Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Falsafa ya haki sawa huwa inaishiaga kwenye matumizi ya pesa kwa hawa wenzetu. Kote watapambana haki iwe sawa lwenye kufanya kazi, kufanya majukumu ya kifamilia ila likifikia stage ambayo hela ziwekwe mezani utaskia wewe ndio baba inabidi uhudumie familia lakini😀😀😀

Hawa matapeli akina hawa nimewashindwa hapo tu!!!
Hakika mkuu
 
mama k Mama k shukrani umeongea sahihi ujengewe mnala ddm makao makuu pale
JamiiForums-1347950702.jpg
 
Huku ndiko kujitambua ambako nakusemea mimi big up sana mamii! Wenzako wanataka waishi ki star wakae prime areas apartments ikiwa hawana kazi wala biashara rasmi za ku sustain hio aina ya maisha. Matokeo yake atajilengesha kwa mume wa mtu ili wagawane matumizi na mke mkubwa 😀😂😂!

Mwisho wa siku ni kujiharibia maisha tu na kuishia kulalamika kama hivi.
Thanks. Kama juzi juzi kuna kuna msichana kapangiwa apartments na mume mtu hapa jirani na kwangu. Kahama usiku wa manane kisa wamekorofishana na mchepuko. Sijui naye alikuwa na boy wake. Yaani shida tupu. Kudanga kuna mwisho wake, na kuna umri utataka na wewe uwe na maisha yako lakini inakuwa too late maana hujazoea kujitafutia.
 
Thanks. Kama juzi juzi kuna kuna msichana kapangiwa apartments na mume mtu hapa jirani na kwangu. Kahama usiku wa manane kisa wamekorofishana na mchepuko. Sijui naye alikuwa na boy wake. Yaani shida tupu. Kudanga kuna mwisho wake, na kuna umri utataka na wewe uwe na maisha yako lakini inakuwa too late maana hujazoea kujitafutia.
Too bad mzee maisha yanakuwa hayana maana tena.

Atakuwa alifumaniwa na sms za ki home boy chake anachokipenda. Sasa unajiuliza ugumu wa kukomaa na huyo kijana wakapanga maisha pamoja ni nini hadi adange?
 
Kwani ni kila ukituma hela ni lazma ule? Jamani si itakuwa kuuziana huko. Na pia sio lazima utoe hela mara tu unapokula tunda la mwenza wako...
Kikubwa ni kutambua kwamba huyu mwenzako anahitaji kujaliwa na tuhuduma tudogo tudogo au tukubwa tukubwa kulingana na uwezo wako
Kwani nyie msipompenda mtu unafikiri mnaendaga hata kinafiki, si huwa hamukosagi sababu yani. Wanaume sisi hata kama demu hulipendi ila kuligonga ukipata ugwadu ni mara kwa mara.

Wajuba huwa tunajua kabisa hapa sipendwi linapendwa pochi tu kwahio namna pekee ya kukamata mbususu ni kupitia mwito wa geto. Maana ukiwa huna shida huoni sababu hata ya kutuma sms.
 
Too bad mzee maisha yanakuwa hayana maana tena.

Atakuwa alifumaniwa na sms za ki home boy chake anachokipenda. Sasa unajiuliza ugumu wa kukomaa na huyo kijana wakapanga maisha pamoja ni nini hadi adange?
Ni tamaa tu ya kutaka makubwa
 
Kwani nyie msipompenda mtu unafikiri mnaendaga hata kinafiki, si huwa hamukosagi sababu yani. Wanaume sisi hata kama demu hulipendi ila kuligonga ukipata ugwadu ni mara kwa mara.

Wajuba huwa tunajua kabisa hapa sipendwi linapendwa pochi tu kwahio namna pekee ya kukamata mbususu ni kupitia mwito wa geto. Maana ukiwa huna shida huoni sababu hata ya kutuma sms.
🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙉🙉🙉 kumbe mnajuana eehh
 
🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙉🙉🙉 kumbe mnajuana eehh
Tabia zenu wajuba tunazo kwenye fingertips.

Mwanamke anayeenda kuliwa kwa hiari ni yule aliyependa na ana hisia na mwamba na hao huwa sifa ya kuomba omba hawana wanapambanaga na hali zao mpaka unaona aibu unampa faranga.
 
Tabia zenu wajuba tunazo kwenye fingertips.

Mwanamke anayeenda kuliwa kwa hiari ni yule aliyependa na ana hisia na mwamba na hao huwa sifa ya kuomba omba hawana wanapambanaga na hali zao mpaka unaona aibu unampa faranga.
Kumbe mnaongelea wale mnaodanga nao eehh
Haya mpambane na hali zenu kiroho safii
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu.

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka.

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi.

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu.

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kwa uzuri ulionao kwa nn nisikununue?
 
Dah zimepigwa gear humu n balaa
Rosemary mama pole
Wadau wamechafukwa[emoji16]
Anataka hela lakini hataki kunyanduliwa..!!! Hayo anayaweza ndugu yake tu..!! Tena ndugu mwenyewe asiwe yule wa nyama ya hamu...! Maana huyo atapita naye kirahisi sana.
 
🤣🤣😂 Ila kupitia huu Uzi wanawake tushushe kiranga cha 50/50, tuelewe kuna Haki Sawa na mfanano wa Haki......mfano Kama kuna watu wawili mmoja ana umri wa miaka 40, mwingine ana miaka 2 na wote Wana njaa, ukiwapa Kwa Haki Sawa utawapa wote mtori nusu bakuli au wali kilo moja moja....hapo umezungumzia Haki Sawa ambapo either mmoja atapunjika au atafaidi zaidi.
Lakini kwenye mfanano wa Haki kila mtu atapata anachostahili, wa mtori ale mtori wa wali ale wali.

So wanawake wenzangu, we can't beat nature, tulilie mfanano wa Haki, nature inataka tuhudumiwe, tuna Haki ya kuhudumiwa....Ila Haki huambatana na wajibu, ni wajibu wetu kuwa submissive Kwa hawa wanaume watafutaji.....ukiambiwa njoo uifate getto nendaaaa😂😂😂😂 tena Nenda Kwa adabu, toa yoteee!🤸🏿‍♀️
Tena muulize Kama anataka tena, hakuna mwanaume mgumu Kwa mwanamke mnyenyekevu.

Shida tunajifanya ngangari, tunahubiri 50/50 huku pesa zao tunazitaka😂
Dah..!!! Nimekosa tu imoji iliyo zaidi ya malovelove kwenye macho.. ningeiweka hiyo wallah
 
Mtu yupo Mlimani City kwenye Ice Cream shop analipwa 100K ila huwezi mtoa hapo ukampeleka sehemu local ambayo utampa 10 per day.
80 percent ya madada duu n maviazi mviringo,acha watu waombe tu hizo nanii hakuna namna,wanaume wamekataa kupata hasara zote mbili.

Apate hasara ya kukupa hela ambayo iko wazi utamrusha hutomrudshia,apate na hasara ya kukosa nanii, bora mtu apate hasara 1 faida 1 sio hasara kote asee,hata mimi sikubali.
 
80 percent ya madada duu n maviazi mviringo,acha watu waombe tu hizo nanii hakuna namna,wanaume wamekataa kupata hasara zote mbili.

Apate hasara ya kukupa hela ambayo iko wazi utamrusha hutomrudshia,apate na hasara ya kukosa nanii, bora mtu apate hasara 1 faida 1 sio hasara kote asee,hata mimi sikubali.
Hahahahahah cross multiplication au unamaliza equation kwa substitution method.
 
Back
Top Bottom