Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Ukimuuliza atakwambiya yupo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine,

Lakini kutwa haishi kuomba pesa wanaume wengine..

Na mpigwe dudu tu,,hakuna cha bure
Jamaniiiiiiii!! Yani kuna situations unajikuta tu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]!!
No way!!
 
Atamkijitafutia pesa wenyewe hamta badilika kwasababu ya mfumo dume, wanawake waki Afrika tofauti na Wanawake wakizungu wao wanawake wakizungu hawaingii kwenye mapenzi kwaajiri ya kuhudumiwa ila wanawake waki Afrika wanaingia kwenye mapenzi kuwaajiri ya kupata pesa tu. Utakuta mwanamke anakazi yake lakini bado anaomba omba pesa kwa mpenzi wake,Mimi nikipata mtoto wangu wakike nitamjenga kwenye misingi yakutoomba pesa kwa wanaume.
Ukikutana nao ndo wako hvo
 
Tunaongea kitu kimoja, ila naona hujapendezwa na suala la kuchagua mwenye hela.

Mtoto ni mtoto tu sio lazima kuwe na ndoa. Mtoto anahitaji hela kwa hiyo ni sahihi kabisa kwa mwanamke kuzaa na mtu mwenye hela, suala la kwamba ni mume wa mtu sio la muhimu sana. Wenye hela ni wachache.
Hapo ndipo wanapokosea kuzaa na mwanaume mwenye hela hai guarantee mtoto atatunzwa vizuri sababu baba yake ana hela tuna waona wengi baba zao wana hela ila wameishiwa kulelewa na mama zao au bibu Zao tena kwa tabu.

Wengine wanategemea watoto watapata urithi wakati hawaja tambulishwa hata kwa ndugu mmoja wa damu,mwisho wa siku hawatambuliki mpaka kwenye urithi.
 
Jamaniiiiiiii!! Yani kuna situations unajikuta tu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]!!
No way!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sina hasira yoyote mbona nimecomment kawaida tu sorry lakini kama umeona nimekukwaza
Hapana hujanikwaza ila umeandika kama vile unamwandikia mtu anaeishi kwa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye maisha na binadamu wengine.

Btw nishatumiwa 400k hapa na bby na kasema ananipenda nikashop nienjoy.

Ona maisha yalivyo ya ajabu sasa, wakati wewe umeandika kama vile hela unatoa wewe muhusika katoa chaaap.
 
Slay queen wanaamini wanaume wanatakiwa wawape tuuuuuuu na wanaume wanaamini mapenzi sio kumpa mwanamke pesa.

Hii vita ni ngumu wakuu cha muhimu kila mtu ashinde mechi zake.
Screenshot_20220611-105516_WhatsApp.jpg
 
Wanaume wa siku hizi ni wanaume basi......... Sa bora huyo hata anamachine ya kukuingizia unakuta mwanaume anamdomo mchafu muda wote anabwata tu lalalaleleee...... Unakuta mwanaume ety anazila kabisa kabisa..... Unakuta mwanaume ety anaogopa shemeji ake akimfukuza dada ake ye ataenda wapi...... Yani kabisa mwanaume analia ety amechukuliwa mwanamke....... Siku hizi hakuna wanaume wachache sana ety mtu anakuja kutuhadisia amegombania nyama kweny sufuria na mke wake alf bado tumuite ni mwanaume......."Wanawake tujitafutie pesa zetu wenyewe,,"
Cha maana hapa ni mjitafutie pesa zenu wenyewe na mrizike nazo pia
 
Hapo ndipo wanapokosea kuzaa na mwanaume mwenye hela hai guarantee mtoto atatunzwa vizuri sababu baba yake ana hela tuna waona wengi baba zao wana hela ila wameishiwa kulelewa na mama zao au bibu Zao tena kwa tabu.

Wengine wanategemea watoto watapata urithi wakati hawaja tambulishwa hata kwa ndugu mmoja wa damu,mwisho wa siku hawatambuliki mpaka kwenye urithi.
Kuna mawili.

La kwanza ni vile vihasira tu vya kike. Wanaozalishwa na wenye hela wengi bado ni wana akili za kisichana za vihasira vya kununanuna. Kwa hiyo unakuta labda hakujua huyo ni mume wa mtu basi anakasirika, au kuna vihasira vya kutotaka kuona anamshobokea mzazi mwenzie.

La pili ni kutojua sheria. Sheria inamlinda mtoto kikamilifu haijalishi baba na mama hawana ndoa au kwamba baba ni mume wa mtu. Kwa hiyo kama wangekuwa wanajua sheria wangehakikisha wanafuatilia haki za watoto wa kisheria. Ila wengi hawajui, au wanaona usumbufu au ndo wanasusa wasionekana wanajipendekeza kwa mzazi mwenzie.
 
Back
Top Bottom