Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 37,366
- 86,835
Hamjambo!
Kwa asilimia tisini na tisa kijana mwenye future kubwa, anayejitambua, mchapakazi, anayejiamini hawezi kuwa na wazo la kutoka na mwanamke mtu mzima, lishangazi. Huwezi kuta kijana mwenye kazi ya kueleweka, mwenye biashara nzuri, akili ya kiume umkute anakimbizana na mishangazi.
Ni wanaume Gold-diggers ndio wenye mawazo kama hayo. Gold diggers kiasili ni wavivu kimwili na kiakili.
Hawapendi kujituma.
Sio wachakarikaji.
Muda wote kuwaza urembo n utanashati. Muonekano. Kwa sababu hayo ni mambo mepesi Sana hayahitaji nguvu kuyafikiri na kuyafanya.
Ni kama wanawake wanaotoka na vibabu au wabab waliowazidi umri karibu kuwazaa kabisa. Hawa na hao wanaume wote ni Gold-diggers
Hakuna mwanamke mwenye power, uchumi mzuri, na kazi ya kueleweka aache kuolewa na Kijana wa rika lake wafurahie maisha. Ati ampende Mzee. Huyo mwanamke hayupo. Wote ni Gold diggers
Kwa sasa wanawake nanyi mtakuwa mkiwakejeli wanaume wavivu wenye Tabia hizo mkiwaita Gold diggers kama wanaume tunavyowafanyia.
Kwa sababu kwenye Jamii yetu, kuna mambo akifanya mwanaume sawa, lakini akifanya mwanamke Kelele.
U-gold digger unaumiza wamama, wabibi, kuna watumishi wa umma wanachukua mpaka mikopo kuwapa wanaume majizi, ma-gold diggers.
Kuna Dada mmoja kutoka Tengeru Arusha alinipigia simu akanisimulia jinsi mchumbaake alivyomfanyia umafia wa kiuchumi. Aiseeh! Kuna watu hawana huruma.
Yule Dada anafanya kazi tena ustawi wa Jamii😀😀 lakini kwa aibu ya kufanyiwa u-gold digger anashindwa kumshtaki huyo jamaa.
Si unajua wanawake wanasemaga hawatoagi pesa😃. Kumbe wanatoaga bhana.
Sasa anaogopa akisema Rafiki zake na wazazi watamcheka na kumshangaa inakuwaje amchukulie mkopo mwanaume ambaye hajamuoa.
Kijana kakimbia na milioni 11 dadeki.
Hivyo Bi. Haika yupo sahihi, wanawake nanyi mjichunge sana kwenye hela zenu. Wapo wanaume ni mafisi hawana huruma kabisa.
Kama sisi tunavyopeana elimu na kuamshana na ninyi msikae kimya. Peaneni elimu ninyi kwa ninyi.
Msitegemee kuna wanaume wawasemee ninyi. Haipo hivyo. Kila kundi lazima lijisemee lenyewe sio kusemewa na wasiohusika.
Nimemaliza.
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa asilimia tisini na tisa kijana mwenye future kubwa, anayejitambua, mchapakazi, anayejiamini hawezi kuwa na wazo la kutoka na mwanamke mtu mzima, lishangazi. Huwezi kuta kijana mwenye kazi ya kueleweka, mwenye biashara nzuri, akili ya kiume umkute anakimbizana na mishangazi.
Ni wanaume Gold-diggers ndio wenye mawazo kama hayo. Gold diggers kiasili ni wavivu kimwili na kiakili.
Hawapendi kujituma.
Sio wachakarikaji.
Muda wote kuwaza urembo n utanashati. Muonekano. Kwa sababu hayo ni mambo mepesi Sana hayahitaji nguvu kuyafikiri na kuyafanya.
Ni kama wanawake wanaotoka na vibabu au wabab waliowazidi umri karibu kuwazaa kabisa. Hawa na hao wanaume wote ni Gold-diggers
Hakuna mwanamke mwenye power, uchumi mzuri, na kazi ya kueleweka aache kuolewa na Kijana wa rika lake wafurahie maisha. Ati ampende Mzee. Huyo mwanamke hayupo. Wote ni Gold diggers
Kwa sasa wanawake nanyi mtakuwa mkiwakejeli wanaume wavivu wenye Tabia hizo mkiwaita Gold diggers kama wanaume tunavyowafanyia.
Kwa sababu kwenye Jamii yetu, kuna mambo akifanya mwanaume sawa, lakini akifanya mwanamke Kelele.
U-gold digger unaumiza wamama, wabibi, kuna watumishi wa umma wanachukua mpaka mikopo kuwapa wanaume majizi, ma-gold diggers.
Kuna Dada mmoja kutoka Tengeru Arusha alinipigia simu akanisimulia jinsi mchumbaake alivyomfanyia umafia wa kiuchumi. Aiseeh! Kuna watu hawana huruma.
Yule Dada anafanya kazi tena ustawi wa Jamii😀😀 lakini kwa aibu ya kufanyiwa u-gold digger anashindwa kumshtaki huyo jamaa.
Si unajua wanawake wanasemaga hawatoagi pesa😃. Kumbe wanatoaga bhana.
Sasa anaogopa akisema Rafiki zake na wazazi watamcheka na kumshangaa inakuwaje amchukulie mkopo mwanaume ambaye hajamuoa.
Kijana kakimbia na milioni 11 dadeki.
Hivyo Bi. Haika yupo sahihi, wanawake nanyi mjichunge sana kwenye hela zenu. Wapo wanaume ni mafisi hawana huruma kabisa.
Kama sisi tunavyopeana elimu na kuamshana na ninyi msikae kimya. Peaneni elimu ninyi kwa ninyi.
Msitegemee kuna wanaume wawasemee ninyi. Haipo hivyo. Kila kundi lazima lijisemee lenyewe sio kusemewa na wasiohusika.
Nimemaliza.
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam