Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Hapana hujanikwaza ila umeandika kama vile unamwandikia mtu anaeishi kwa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye maisha na binadamu wengine.

Btw nishatumiwa 400k hapa na bby na kasema ananipenda nikashop nienjoy.

Ona maisha yalivyo ya ajabu sasa, wakati wewe umeandika kama vile hela unatoa wewe muhusika katoa chaaap.
Sasa sihuwa unampa au?
 
Bora we umepewa pesa mwenzako huku kapewa chocolate ya buku tu kaliwa mara mbili na kuachwa
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?

Wanawake kuweni na utu achebi na kupanua mapaja bila kukupa hela.

Nikiwa na hamu na nimekutafuta, si uje tu gheto unipe Bure.

#YNWA
 
Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Kwa hio ni kawaida mwanaume kuombwa hela....ila Mwanamke akiombwa sex sio kawaida....???...

Huwezi himiza Vijana watafute hela ili wawape wanawake,,,, Vijana wanapaswa kujiendeleza kiuchumi kwa faida ya vizazi vyao na future yao,,,na taifa kwa ujumla.
 
Tunaongea kitu kimoja, ila naona hujapendezwa na suala la kuchagua mwenye hela.

Mtoto ni mtoto tu sio lazima kuwe na ndoa. Mtoto anahitaji hela kwa hiyo ni sahihi kabisa kwa mwanamke kuzaa na mtu mwenye hela, suala la kwamba ni mume wa mtu sio la muhimu sana. Wenye hela ni wachache.
Na huku kujilengesha kuzaa na mtu mwenye hela ni sawa na kufanya betting. Unaweza kuthania mtu ana hela kumbe anazo za kumtosha yeye tu na familia yake.
 
Huu uzi unatoa ishara kuwa wanaume wengi saiv tumestuka

Mi najua kabisa mke wangu sasa hivi anawekwa na jamaa for revenge huyu nilienae namuweka vilivyo

Warranty ya mahusiano ni miezi sita na hapo ukiwa unahonga sana
 
Huna ndugu mpaka uombe watu Baki?

Mbona wanaume hawawaombi ninyi?

Acha kujidhalilisha na kuuvua utu wako na thamani yako kama mwanamke!

Muombe Mumeo pesa, omba wazazi pesa, omba ndugu zako pesa hasa mliozaliwa wote au ndugu za Baba au Mama yako.

Hakuna upendo kwenye kuomba omba watu Baki.

Mwanamke anayeomba pesa mtu asiye mume wake huwaga wanaume tunakuwa tunamchukulia Kwa namna ya kupekee
Kwa namna flani😅 ya pekee!
 
Huna ndugu mpaka uombe watu Baki?

Mbona wanaume hawawaombi ninyi?

Acha kujidhalilisha na kuuvua utu wako na thamani yako kama mwanamke!

Muombe Mumeo pesa, omba wazazi pesa, omba ndugu zako pesa hasa mliozaliwa wote au ndugu za Baba au Mama yako.

Hakuna upendo kwenye kuomba omba watu Baki.

Mwanamke anayeomba pesa mtu asiye mume wake huwaga wanaume tunakuwa tunamchukulia Kwa namna ya kupekee
Heriel kama Robert
 
Umeona eh.. maana mleta mada kichwa cha habari alichoandika na maelezo aliyotoa ni tofauti. Mie nilidhani anaongelea Marioos.
Ni kweli kichwa cha habari ni tofauti na maelezo yeye angerekebisha kichwa cha habari angeandika Mpenzi wake hampi pesa mpaka hapewe sexy, kuliko kusema wanaume wanafanya mapenzi biashara na ukiona mpenzi wake hampi pesa bila kusexy tatizo litakuwa kwa mtoa mada pengine nayeye anatabia yaky msumbua mshikaji kwenye kutoa penzi anatoa kila anapojisikia yeyetu na siku akiitajika na mwanaume wake analeta visingizio vingi. Kwa mfano utakuta mwezi mzima hajaonana na mpenzi wake na ukamuomba pesa ukaenda kuifata kwake unadhani kuna mwaume ataacha kuomba sexy.
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Huna hoja. Kwani kakulazimisha utoe penzi?. Kwanini usikatae kumpa penzi, kama sharti ni mpaka akuparue, na ukaenda kuomba wengine wanaotoa misaada.
 
Back
Top Bottom