Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

[emoji1787][emoji1787][emoji23] Ila kupitia huu Uzi wanawake tushushe kiranga cha 50/50, tuelewe kuna Haki Sawa na mfanano wa Haki......mfano Kama kuna watu wawili mmoja ana umri wa miaka 40, mwingine ana miaka 2 na wote Wana njaa, ukiwapa Kwa Haki Sawa utawapa wote mtori nusu bakuli au wali kilo moja moja....hapo umezungumzia Haki Sawa ambapo either mmoja atapunjika au atafaidi zaidi.
Lakini kwenye mfanano wa Haki kila mtu atapata anachostahili, wa mtori ale mtori wa wali ale wali.

So wanawake wenzangu, we can't beat nature, tulilie mfanano wa Haki, nature inataka tuhudumiwe, tuna Haki ya kuhudumiwa....Ila Haki huambatana na wajibu, ni wajibu wetu kuwa submissive Kwa hawa wanaume watafutaji.....ukiambiwa njoo uifate getto nendaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena Nenda Kwa adabu, toa yoteee![emoji2232]
Tena muulize Kama anataka tena, hakuna mwanaume mgumu Kwa mwanamke mnyenyekevu.

Shida tunajifanya ngangari, tunahubiri 50/50 huku pesa zao tunazitaka[emoji23]
Huyu ajengewe sanamu pale mbele ya ikulu mpya dodoma... [emoji119]
 
Mara chache sana mwanamke kumtegeshea mimba mtu hasiye na kitu (kwa % sizani kama inazidi tano),hivi ushajiuliza kwa nini wanawake wengi wanapenda kuwategeshea mimba watu wenye hela? Ukishajua ndio utajua kwa nini nilisema hivyo na mwisho wa siku hao wenye hela bajeti zao zina hamia kwa mtoto sio mama na kwa akili yao inabaki kwenye urithi utazani waliambiwa na Mungu atakaye tangulia kufa ni mwanaume.

Huu mtego wanasa mabinti wengi tena mpaka wengine kuzaa na waume za watu sababu tu ya tamaa zao za fedha.
Tunaongea kitu kimoja, ila naona hujapendezwa na suala la kuchagua mwenye hela.

Mtoto ni mtoto tu sio lazima kuwe na ndoa. Mtoto anahitaji hela kwa hiyo ni sahihi kabisa kwa mwanamke kuzaa na mtu mwenye hela, suala la kwamba ni mume wa mtu sio la muhimu sana. Wenye hela ni wachache.
 
Hiyo mentality ya kuomba kuomba pesa sana ndio inawafanya muwe single mother wengi huyo mwanaume atalipa hizo pesa ila hatokuweka kwenye category ya wife material put it in your mind Wanaume wasasa wanaoa wanawake watakao waoffer something in return kwa maana nyingine wanataka win win situation.
Bwana punguza hasira. Kwani kuwa single mom ndo nini? Mnaona mkimwambia mtu ni single mom atajisikia vibaya eeeh? Mimi ni single mom na nikitaka kuwa tena nitakua. Sipangwingwi.
 
Back
Top Bottom