Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
YaaniWavivu kweli sio utani ila ndo wakwe ba mashemeji zako sasa![]()

ntafanyaje ss!YaaniWavivu kweli sio utani ila ndo wakwe ba mashemeji zako sasa![]()

ntafanyaje ss!Nadhani unajua wakunga wa govt hospitals wasivyojali sasa nilikumbana na aina hiyo wakati najifungua mtoto wangu wa tatu walikuwa wako bize na whatsup nikajihisi kupush nikapush na wakati nainama kukata kitovu ndo nesi kuingia na kuendelea na zoeziHebu nifafanulie kidogo kujizalisha hapo shost ilikuwaje?
Hayaelezeki huo ndo ukweli nakumbuka mtoto wa kwanza niliyoyapitia aisee nilikiona kifo kabisa lkn shida ni uzembe wa manesi nashukuru nilitoka salamaHata mngeongea kwa lugha,hakuna namna yeyote unayoweza mwanamke ukaelezea maumivu ya kujifungua na mwanaume akakuelewa kwa kiasi unachotaka akuelewe..poleni mama zetu,dada zetu.,wake zetu,wapenzi wetu,.Mimi nimepanga nikiwa na mke,nitakua nae chumba cha leba,nione anavyo jifungua..najua itanifanya nizidi kumpenda mke wangu,mtoto wangu,mama yangu.na kua na HESHIMA kwa wanawake....poleni one more time..
Kapeace kumbe umezaa na wewe hongeraHayaelezeki huo ndo ukweli nakumbuka mtoto wa kwanza niliyoyapitia aisee nilikiona kifo kabisa lkn shida ni uzembe wa manesi nashukuru nilitoka salama
Asante kwa heshima na nimeipokea kwa niaba ya wanawake wote waliowahi kupush
Hawakuwahi Ku demand au hukusikia wako demand??Hawakuwahi kudemand heshima, walijiheshim wakaheshimika. Lakini wa kisasa mnataka kufanya kama nyie ndio wa kwanza kuingia labor, wakati kwa mama zetu hizo hospital zenyewe hazikuwepo..
Nini WiFi tuliaaaaMaserati ww,mwezio ugomvi siwezi atii![]()
![]()
Nipo buana,maombi tu dhambi zipungua!
maserati mbn unapotea sana?nakumis kauzu mwenzang!kuna watu wanashangaza sana!eti mapokeo...huenda ht kuoga ni mapokeo
NOMA SANAHahaha
hahaha nahisi kama JF Mimi peke yangu ndio sina mke..ila pole kwa shemeji..Mimi nikikumbuka mke wangu alianza kunisumbua usiku kama saa 6 hivi kaniamsha ananiambia hajisikii kulala,kukaa wala kusimama...nikampeleka hsptl usiku huo lkn akaja kujifungua saa 12 asbh baada ya kuwekewa maji ya uchungu sasa hiyo story aliyonipa kuanzia hiyo saa 7 mpk 12 asbh utadhani alikaa labour mwaka mzima.
Hongereni sana kina mama
Nimestaajabu kwakweli...bila kuzaa ye angetoka wapi?Kwani kuzaa dhambi?
Mimba nazo ni changamoto, zinasumbua balaa. Mie nshajitosa tena wa pili ila nikikumbuka yale maumivu naanza kulia tu na kushikwa hasira hata kabla siku haijafika
...pole mama kMhhhh mie kwangu NoHamna kitu ambacho Hakina effects duniani. Epidural kwa nchi zilizoendelea ni kama panadol tu, kwanini upitie mateso kama option ya kupunguza maumivu ipo? Labda kwa TZ ndio tuogope maana bado ni kitu kipya kwetu. Ni sindano hiyo hiyo inayochomwa wakati wa operation na mbona tunaona kawaida tu.
