Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ndo maana nahisi ni mbuzi wa mzee google
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ndo maana nahisi ni mbuzi wa mzee google
Sikulipwa sababu hatukuwa tunauziana. Ila huduma napataga na nakula pensheni hadi leo kwa wengine. Kweli kuliwa papuchi bila hata kupewa hela usafiri ni mmoja tu lakini outing za kutosha na kulipiwa uber sana tu. Nilijua hana uwezi hata wa kunipa elfu 50 ndo maana vitu vingi alikua anafanya analipa mwenyewe ili asinipe cashMzigua. Hivi ukikadiria kati ya wanaume 10 uliotoka nao. Wangapi walikukopa papuchi na wangapi walilipa.
Tafadhali si lazima wafike 10. Natafuta takwimu yaani asilimia ya wakopaji na walipaji ipi kubwa.
Hapo sawa najihesabia nipo peke yangu tundo nimemkumbuka uyo Rafiki yangu,mwaka sasa hatujawasiliana!
So utamrithi akija hana chake!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Usikute alinitumia mbuzi wa kishiriKundi kuubwa la mbuzi. Haaaaaa nimekumbuka soko la mbuzi kishiri
Rrondo we ni shem wangu eenh kumbeAkinipa namba najitoa JF
Ha ha ha kila uzi anaweka moto huyu nae mmhUmekumbuka ule moto wakee na maneno ya biblia hahah
Sitaki kuamini aliweka picha yake wakunyumba hizi habar vipiiiKuna thread uliweka picha yako....wewe mzuri sana!
Na wewe umepigwa kizinga cha 10,000/-Sasa nitamjuaje ndo nshamdondokea RRONDO...
HahahaDada kwani umekaa hapo uwe unatoa utambulisho basi nijue ni shemeji jaman
KheeeeeeeeeSasa nitamjuaje ndo nshamdondokea RRONDO...
Kuwa makini usije kopwa uchi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sijui wana shida gani jaman kudanga watuachie wanawake
nawewe ukitaka ushauri wowote uje,Ila sio wa ndoa na mahusiano maana ndo uliomkimbiza!Hapo sawa najihesabia nipo peke yangu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eve hurumia mbavu zangu yaan huyu mzee wa mbuzi kama anapita kimya kimya anatamani ajitundikeUsikute alinitumia mbuzi wa kishiri
Khaaaaa bora nimejua mbona sasa anataka no yangu anataka kutukula wote auHahaha
Ananizingua huyu nae hasomeki!!!
Wewe umenipiga kibuti, sioni aibu kusema hivyo hadharani.Hahaha
Ananizingua huyu nae hasomeki!!!