Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Huyo dokta huwa mnaonana?Mama sabrina looo pole shogangu yani ulivyoelezea yote yalinikuta mimi, mtoto alisukumwa na manesi watatu huku dokta naye anavuta jamani wanaume wangejuaga kwa kweli wasingeletaga dharau, acha mama aitwe mama, toka nitoke leba aisee nimekuwa mgumu balaa hata nipitie kitu gani sijui kama maumivu yake yatafikia ule uchungu.
Shikamoooni wamama jamn
ExactlyMwanamke uliyefundwa huwezi kusema haya mambo hadharani
Ni eidha ulizaa ukiwa mwanafunzi/mwanachuo au umekuwa mama kabla ya wakati wako.
Vinavyofanyika/kutokea leba ni siri, kuvimwaga hadharani hapa ni kujivua nguo. Ndio maana hata manesi/wakunga hawavitoi nje.
Nimekupenda bure.Mmmhh shikamooh mama mie nilivyoenda leba nasikia nilisema "uwiii wanaume wote wafe" manesi wakanijibu afe wa kwangu tu maana waume zao bado wanawapenda hahahhaha sitaki kusikia leba maana akili haikuwa yangu mweehh shkamooh mama
Hamna kitu kichungu zaid ya kujikwaa kidole cha mwisho wa mguu kwenye pembe ya kitanda mida ya saa kumi na mbili asubuh..Habari JF,
Tukiwa tunamalizia malizia week la wanawake duniani hebu wanawake wa JF tiririkeni kituko ulichofanya Leba ulipokuwa na uchungu.
Aisee ile kitu achana nayo uchungu ulipozidi sana niliona bora nife kuliko kuendelea kuumwa namna ile, yani inafika wakati unaona kifo ndo kitu rahisi.
Ashukuriwe Mungu kuna kusahau
Asante mama

Vp ule wa kubikiriwa maana mnasumbuaga sanaUnaambiwa uchungu ndo maumivu makali zaidi duniani
Heshimuni wake zenu na kuwapenda
Wanajitoa sana kwa ajili yenu, uchungu wa leba ni nusu kifo
Nao watafungua yao nyingine ya kuvunjwa ile kituNa sisi wanaume ngoja tukafungue yakwetu ya maumivu tuliyoyapata wakati wakufanyiwa tohara..tena bila ganzi
Thank you dear. Nilikutumia picha yako uliiona?Nitakupa zawadi.
Umenifanya nimkumbuke my mom
.
Nilijifungua kawaida. AsanteHata wakati wa kushonwa hukusikia maumivu.
Pole kumbe ulijifungua kwa operation
Umesema ulivyokua unashonwa hukusikia maumivuNilijifungua kawaida. Asante
Ila kuzaa nje ya ndoa siyo maadili....Kwani kuzaa dhambi?
Likoje. Kapicha tafadhaliMi uchungu wangu nilibeba nguo zote kichwani nikawa nazunguka ward nzima huku namtukana baba watoto wang matusi mazitoo...basi uwa nikikaa nikifikilia na hili umbo langu lilivokua najihisi aibu sana ingawa miaka ishapita...wamama tueshimiwe