Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Nakutumia unikimbie sasaHa ha ha wewe tu
Nakutumia unikimbie sasaHa ha ha wewe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba nimjueNakutajia mpuuzi sana yule na ma mbuzi yake
Hahaaa ngoja niisevu itanisaidia kuwajibuAkiomba mwingine mjibu kwa picha tu
View attachment 670290
Kabisa hii tabia utokomewezwe UWAJF hatutakiii mchezoShunie tupo sirias umoja wa wanawake jf hatutaki mchezo sasa
Hahaaaa yani nimechekaa, khaaa!!Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
Mimi najua chit chatHivi unadhan tunatania hapa
Huyo dada kidogo ajitoe jf ana hamu sasa,halaf fatilia wao sasa Unabaki kumuachia Mungu tuMambo kama hayo wanafanya tuogope hata kuonana nao mtu mwenyewe na sura ya baba yangu hapa kesho na kesho kutwa unaambiwa mbaya
Aisee PM kuna mambo!Hahaaaa yani nimechekaa, khaaa!!
Hili swali majibu yake mazuri anayo mbuziMWANAUME NGUVU YA KUTAFUTA PESA HUNA UNAPATA WAPI NGUVU YA KUMPANDA MWANAMKE?
Kuna mkaka humu ana mademu sita,,mlio na wapenzi humu na mnaficha ficha jua mmepangwaa mnapishana kwenye nyumba za watu hamjijuiiNakutajia mpuuzi sana yule na ma mbuzi yake
Duh! Hii noma sana.Nacheka sio kama mazuri mama ila vinachekesha sisi ndio tunatakiwa tuwe hivyo sio wanaume halaf hayo mambo wafanye viben10 utakuta mtu mzima tu anafanya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku espy aliandika kitu kuhusu rafiki yake aliombwa hela na mwanaume wake bada ya mda mke wa yule jamaa kapiga simu akamshkuru kuwasaidia kwa hela ya kula sijui espy anakwambia bada ya kumpa pole rafiki yake alicheka sana
Ni kweli kabisaMimi najua chit chat
Masikini huyo mdada ila inauma sana unajitoa kwa upendo kuonana na mtu kiurafiki tu na wala sio kimapenzi ila wanakosea mnooo baadhi ya wanaume humuHuyo dada kidogo ajitoe jf ana hamu sasa,halaf fatilia wao sasa Unabaki kumuachia Mungu tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna mkaka humu ana mademu sita,,mlio na wapenzi humu na mnaficha ficha jua mmepangwaa mnapishana kwenye nyumba za watu hamjijuii
Sasa huyo hajakopwa alimuomba tu mpenzi wake bada ya mda mkewe kapiga simu ebu pata picha unavyojisikiaDuh! Hii noma sana.
Mbaya zaidi wakikopa hawalipi
Ndio tukomegeee sasa,kiherehere kwenda kuonana nao au kuwatumia picha,,,nakuambia ukiwaona wao sura zao na walivyo unamuachia Mungu cc @evelynsaltMasikini huyo mdada ila inauma sana unajitoa kwa upendo kuonana na mtu kiurafiki tu na wala sio kimapenzi ila wanakosea mnooo baadhi ya wanaume humu
PoleniNi kweli kabisa
Naomba niwe rafiki yakoDah sina demu,sina rafiki wa kike niponipo tu!
What's wrong with meh!
Kumbe kuna mikopo ya bure upande wa pili!
Ndomana wachizi wangu wana maisha mazuri nowadays!
Thanks but NO,ni umama!
Kuna haja ya kuwa na mtandao wa wanawake humu, vinginevyo .....Kuna mkaka humu ana mademu sita,,mlio na wapenzi humu na mnaficha ficha jua mmepangwaa mnapishana kwenye nyumba za watu hamjijuii