Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Yaan acha tu humu siku hizi unapitwaa mara wanawake wa jf wana matiti makubwa kama matikiti ya morogoro kweli binam,naandika kwa uchunguu huku najifuta makamasi kabisa
Nauona uchungu wako binamu, pole kwa yote..... siku hizi umri umeenda yaani twaingia kwa kunusa humu..... duh nimesoma mwanzo mpaka mwisho nimecheka sana.....

Wanaume wa JF tulikua sie bwana, tunakutafutia hadi Kazi na hatukutangazi!!!
 
Sisi hatuna shida tena ukiwa na pesa hivi hatuna kabisaa hatusemii tunajua kutunza siri
Nyinyi ndio mnatuangusha kutunanga sijui tuna matiti makubwa kama ya morogoro,,mara wafupi mara flat screen mara tuna mabwawaa heee jamani
Ni Tabia ya Mtu binafsi!
Mfano mtu anaweza kua anapenda demu mwenye WOWOWO akaja kukutana Dada wa JF flatscreen!
Yupo atakaeropoka na yupo atakaekausha maisha yakaendelea!
 
Papuchi mnakopaga siku zote japo nayo si kawaida ila na hela juu? muwe na huruma kidogo
Mzigua. Hivi ukikadiria kati ya wanaume 10 uliotoka nao. Wangapi walikukopa papuchi na wangapi walilipa.

Tafadhali si lazima wafike 10. Natafuta takwimu yaani asilimia ya wakopaji na walipaji ipi kubwa.
 
Nauona uchungu wako binamu, pole kwa yote..... siku hizi umri umeenda yaani twaingia kwa kunusa humu..... duh nimesoma mwanzo mpaka mwisho nimecheka sana.....

Wanaume wa JF tulikua sie bwana, tunakutafutia hadi Kazi na hatukutangazi!!!
Eeee tunaonana tunakula raha lakin husikiii ,,,wa sasa hivi thubutuu,,binam huwezi amini nimeambiwa nna kichwa kikubwa kama fungo ya wasukuma unadhan ntaacha kulia,,halaf zamani mtu akinionea tu nakutag ,huyo unafika,,siku hiz tunachambwaaa,wanaume wanaandika hawaa mpaka unajiuliza huyu kampa password mkewe amaa
 
Back
Top Bottom