sirudii tena Mimi,mmoja ananitosha aisee
Nini zetu walikua wanarudiil mara 12 mama zetu mara nne hadi sita
Wa siku hizi mara moja yenyewe wanaogopaaaa
Pia nimewahi kusikia Maongezi ya watu wazima wamama Maana wako hapa wanaongelea dawa ya kupunguzaa uchungu kuchomwaa mgongoni au kisu
Je kuna tofauti yeyote ya mapenzi kwa mtooto kati ya mama ambaye kajifungua mtoto Ndani ya nusu kaputi yaani hakusikia lolote au kisu na mama Huyu aliyesukuma kwa jasho la damu?
Wamama hawa walikua wakisema ni muhimu Sana kuzaaa Kwa uchungu kama maandiko ilivyosema , kisu kiwe option ya mwisho baada ya kutapatapa
Yale maumivu ndio sadaka na gharama ya kumpata mtoto iweje wamama wa leo wengine wanayakimbia tena makusudiii ??!
Wanasema mama aliyepata uchungu Ana connection Kubwa na mwanaye kama “mungu” na anaweza hata kuhisi jambo haya Kwa mwanaye akiwa mbali Kwa tumbo kuuma , mwanamke aliyepata uchungu akimuona mwanaye anaumia au pengine bahati Mbaya kafariki annapata hisia za uchungu tumboni na ndio maaana anafungwa tumboooo ni kama a nakumbuka uzazi....
Mama aliyepata uchungu hawezi muacha mwanaye akiwa na mwezi na housegal akaenda disco au akalataaa kumnyonyesha
Hata kama Alikuwa kashindikana hatulii Nyumbani hiyo Tabia hupungua kwa kiasi kikubwa
Mama aliyejifungua kwa kisu hataweza kuchangia lolote kwenye Ushujaa wa kinamama hawa japo naye ni mama
Inahimizwa kuwatia Moyo wamama wajawazito wakifungue kwa njia Mungu aliyoagiza kama hawana tatizo la kitabibu linalotishia uhai wake na mtoto