independencesince1961
Member
- Apr 16, 2007
- 25
- 0
Zitto,
Kwanza nikupe pongezi ya kujibu tuhuma ulizopewa. Pili, natumaini hilo jibu ndio jibu lako la mwisho mpaka utakapofikia uamuzi wa kusemea swala hili ama utakapoacha kujikanyaga. Tatu, ukija kusema hapa, uje kusema ukweli, ama usiseme kabisa. Kimya ni bora kuliko kusema uongo.
CDF,
Hakuna udharura wa kujadili, nadhani muda utumike kufanya utafiti zaidi jinsi gani mfuko huo utaratibiwa. Tujifunze kwa kina toka kenya ambao wameanzisha mfuko huo mwaka 4 iliyopita. Ni vyema pia tukakukumbuka kwamba kenya haikuanza hii mifuko leo ilianza toka miaka ya 60 -majimbo system (1963), District Development Grant Program (1966), the Special Rural Development Program (1969/70), the Rural Development Fund, District Development Planning (1971), and the District Focus for Rural Development (1983'84).
Kwa maelezo mafupi, msome Dr. Ludeki Chweya, Senior Lecturer, Department of Political Science and Public Administration, University of Nairobi at
http://www.africanexecutive.com/modules/magazine/articles.php?article=720
Kwanza nikupe pongezi ya kujibu tuhuma ulizopewa. Pili, natumaini hilo jibu ndio jibu lako la mwisho mpaka utakapofikia uamuzi wa kusemea swala hili ama utakapoacha kujikanyaga. Tatu, ukija kusema hapa, uje kusema ukweli, ama usiseme kabisa. Kimya ni bora kuliko kusema uongo.
CDF,
Hakuna udharura wa kujadili, nadhani muda utumike kufanya utafiti zaidi jinsi gani mfuko huo utaratibiwa. Tujifunze kwa kina toka kenya ambao wameanzisha mfuko huo mwaka 4 iliyopita. Ni vyema pia tukakukumbuka kwamba kenya haikuanza hii mifuko leo ilianza toka miaka ya 60 -majimbo system (1963), District Development Grant Program (1966), the Special Rural Development Program (1969/70), the Rural Development Fund, District Development Planning (1971), and the District Focus for Rural Development (1983'84).
Kwa maelezo mafupi, msome Dr. Ludeki Chweya, Senior Lecturer, Department of Political Science and Public Administration, University of Nairobi at
http://www.africanexecutive.com/modules/magazine/articles.php?article=720