Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Na akapambane kweli, nimemjibu kwa kifupi ila kwa msisitizo "VYUMA"
naona kanielewa
Akiomba mwingine mjibu kwa picha tu
IMG_20171224_204531_896.jpg
 
Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] subiri wewe mbuzi wapo mnadani anangoja bei
 
Usicheke best, inakera sana hii tabia. Na inazidi kukua tuungane kuikomesha
Nacheka sio kama mazuri mama ila vinachekesha sisi ndio tunatakiwa tuwe hivyo sio wanaume halaf hayo mambo wafanye viben10 utakuta mtu mzima tu anafanya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna siku espy aliandika kitu kuhusu rafiki yake aliombwa hela na mwanaume wake bada ya mda mke wa yule jamaa kapiga simu akamshkuru kuwasaidia kwa hela ya kula sijui espy anakwambia bada ya kumpa pole rafiki yake alicheka sana
 
Back
Top Bottom