Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Mpaka nimelia mateso uliopitia na mm ndo niliopitia Niliumwa uchungu siku tatu tena wanguvu nilipauka nikawa kama kichaa alieniona alitoa macho kwa jinsi nilivyo kuwa.

Kiukwel nilipitia mateso yote,uchungu niliumwa,drip ya uchungu niliwekewa na ikashindikana kilicho fuata ni kisu siku ya nne tena saa 11 jion. shikamoo mama!
Pole mama
 
jamani poleni sana ndio mjue ile dhambi ya kula tunda ndio malipo yake......ila nanyi jamjui tu maumivu ya kugongwa korodani yan ni uchungu X 50 kwa hakika...
 
Kupitia huu Uzi nimewafahamu wamama wa JF ambao kwenye nyuzi nyingine wanajifanya mabinti wabichi kabisa!

Otherwise, namheshimu mama yangu kama mzazi wangu. Lakini sio eti kwa sababu ya huo uchungu wa leba!

Women are damn good in ex a grating pain and pleasure!

Huyu dadaangu anaelia akikwaruzwa na msumari kidogo tu, siku akipitia uchungu wa leba unafikiri atasema nini?

Tunazo sababu nyingi sana za kuwaheshimu, ila huu uchungu wa labour sidhani kama uko hivyo mnavyouelezea!

NB: nimetahiriwa kwa kisu bila ganzi. Naelewa nini maana ya uchungu!
 
Mwanamke uliyefundwa huwezi kusema haya mambo hadharani

Ni eidha ulizaa ukiwa mwanafunzi/mwanachuo au umekuwa mama kabla ya wakati wako.

Vinavyofanyika/kutokea leba ni siri, kuvimwaga hadharani hapa ni kujivua nguo. Ndio maana hata manesi/wakunga hawavitoi nje.
Siku hizi youtube wanaonyesha watu wanavyozaa live. Hadi kichwa kinavyotoka na kila kitu. So hakuna siri tena.
nyie bado hamjaenda?
 
Kupitia huu Uzi nimewafahamu wamama wa JF ambao kwenye nyuzi nyingine wanajifanya mabinti wabichi kabisa!

Otherwise, namheshimu mama yangu kama mzazi wangu. Lakini sio eti kwa sababu ya huo uchungu wa leba!

Women are damn good in ex a grating pain and pleasure!

Huyu dadaangu anaelia akikwaruzwa na msumari kidogo tu, siku akipitia uchungu wa leba unafikiri atasema nini?

Tunazo sababu nyingi sana za kuwaheshimu, ila huu uchungu wa labour sidhani kama uko hivyo mnavyouelezea!

NB: nimetahiriwa kwa kisu bila ganzi. Naelewa nini maana ya uchungu!
 
Aki ya Nani kipindi hiki si rafiki sana kwa wanawake
Yaani jamn wana viloja kweli unaweza chaka ni kama anajifanyisha tu

Mmoja alinitukana matusi yote kisa nimemuwekea maji ya uchungu

Alicheza kila ngoma kila style nguo iko begani

Nikamwacha alipojifungua kawa mpole nkamwambie nitukane basi tena yuko anacheka tu


Kumbe nilikuwa naota

Hahahahaha
 
Nchi baadhi mfano Japan wanaruhusu wanaume kushuhudia mke akijifungua , wanasema inapunguza women abuse
kuna waziri mmoja (simkumbuki) alitaka kuipeleka hii hoja bungeni iwe sheria nadhani...
sijui ikawaje.
 
Jamani jamani jamani kila nikiingia leba naanza na neno nitatoka salama humu? Huwa nakata tamaa kabisaaa hasa maumivu ya mgongo na kiuno yakichachamaaa euwiiiììii huwa naomba msaada hata wa mtu asiehusika.

Sitakaa nisahau mwanangu wa kwanza niliteseka uchungu siku 2 mpka muda wa ku push nguvu sina ikabidi wamvute mtoto kwa vacuum thanks God nilikua kwa hospital yenye specialist mtoto hakupata madhara.

Uchungu wa kuzaa hakuna mfanowe ndipo wamama wengi hufariki kwa sbb kuna wengine presha zinapanda au kushuka ghafla kwa maumivu. Wababa kule ni nusu kifo muwe mnatuombea tutoke salama
Niliwahi msikia mwalimu mwakasege anasema muda wa kujifungua huwa kuna vita kubwa sana kiroho huu ndo muda shetani uchukua vyake muda huo ni vyema kwa wanaume tuombe sana wakati wake zetu wakijifungua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom