Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,301
Waoooh your a gentlemanNimeshindwa kuiexpress kwa emoji...ila machozi yamenitoka, huzuni + furaha + amani + faraja = hata sielewii
Waoooh your a gentlemanNimeshindwa kuiexpress kwa emoji...ila machozi yamenitoka, huzuni + furaha + amani + faraja = hata sielewii
Safi sana Miller wewe una positive mind kunielewa ni rahisiCajojo leo umenipa burudani kabisa![]()
Nimetulia WiFi anguu,nambie sasaNini WiFi tuliaaaa

sitasahau nipo chumba cha labour usiku nilikuwa zamu mrembo mmoja uchungu ukamshika mweee muoga kama nini kapush weee mpaka namuonea huruma haswa pale alipoanza kulia na kutaja idadi ya wanaume aliokula nao ujana mwisho nilishangaa alivyoniomba karatasi asaini kuwa hata beba tena mimba lkn alijifungua vizri.....siku ya siku kasahau saini aloweka kwa sasa nimjamzito tena namsubiria aje

Na sisi tuna uchungu wetu wa kutahiriwaMimi nilivyofika Leba ,nikapelekwa sehemu ya mapumziko walikuwepo wajawazito wengii,sasa uchungu ulikuwa haujanishika kivile nilikuwa natokwa na maji tu, daktari akanipima akasema bado,,sasa mle kwenye ukumbi kulikuwa na wamama wengi mwingine anaruka, mwingine anajivuta vuta chini, si nikaanza kuwacheka nikasema mbona mimi siumwii.
kKumbe bana uchungu unakuja taratibu, nikawa nashangaa kila muda unavyozidi kwenda maumivu yananizidia wale niliokuwa nawacheka wao wanajifungua wananiacha tu, kukakucha asubuhi niliona ni mwaka na nikasema sirudiii ,kama nilikuwa natembea uchungua ukaja ghafla naganda kama sanamu kama kuna mti ntaung'ang'ania kweli, ilifikia muda sitaki kuja kusalimiwa wala kuonwa na mtu yeyote maana watu wanavyozidi kuja kuniona ndivyo uchungu unazidi kuwa mkali nikawazuia.
Niliita majina yote ya Mungu nikawa namshika mama yangu namuambia aniombee haraka uchungu upoekiuno changu kilikuwa cha moto nauchukua mkono wa mama nauweka kiunoni kwangu namwambia aniombee
mama yangu mpaka alilia nilivyokuwa nahangaika nyie acheni jamani.
Usiku ulipofika saa 2 nikasikia kusukuma nikapelekwa chumbani nimefika kule kila nikisukuma hola,,wakaniwekea maji ya uchungu wapiii wakasema huyu anatakiwa kisu tu nikajitahidi kusukuma wakaja madaktari na manesi wamenizunguka mwingine kanishika kichwa ,mwingine tumbo anabinya,mwingine anaangalia njia ya mtoto (sitasahau)mtoto alitoka saa 8 nanusu kuamkia tarehe 8 na mwaka ....8 loo kazi niliipata
Sasa najiuliza wanaozaa watoto 7 au 8 wanawezaje?maana mim toka nizae sina hamu tena halaf sijawah pata maumivu kama yale toka nizaliwe sema na ukweli
Mama Aheshimiwe ,maana wanaume wangepewa huu uchungu hata dakika wangeukataa na wangetuheshimu sana
Najua hauta amini lkn ndio nakwambia ukweliHabari JF,
Tukiwa tunamalizia malizia week la wanawake duniani hebu wanawake wa JF tiririkeni kituko ulichofanya Leba ulipokuwa na uchungu.
Aisee ile kitu achana nayo uchungu ulipozidi sana niliona bora nife kuliko kuendelea kuumwa namna ile, yani inafika wakati unaona kifo ndo kitu rahisi.
Ashukuriwe Mungu kuna kusahau
Asante mama
Asante sana.WAMAMA WOTE POLENI SANA
Pia wababa tuliosusiwa watoto inabd kifanyike kituAsante sana.
Tunawasubiri tarehe 9 April kwa Makonda maana mnatuzalisha kwa uchungu hivi afu hamlei watoto.
