Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Nipo hapa Hyatt Kempiski....nimekuja kula dinner.

Ngoja nitafute sehemu nzuri nijifotoe nikutumie.

Sijui nipige picha na msosi naokula na kinywaji ninachoshushia....
Ukimaliza dinner usisahau kutuma
 
Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
Kundi kuubwa la mbuzi. Haaaaaa nimekumbuka soko la mbuzi kishiri
 
Nauona uchungu wako binamu, pole kwa yote..... siku hizi umri umeenda yaani twaingia kwa kunusa humu..... duh nimesoma mwanzo mpaka mwisho nimecheka sana.....

Wanaume wa JF tulikua sie bwana, tunakutafutia hadi Kazi na hatukutangazi!!!
Jamani sasa mliishia wapi lakini?
 
Kuna katabia kamezuka ka wanaume kukopa either girlfriend au marafiki zake halafu hawarudishi, kukopa sio kitu kibaya ila unavyokopa wakati huna mpango wa kurudisha sio uanaume na ubinadamu, yani mwanamke umkope papuchi na hela pia jamani? Ndo maana wanawake tunaonaga saa nyingine bora kutembea na wenye hela tu maana nyie tunaowavumilia na umaskini wenu bado mnakopa na vihela vyetu vidogo tulivyo navyo. As for me ukinikopa papuchi fresh sababu utamu tunapata wote ila hela yangi jamaani siwezi kukuelewa. Wanaume wa zamani hawakuwahi hivi halafu hawa wanaoaibisha jinsia ya kiume sasa hivi sijui wametokea wapi, kuna kesi nyingi sana mtaani za aina hii kijana anakuja na fix kibaooo unajua umepata mwanaume mfanye maisha kumbe kaja kukudanga, kwa style hii mpaka magufuli atoke madarakani kuna wanaume wataanza kujipanga barabarani nao wanunuliwe.
MWANAUME NGUVU YA KUTAFUTA PESA HUNA UNAPATA WAPI NGUVU YA KUMPANDA MWANAMKE?
Pole usikate tamaa utalipwa tuu
 
Back
Top Bottom