Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Mzigua90 Mkuu, Kumbe wewe ni mama tayari? Na stories zako zote sikujua ushakuwa mama. Hongera.
 
Mama Sabrina Kwanza umepotosha badala ya kusema mmoja akanichungulia kwa papuchi eti njia ya mtoto

Afu eti huna hamu tena ya kuzaa kwani una mumiliki wa papuchi..??
 
Wabongo tunaweza. Tatzo ni miundo mbinu. Hauwez kuingia wakat kuna wanawake wa watu wanajifungua. Manake unaweza kukuta chumba cha kujifungua kina vitanda vi 4
Wengi wenu ni waoga wa kushuhudia tukio
 
poleni sana wote mliyoionja leba..


Mwenye Enzi akinijaalia natamani aniruhusu niwepo humo wakati mama watoto anajifungua,
hata kama sio kwa watoto wote basi walau mmoja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom