Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,366
- 183,358
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗Huu msumari wa moto.
Japo sikubaliani na hili.
Kumla mtu kisa amekuomba 30k ni sawa na kumbaka au kununua changu.
Atakupa lakini hisia zake hazipo kwako.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗Huu msumari wa moto.
Japo sikubaliani na hili.
Kumla mtu kisa amekuomba 30k ni sawa na kumbaka au kununua changu.
Atakupa lakini hisia zake hazipo kwako.
No! ni jamii nzima kwa ujumla ndugu yangu ndio maana wengi wetu tunaongea vile na hivi ili kufanya mjadala uwe mjadala.Sasa hio ni kesi yako na moyo wako!
Wanasema kila mtu ashinde mechi zake mkuu!No! ni jamii nzima kwa ujumla ndugu yangu ndio maana wengi wetu tunaongea vile na hivi ili kufanya mjadala uwe mjadala.
Wanasema kila mtu ashinde mechi zake mkuu!
HahahhaNa hio ndio BUSARA,,, ila Watu wanapenda sana kupoteza Muda,,,,muda aliotakiwa atafute hela zake anapoteza kulalamikia hela za mwenzake....
Hizi mwanamke kutombwer ni kuharibiwa utu na thamani yake?Umejibu vyema mkuu, niongezee tu hapo kuwa huyo mwanamke ana mahusiano gani na huyo mwanaume, kuna uhusiano wa kirafiki au ushkaji tu, na uhusiano wa mapenzi, sasa kumuomba mwanaume ambaye ni rafiki wa kawaida haina shida, lakini kama ni mpenzi hilo ni tatizo kubwa na linawakatisha wanaume wengu tamaa, ukweli ni kwamba wanaume wengi wanachukia tabia ya kuombwa ombwa hela na wanawake, inabore, kingine pia inategemea huyo anayeombwa hela urafiki/ uhusiano wenu una muda gani, sa unakuta mtu mmefahamiana tu wiki moja unaanza kumuomba hela, lazima ashtuke, maoni yangu hapa ni kwamba wanawake tuache hii tabia ya kuomba omba hela wanaume, tujitaidi kutafuta za kwetu, lakuni tatizo lingine tusiwe na matarajio sana ya kupata pesa kwa mwanaume unapomuomba, naye pia wakati mwingine anakosa, so kwa hili tujerekebishe, lakini kwa upande wa kiumeni, kama hauwezi kumsaidia mtu ni bora uache but sio kumsaidia kwa conditions, unless labda kama kalazimisha mwenyewe, ni bora umwambie sina kuliko umpe hela umuharibie utu na thamani yake.
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi
Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Mnavyokuwa wakali, kwa nini mwanaume anakubali kumpa hela mwanzo, akifika mpaka msex...kama hamjaelewa topic ya mtoa mada...
Waafrika Wengi tumevurugwa sana hasa kwenye utafutaji wa Pesa. Hebu Date na Mwanamke Ambaye Kwao pesa si shida sana utaona Utofauti mkubwa sana na Wanawake wengine.mkuu umeandika kwa ghadabu sanaa ila ni ukweli mchungu huyu binti kuleta hii mada si bure mada imekaa KITANGAZO TANGAZO hii.. anatafuta customers
Asante.. Sasa huyu mtoa mada anadhani kuombwa mbususu kuna formula...!! Hakuna formula eidha unaambiwa naomba kunyandua au ukiomba hela unaambiwa ifuate magetoni. Na wewe kweli unaenda halafu utegemee usinyanuliwe..!! Ukienda hata kubakwa utabakwaKawaida kabisa. Si anayo kwanini asiombwe?
Basi tulieni tu, zitafuteni sana maana tunazihitaji.Hatukutumwa, kwani nyie mlitumwa muwe wanawake wa kuishia kuombana hela ?? SI ungekuwa mwanaume na wewe utafute zako!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Ni mwenda wa kuwapa hela na nyie kubanduliwa... Hivyo msilaumu kwa tunafanya biasharaBasi tulieni tu, zitafuteni sana maana tunazihitaji.
Kama hamtaki tuwaombe basi mzitoe wenyewe maana kazi inaendelea[emoji1787]Kwa hyo nyie mlitumwa kuwa omba omba?
Mada inahusu matusi?Jikite kwenye mada Espy.
Mie naishi kwenye reality sio kichwani mwako nduguUshauri wangu ni mzuri Sana niliokupatia ufanyie kazi utakuja kunishukuru kwasababu sisi Wanaume tunajuana Wanaume wasasa wanataka win win situation