Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Mi uchungu wangu nilibeba nguo zote kichwani nikawa nazunguka ward nzima huku namtukana baba watoto wang matusi mazitoo...basi uwa nikikaa nikifikilia na hili umbo langu lilivokua najihisi aibu sana ingawa miaka ishapita...wamama tueshimiwe
 
Walikuwa hawalalamiki au wewe hukuwahi sikia maongezi yao?
Hawakuwahi kudemand heshima, walijiheshim wakaheshimika. Lakini wa kisasa mnataka kufanya kama nyie ndio wa kwanza kuingia labor, wakati kwa mama zetu hizo hospital zenyewe hazikuwepo..
 
Mmmhh shikamooh mama mie nilivyoenda leba nasikia nilisema "uwiii wanaume wote wafe" manesi wakanijibu afe wa kwangu tu maana waume zao bado wanawapenda hahahhaha sitaki kusikia leba maana akili haikuwa yangu mweehh shkamooh mama
Hahahaha
 
WALOKOLE mna shida sana..ina maana ww hujui mwanamke mwenye mimba hormone huwa zinabadilika!bado hayo nii mapokeo?

Siyo shida @ Mkuu!
Kwa hiyo hayo mabadiliko ya homoni Kwa mama mjamzito Ndiyo yapelekee kumuuma meno Mume wake?

Hayo mabadiliko ya homoni yamfanye awe kama mwehu ?
Kama umefuatilia michango yangu Kwenye hii Mada utakuwa umeona kuwa nakubali kuwa Kwa sehemu ni Kweli hayo mnayosema yanatokea lakini pia Kwa upande mwingine yanachangiwa na mapokeo!

Labda hilo neno la mapokeo ndo halikukupendeza Ila ningelisema Kwa kiingereza naamini ungelielewa vizuri sana tu!

Kwa sehemu kubwa ni mapokeo huo ndo ukweli!
Mabadiliko ya homoni yafanye uchukie watu ikiwemo mumeo? hapana jamani!
Hii haina tofauti na watu wengi kuamini kuwa somo la hesabu ni gumu sana kitu ambacho siyo Kweli hata kidogo!
 
Wengi ni videko na wabishi hawataki kuwasikiliza maelekezo ya wakunga!
Ukishaangia leba kanuni ni moja tu fanya kila atakachokwambia mkunga huku ukimuomba Mungu wako kimoyomoyo !

Ukifanya hivyo hutachelewa nakwambia Mungu anakufanyia wepesi ajabu!
Unapopiga Makelele hayakusaidii na unajichelewesha mwenyewe!
 
Siyo shida @ Mkuu!
Kwa hiyo hayo mabadiliko ya homoni Kwa mama mjamzito Ndiyo yapelekee kumuuma meno Mume wake?
Hayo mabadiliko ya homoni yamfanye awe kama mwehu ?
Kama umefuatilia michango yangu Kwenye hii Mada utakuwa umeona kuwa nakubali kuwa Kwa sehemu ni Kweli hayo mnayosema yanatokea lakini pia Kwa upande mwingine yanachangiwa na mapokeo!
Labda hilo neno la mapokeo ndo halikukupendeza Ila ningelisema Kwa kiingereza naamini ungelielewa vizuri sana tu!
Kwa sehemu kubwa ni mapokeo huo ndo ukweli!
Mabadiliko ya homoni yafanye uchukie watu ikiwemo mumeo? hapana jamani!
Hii haina tofauti na watu wengi kuamini kuwa somo la hesabu ni gumu sana kitu ambacho siyo Kweli hata kidogo!


wewe ni ke au?
 
Nawaheshimu sana wanawake maana najua ni yepi mnapitia
Mna moyo na uvumilivu wa hali ya juu kiukweli wanaume tusingeweza.

Asikuambie mtu kitu uchungu ni maumivu yasiyo kipimo lkn kwa kuwa binadamu tunasahau lkn kuna baadhi ya wamama ni wakatili sana kwa watoto wao nadhani hawa hawakuupata ule uchungu wenyewe wa kilo 200 walijifungua watt wakiwa hawajakomaa ndy maana lkn kama mtt alimpa shida atampenda kaama jicho vile.
I salute you women's.

Giving birth is a sacrifice of women to her baby.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom