama Es.

Ulichokisema hapa nakupongeza sana kijana wangu.usiwaogope ndio tabia yao hawa walijaribu kumfuatafuata DR.warioba na kuanzisha mada za uongo na majungu juu yake leo wamenyamaza, nilipambana nao kwa nguvu zote walipotaka kuharibu jina la kiona mbali au tochi ya Taifa letu.

Ukisikia Dau analalamikiwa sababu pale kuna msomi toka chuo kikuu cha Mzumbe kama naibu waziri wa wizara ya Dau, kwao wao lengo ni kumchafua DR.Nchimbi. huyu chizi Bi senti 50, muulize DR.Nchimbi wamemtaja mara ngapi humu?na amewahi kuwajibu? au wanataka bakora yake? aliyelikoroga Zito lakini wao wamekazana na DR.Nchimbi tu.

Mswahili.

Wewe mtu matata sana, nakuuliza jee Mwanakijiji alifanikiwa kushughulikiwa na mzee Mkono?

WanaJF.

Mada hapa ni Zitto msilete matusi, graduate wa Udsm kavunja nyumba ya watu hiyo ndio kesi iliyopo hapa. msijaribu kupindisha topic au muelekeo wa mada hii.
 
sasa ni vizuri sana na hii inaonyesha mapinduzi ndani ya jamboforums, maana kwa muda mrefu sasa baadhi ya majina ya watu walikuwa top humu, na sasa naona vijana wapya wanaingia kwa nguvu zaidi na points za maana, vizuri sana !!
vile vile sio vibaya kwa wakongwe humu ( kwa maana wenye post nyingi ) kuachwa kwenye mataa na vijana wenye mitazamo mipya na sio kupelekeshwa tu mtu mmoja !! hongereni sana. hakuna anayeogopewa humu, hakuna aliye zaidi, kila mtu ana uhuru wa kujieleza ( which am doing now ) n.k. na nyie mnaweza mkasema mnachojisikia vile vile. amkeni wakongwe otherwise mtakuta jahazi si lenu tena !!
 
Nimechelewa kufuatilia mada hii kwa hiyo sitaweza kujibu kila tuhuma niliyohuhiswa na watu mbalimbali ila nitazijibu kwa jumla ifuatavyo.

(a) Kwa wanaforum wote: Kuna mahali nimesema Mswahili na Masatu walinijibu "kipuuzi" na naona kama jibu hili limetafrisiwa na baadhi kuwa ilikuwa ni kuwatukana jamaa hawa kuwa wana tabia ya kipuuzi. Hapana, sikulitumia kama tusi, nilikuwa nasisitiza kuwa waliyokuwa wameadika sehemu fulani yalikuwa ya kipuuzi. Kuna mambo circumstantial aliyoandika Mswahili huko nyuma kuhusu Zitto ambayo hayakuwa ya kipuuzi na nilikubaliana naye, lakini kuna ambayo yalikuwa ni ya kipuuzi na pia nilimweleza hivyo. Kwa kujua kuwa jamaa hawa huwa wanaandika mambo yasiyo ya kipuuzi ingawa hapa wameandika ya kipuuzi, ndiyo maana sikusema kuwa wao ni "wapuuzi" ila nilisema waliandika "upuuzi." Hata hivyo nawaomba radhi wote kwa usumbufu usiotegemewa uliotokana na matumizi ya neno hilo.

(b) Kwa wanaforum wote: Nilimwandika Mswahili kuwa ameandika "upumbavu" nadhani nayo ikachukuliwa kwa uzito sana kuwa nilimtukana kama ana tabia ya upumbavu, hapana, sikuwa namtukana mswahili binafsi ila nilikuwa nina-address mambo aliyoandika katika ile article akimshauri rais kufukuza watu wa bara katika staff yake kuwa ule ulikuwa ni "upumbavu." Nilitumia lile neno kwa vile nilitaka kuonyesha kuwa huu ulikuwa zaidi ya upuuzi wa (a) hapo juu. Hata hivyo kama nilivoeleza hapo (a) juu sikuwa na maana ya kusema kuwa Mswahili ni ********. Nadhani kuna watu wameiona tofauti hiyo na kuna ambao hawakuiona; hata hivyo nawaomba radhi wote kwa usumbufu uliotokana na matumizi ya neno hilo. Sikulitumia kwa nia ya kumtukana mtu yeyote kwani najua kuwa matusi huwa hayafundishi.


