MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,291
- 2,368
Tumepigwa knock out![emoji1787][emoji1787]
Sioni ni kwa namna gani mnaweza kufanya comeback/remontada, mianya yote imefungwa.
Tumepigwa knock out![emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo mmekubali ni biashara si ndio? Sasa huwa mnalalamika nini wakati mmeyageuza biashara?Ni mwenda wa kuwapa hela na nyie kubanduliwa... Hivyo msilaumu kwa tunafanya biashara
inategemea mahusiano yenu mmeyajengaje kama alikutongoza na wewe ukaomba pesa lazima na mwanaume ataomba sexy.Mnavyokuwa wakali, kwa nini mwanaume anakubali kumpa hela mwanzo, akifika mpaka msex...kama hamjaelewa topic ya mtoa mada...
Yanii hapo no way!!Sioni ni kwa namna gani mnaweza kufanya comeback/remontada, mianya yote imefungwa.
Hapa umetoa funzo kubwa sana ngoja nimtag bidada Rebeca 83 njoo hukuKutoa bila kutarajia lolote ni UONGO,,,,, watu tu wamekuwa Manipulated ili Wazungu watupige.
Hata wale wanasaidia masikini huwa wanatarajia Baraka kwa Mungu,,,Yaani hawatoi kwa ajili ya wanayempa msaada,,,ila wanatoa ili Mungu awaone wametoa then wanatarajia kuongezewa, baraka n.k.. so hawatahitaji kujitangaza kwa binadamu ila wataamini Mungu anawaona...na ENDAPO wakiandamwa na mabalaa hukumbuka yote na kuanza kuona kama Mungu anawalipa tofauti na matendo yao mema(kulalamika).
Msomaji sio lazima uelewe sasa,,, Jipe Muda...
Kuomba hatutaacha hili wajue kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani wanaume wa humu ni wachoyooo, walivyotapika nyongo sasa!![emoji119][emoji119][emoji119]
Na hatuachi.
Umeona nondo zinazopigwa humu sipati picha mtakuwa kwenye hali gani mpaka mtetesi wenu Rebeca 83 kakimbia uziYanii hapo no way!!
Tunatoa ila mje zichukulia getoKama hamtaki tuwaombe basi mzitoe wenyewe maana kazi inaendelea[emoji1787]
Kwan bila kupewa pesa huwez fanya naye mapenzi?Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi
Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Ila wenzenu wanapewa bila kuomba uoni tofauti iliyopo
Angalau wewe unaonesha uhai wenzako wamekimbia na wanachungulia kwa tochiNimeona tuna hali tete hapa acha tu!!
HahahahaKwani Huyo Mwanaume yeye kafanyaje akaipata hiyo Elfu 30 wewe ukashindwa kufanya Hicho kitu na wewe ukaipata hiyo elfu 30? Kujiepusha na Kulaumu watu humu
Je ulishamuomba Mwanamke Mwenzako hiyo elfu 30 akakujibuje.
Pesa hutafutwa ndugu haziombwi. Ukiomba Kubaliana na Masharti ya Uliyemuomba. Hata Nchi Yetu inaomba na Inapewa Masharti kibao na Inawezekana ingekuwa mwanamke basi Ingekuwa Malaya
Kuwa na Chako uone kama utalaumu Wanaume
Wee hizi pini mlizotutandika hatuna hali hukuu!Angalau wewe unaonesha uhai wenzako wamekimbia na wanachungulia kwa tochi
Kama nikiomba napewa kwanini nisiombe?Ila wenzenu wanapewa bila kuomba uoni tofauti iliyopo
Nyie si mnasema haki sawa. Tuitafute hela wote ukitaka kula cha mtu na wewe ukubali kuliwa. Tatizo mnaendekeza shida bila kujua wanaume nao wana shida zao.Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi
Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Hiyo ndio maana ya upendo anafanya hivyo ilimradi akupe furahaKila mbuzi ale urefu wa kamba yake tatizo wengine kutaka kujitutumua ilhali hali zenu wenyewe za kujikongoja!