juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,484
Mkopo wetu,unakua na riba kiasi gani!Naomba niwe rafiki yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkopo wetu,unakua na riba kiasi gani!Naomba niwe rafiki yako
Mpaka wajue kunyamaza,haiwezekan tuzidiwe kuongea na wanaume banaLile zoezi la kushare picha zao linaendelea.
We yako naitaka na ntaiprint kabisa niiwekw ndani. Nitumie kwa matumizi yangu binafsi
Hhhhaaaa,nilikuita tu haiwezekan ukose hapaaTuambiane bwana usikute mtu kakopa kwa jina langu huko pm halafu sina taarifa.
Mnanirusha roho kutaja jina langu kwenye madeni.
Ila na nyie kwani kukopwa shida jamani?
Sura ninayo ya Passport size tu,kama uonavyo ktk Avatar!Sura ya kuwaringishia maadui unayo au(in deo kisandu voice) nawe tunamuachia Mungu
Hahahahahah uwe unampigia nyetoooWe yako naitaka na ntaiprint kabisa niiwekw ndani. Nitumie kwa matumizi yangu binafsi
Wanaume mna sura ngumu ila tunawasitiri,,,tunawatunzia siri za kwetu hamuwezi kutunza loSura ninayo ya Passport size tu,kama uonavyo ktk Avatar!
[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ungesikia Dina mwenyewe anaringa wakati ana sura ya babu yakeMi kuna kiherehere alipata pic yangu ingekua sura ya kumuachia Mungu angeninanga kwelii lakin picha tu ikamnyamazisha shenziiii kabisa
Haishi dar ila huwa anakuja mara moja moja yeye ndio kanifanya nizidi kuwaogopa wanaume wa jf hivi kutaka kuwajua wanawake wa jf anataka kugundua niniiHuyo kaka anaishi Dar?
Hebu elezea nimmanyee
Ndomaana nipo one man army!!!Wanaume mna sura ngumu ila tunawasitiri,,,tunawatunzia siri za kwetu hamuwezi kutunza lo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nipo makini naanzaje kutuma kwanza anajua siweziShunie utaliwaaa ohooo
Hahaha, tehtehWenzio wanakopa mno pm wametuchoshaa
Ushakua!!
Karibu...
Ahahhahah me ndio nitaanza kukukopa ujiandaeMkopo wetu,unakua na riba kiasi gani!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo litachafuka maana hapo unasema bado [emoji6]Hapana bby wewe file lako halijachafuka bado
Na wameshika kasi ile mbaya....
Humu jf ndo basi yani hadi pm ikiingia unahisi ni mtu kaja kukopa, bla bla nyingi mi injinia nna makampuni, anatuma picha kundi kuuuuubwa la mbuzi sijui anagoogle, mbuzi wangu hao pye pye pye pye kesho anarudi nikope elf kumi nmechelewa bank...... Kenge wewe!!!!!!!!!!
Me usiniogope sasa yaan [emoji30][emoji30][emoji30] me ni zaidi ya malaika rafikiNdomaana nipo one man army!!!
Nawaogopeni wanawake!
Haswa wa humu JF!
Dah,[emoji119] [emoji119] [emoji119]
Hahahaha naona mambo ya mikopo siku hizi..... JF imekua saccoss eeeh.....Binam siku hiz tunazodolewaa humu ,,bora enzi zenu eti tumewamiss