Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 695
ipoNilikua napika. Nimerud. Bado laki yangu ipo?
ipoNilikua napika. Nimerud. Bado laki yangu ipo?
ipi hiyoNjoo na id yako maarufu tafadhali
Jirani za siku we sio mkopaji uje pm tusalimiane....
Vijeba vimeona kukopa papuchi haitoshi vimehamia kwenye hela hatupumuiiii
Hahahaah we unatujua vizurii cc espyUtamkopaje demu?? Mademu hua wanakopwa Kipochi Manyoya tu... Mambo ya hela waachie wao wenyewe.... Jiulize kwa nini wakati ukiwa chuo, boom likizama anatafuna boom lako lote, na baby nyingi zakutosha,boom lako likikata jaribu kumwambia naomba walau jero nikanunue mkate,utapewa budget hiyo,utazani yeye ndo waziri wa fedha wa Tanzania... Hua zinaga tabia yakukopa wanawake,kwanza sio wavumilivu,leo umekopa usije shangaa ukajikuta ushatangazwa kwa watu wake Zaidi ya sita, ingawa sio wote wenye tabia kama hizi
Kuna katabia kamezuka ka wanaume kukopa either girlfriend au marafiki zake halafu hawarudishi, kukopa sio kitu kibaya ila unavyokopa wakati huna mpango wa kurudisha sio uanaume na ubinadamu, yani mwanamke umkope papuchi na hela pia jamani? Ndo maana wanawake tunaonaga saa nyingine bora kutembea na wenye hela tu maana nyie tunaowavumilia na umaskini wenu bado mnakopa na vihela vyetu vidogo tulivyo navyo. As for me ukinikopa papuchi fresh sababu utamu tunapata wote ila hela yangi jamaani siwezi kukuelewa. Wanaume wa zamani hawakuwahi hivi halafu hawa wanaoaibisha jinsia ya kiume sasa hivi sijui wametokea wapi, kuna kesi nyingi sana mtaani za aina hii kijana anakuja na fix kibaooo unajua umepata mwanaume mfanye maisha kumbe kaja kukudanga, kwa style hii mpaka magufuli atoke madarakani kuna wanaume wataanza kujipanga barabarani nao wanunuliwe.
MWANAUME NGUVU YA KUTAFUTA PESA HUNA UNAPATA WAPI NGUVU YA KUMPANDA MWANAMKE?
na kwako pia mkuuKheri ya mwaka mpya mkuu [emoji3] [emoji3]