Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
- Thread starter
- #21
Haki sawa kwa wote ila kwenye hela mwanaume hatakiwi kulilia usawaManinaaaaa ....hahahahahaa Mtafurahi wakati huu , Nyie si mnapiga Kampeni ya Haki sawa kwa wote ...Likija swala la hela mnataka liwe swala la mtu mmoja mmoja eeeeh .. *Mazafanta*