(c) Masatu amenitukana nadhani kutokana na hiyo misconception hapo juu, lakini kwa vile namfahamu nitakutana naye nyumbani tuongee hilo wakati tunakukula ugali wa muhogo na samaki sato. Namshauri tu kuwa kama alinichukia kwa kuwa nilifundisha UDSM aweke chuki hiyo pembeni wakati tunajadili mambo mbalimbali, asiwe na vendetta. Nadhani ni kutokana na chuki hizi ndiyo maana alikuwa anadakia posts zangu kwa kejeli na kuzipa sura tofauti na lengo langu; hata hivyo nitaongea naye zaidi tukienda ziwani.


(d) Kwa Mswahili binafsi: Aliyeeleza kuwa ana-analyse maneno yako kwa Freudian psychology ni Bi.Senti 50, na alikujibu kuwa theory yake inaonekana kufanya kazi kwa kuwa ulitaja mnkjj mara kumi na nne. Nilikuwa interested na hiyo psychology kwa sababu ni jambo jipya kwangu, ndiyo maana nikajaribu kuthibitisha maneno yake kwa kuhesabu tena maneno yako nikaona kweli ulikuwa umateja kama mara 17 hivi.

(e) Kwa Mswahili binafsi: Nadhani umesema uwongo (sina maana ya kusema wewe ni tabia yako ni mwongo) kuwa nili-attack uteuzi wa Dr.Dau kwa vile eti ni mtu wa pwani, kwa vile mimi huwa sichangii jambo nisilofahamu. Simfahamu Dau wala sijui background yake na hivyo singeweza kukosoa uteuzi huo. Inawezekana nilichangia thread kutokana na mambo yaliyokuwa raised na wachangiaji wengine lakini siyo bila kuwa na uthibitisho. Pitia tena hiyo thread utafute posts zangu uone.


(f) Kwa Masatu binafsi: Katika maisha yangu yote Tanzania, sehemu pekee niliyokaa muda mrefu sana ni pale Sinza ambapo nilikaa karibu miaka kumi, na sehemu niliyofanyia kazi muda mrefu pia ni kufundisha pale UDSM kwa karibu miaka kumi. Kwa hiyo it is very likely kuwa katika posts zangu nitanyofoa mfano kutoka ama Sinza au UDSM. Hiyo isikuumize moyo ndugu yangu, kila mtu na staili yake ya kuandika na kutoa references, wewe jali zaidi mchango wangu kwenye mada na jinsi mfano huo unavyofanya mchango huo uleweke zaidi. Juzijuzi hapa kuna mtu katuambia jinsi alivyoishi na Ridhwani wakati akiwa anasoma pale UDSM and it is acceptable, kila siku Nungwi anatupa mifano ya kutoka Mzumbe University (LSE) na Dr Waryoba, kuna watu waliwahi kutupa mifano wakati wakiwa kwenye mikutano ya CCM Dodoma na kulala nje, wengine walitumia thesis zao, wengine wanatoa mifano kutoka kwenye hafla n.k., it is OK. Hata wewe kama una mfano wako binafsi ambao unaona ni relevant na utasadia mawazo yako kueleweka, utumie tu hakuna atakayekulaumu. Don't go personal kusema kuwa kwa nini huyu jamaa anatumbia alikofanyia kazi au alikokulia. Nyerere katika hotuba zake nyingi alikuwa anatoa mifano yake uzanakini, maarufu ukiwa ni ule wa mfichaficha maradhi na wa kung'atuka; huwezi kusema huo ni "upumbavu"
 
Mwe!

Watu tunapenda mambo ya kingono kingono ile mbaya.
Ingekuwa ni teknolojia ya viwanda tungejuwa mbali.
 
Back
Top Bottom