I don't agree with you. Kwani hapo Nani katumia lugha mbovu. It's just an experience. Hebu Wanawake tuache kujinyanyapaa. Tujivunie mbele za dunia shida tunazopitia katika kuleta viumbe duniani. Proud of my scarsMwanamke uliyefundwa huwezi kusema haya mambo hadharani
Ni eidha ulizaa ukiwa mwanafunzi/mwanachuo au umekuwa mama kabla ya wakati wako.
Vinavyofanyika/kutokea leba ni siri, kuvimwaga hadharani hapa ni kujivua nguo. Ndio maana hata manesi/wakunga hawavitoi nje.

