Umesoma mind yangu aisee baada ya kusoma baadhi ya comments za wanawake humu....Na hapo anaona ni haki yake wewe umpe hiyo hela, mkuu hawa viumbe ni waajabu sana. Niko mbioni kuandika uzi nitakao utetea vema kwa dondoo za kutosha jina la uzi nitauita: -
"Labda tusiwalaumu sana, ukweli ni kwamba Wanawake hawana akili"
Vivulana hivi huwezi kuta wanaume tunajadili suala la kumpa hela mwanamke au kutompa.Huu Uzi nimecheka sana, mbona nilisikia wanasema wanaume huwa mnaona Raha kuombwa pesa.....imekuaje tena?
Bora wewe umesema huachi,wenzako wanataka watuombe tu,halafu wasiliwe,hebu wape uzoefu hadi wewe ukazoea.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani wanaume wa humu ni wachoyooo, walivyotapika nyongo sasa!![emoji119][emoji119][emoji119]
Na hatuachi.
Hata me nashangaa aiseeHizi mwanamke kutombwer ni kuharibiwa utu na thamani yake?
Nimeipenda hii, be a man, stay Taliban....Mr TalibanMapenzi yapi unayozungumzia...??, Wewe kwenye hayo maelezo yako wapi unaona kuna Mapenzi...,,,tafsiri ya UTU kwako ni kupewa hela na Mwanaume...??,,ulimpa akuwekee hio hela,,? unamdai..?? Yeye hana ndugu wa kuwasaidia..??..... Wewe kuombwa UCHI ndio kijana amekosa UTU,,??,,ila wewe kuomba hela ndio Mapenzi.??? ,,kama hutaki kutoa mbunye si ungebaki kwenu na shida zako,,,na yeye umuache na hela zake...
Ndugu WANAUME,,,MILELE katika maisha yako usiwahi kujisikia vibaya mwanamke akikuita jina lolote baya kisa tu ulikataa kumpa hela...Mpuuze,,,na uendelee na maisha yako,,, Wanazipenda hela zetu, ila hata sisi tunazipenda pia..
Be a Man, Stay Taliban.
Wanaume wamewachoka wakaamua waungane kwa pamoja wafanye mashambuliziWee hizi pini mlizotutandika hatuna hali hukuu!
Tulikua tumelala yeye katuamsha!Mleta uzi bila shaka huu ni zaidi ya mwongozo umewapa Me sababu karibia wote wana wakkka mbaya. 😂😂
😅😅😅 ukiomba vocha ni kosa pia kwani??Kuomba wala sio tatizo ila tatizo liko hapa kama ulikuwa ni muombaji alafu ukamuomba mwanaume ukiwa unatatizo serious mwanaume lazima akushushe thamani na wala usihesabie huo ni upendo ataona nitabia yako ya upigaji vizinga lakini kama ulikuwa sio muombaji ikatokea ukawa una shida serious hiyo hamna shida hata mwanaume anaweza akakupa bure hata bila masharti na atachulia tatizo lako kiuzito sasa mtoa mada yupo kwenye kundi lipi nilizongumzia
Nashengena
Rosemary 255
Championship
Krait
Rebeca 83
mzabzab
Asee 😅😅😅 mimi ungenitukana hivi ningelia kwakweli 😅😅😅😅😅Yani wewe unaona "unastahili" pesa toka koka kwa mwanaume sio kaka wala ndugu yako, NA UNAONA NI HAKI YAKO KUPEWA PESA BUREE, qmmae we ni bwege sana. Wewe ulishawahi kuwapa wanaume wangapi pesa wenye shida ?! Stupid prostitute.
Nikushauri kitu kupata hizo hela za wanaume, nenda uwanja wa fisi kajiuze idiot, hiyo pesa unayotaka upewe na wanaume SIO YAKO na hawakupewa. Malaya Jinga.
Si hiki mwenzio ndo hataki, anataka apewe hela halafu yeye utamu wake usiguswe😂😂😂Mjadala mkali sana, mi naona suluhisho kila mtu abaki na chake, wanaume mbaki na pesa zenu na wanawake tubaki na utamu wetu.
Atayetaka cha mwenzie tubadilishane.🤣
Uzuri wanalijua vizuuuuri hata wakakamae vipi hiyo iko pale paleeee.
Mtume na ya kutolea tafadhali.Tunatoa ila mje zichukulia geto
Ila kiukweli hata utamu tunao wenyewe, ni basi tu.Mjadala mkali sana, mi naona suluhisho kila mtu abaki na chake, wanaume mbaki na pesa zenu na wanawake tubaki na utamu wetu.
Atayetaka cha mwenzie tubadilishane.🤣