Nyie tatizo mnajifanya vichwa ngumu.Pia wababa tuliosusiwa watoto inabd kifanyike kitu
Asee mkuu nakutamania...I wish I culdu be Money PennyNajua hauta amini lkn ndio nakwambia ukweli
Nimezaa watoto 3 sijui uchungu ni nini kabisaaa
Nikifika nasubiria wakitaka kuniwekea uchungu nakataa nawaambia me ndio nilivyo wanaondoka kwa hasira wakirudi wanakuta tayar toto anatokaa
Mtoto Wangu wa mwisho nimejifungua napiga stori name dokta na mume leba mana alishanizoea
Mtoto wa piling dokta hakuamini kama nazaa bila uchungu akaamua kushuhudia na nilimzaa huku napiga chafya nyingi kwa harufu ya perfume ya dokta haikunipenda
Mtoto wa kwanza nimejifungua nyumbani nimekaa na mama mkwe chupa ikavunjika Sina habari mama mkwe ananiambia we Penny mtoto anaanguka ikabidi amuwahi uzuri Mtoto hakuanguka
Hivyo ndio vituko vyangu hakunaga anaeamini lkn ndio ivyo
oh jaman asante sana.. ni neema nilipewa na Mungu sawa na Bure!Asee mkuu nakutamania...I wish I culdu be Money Penny
hahaha jaman ww umenifanya nichekeee haaha aisee !dah hufai kbsNilimsindikiza jirani yangu aliposhikwa na uchungu nikaona anazingua nikamtia makofi nikasepa mpaka leo ananichukia balaaa, cumamaye......![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mpaka nimelia mateso uliopitia na mm ndo niliopitia Niliumwa uchungu siku tatu tena wanguvu nilipauka nikawa kama kichaa alieniona alitoa macho kwa jinsi nilivyo kuwa.Mimi nilivyofika Leba ,nikapelekwa sehemu ya mapumziko walikuwepo wajawazito wengii,sasa uchungu ulikuwa haujanishika kivile nilikuwa natokwa na maji tu, daktari akanipima akasema bado,,sasa mle kwenye ukumbi kulikuwa na wamama wengi mwingine anaruka, mwingine anajivuta vuta chini, si nikaanza kuwacheka nikasema mbona mimi siumwii.
kKumbe bana uchungu unakuja taratibu, nikawa nashangaa kila muda unavyozidi kwenda maumivu yananizidia wale niliokuwa nawacheka wao wanajifungua wananiacha tu, kukakucha asubuhi niliona ni mwaka na nikasema sirudiii ,kama nilikuwa natembea uchungua ukaja ghafla naganda kama sanamu kama kuna mti ntaung'ang'ania kweli, ilifikia muda sitaki kuja kusalimiwa wala kuonwa na mtu yeyote maana watu wanavyozidi kuja kuniona ndivyo uchungu unazidi kuwa mkali nikawazuia.
Niliita majina yote ya Mungu nikawa namshika mama yangu namuambia aniombee haraka uchungu upoekiuno changu kilikuwa cha moto nauchukua mkono wa mama nauweka kiunoni kwangu namwambia aniombee
mama yangu mpaka alilia nilivyokuwa nahangaika nyie acheni jamani.
Usiku ulipofika saa 2 nikasikia kusukuma nikapelekwa chumbani nimefika kule kila nikisukuma hola,,wakaniwekea maji ya uchungu wapiii wakasema huyu anatakiwa kisu tu nikajitahidi kusukuma wakaja madaktari na manesi wamenizunguka mwingine kanishika kichwa ,mwingine tumbo anabinya,mwingine anaangalia njia ya mtoto (sitasahau)mtoto alitoka saa 8 nanusu kuamkia tarehe 8 na mwaka ....8 loo kazi niliipata
Sasa najiuliza wanaozaa watoto 7 au 8 wanawezaje?maana mim toka nizae sina hamu tena halaf sijawah pata maumivu kama yale toka nizaliwe sema na ukweli
Mama Aheshimiwe ,maana wanaume wangepewa huu uchungu hata dakika wangeukataa na wangetuheshimu sana