WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Babu Dark City kweli kabisa tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa wakati huu ambao bado anatuazima pumzi yake bure.

Pia kumshukuru Mungu pia kwa kutupa nafasi ya kutafakari matukio mbali mbali yaliyotokea katika maisha yetu mazuri na mabaya,,yote kwa yote tunafundishwa kushukuru kwa kila jambo.

Na tena kwa kutupa marafiki hapa JF na pia kwa elimu nafundisho na changamoto mbali mbali .

Kipekee namshukuru sana MUNGU kwa kila jambo na kwa kila changamoto niliyoipata mwaka huu hadi leo nikiwa hapa mbele ya key board.

Mwaka huu kwangu umekuwa na ups and downs za kutosha, but ki ukweli namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na marafiki wa ukweli hapa JF, niliowaona face to face, na weengine just behind the keyboard. When i was down karibu ya kuzama kwa kweli mliniinua.MUNGU awabariki sana sana.
I will always love you ALL

To mention few in behalf Dark City babu yangu kipenzi, Mwanyasi, YNNAH, Arabela CHUAKACHARA, PakaJimmy, Mzee wa Rula, Arushaone Preta, Blaki Womani, Lily Flower, erckb52 baba JR thanks for being a good father tom my son, IGWE, Liverpool FC, Filipo, marejesho, Kaizer, watu8, Madame B, Smile, AshaDii a woman i inspire the most, Mtambuzi, KakaKiiza, Nicas Mtei, COPPER, amu, @Nivfea, Fixed Point i always remember you my sister, ulikuwa unanifariji sana in my sand moments, Avemaria, BAK the BFFL, BHULULU, Fidel80, Baba V, mzabzab, gfsonwin, Simplicity, Tutor B, charminglady, sweetlady, Ladymasa, @C6, Vin Diesel Mentor, DEMBA wifi yangu, Mwita Maranya, lara 1, Ennie, zion Daoghter, babu Asprin, kaka Rutashobolwa na wifi yangu Passion Lady, Eiyer, Mr Rocky, Karucee, FirstLady, kiwatengu, shansharie, Mamndenyi, Jiwe Linaloishi, Mungi, Mkirua you are the best firiend, The Boss, kipipi, kokudo, Mutta, N-handsome, Negrodemus, zubedayo_mchuzi, nitonye, Bishanga, Mamzalendo, Mrembo by Nature, The secretary, Zinduna, Ablessed, Tuko Heaven on Earh, Lady doctor, Evelyn Salt, Mzizi Mkavu, Rweye, MAKOLE King'asti,
And many many more ambao sijawataja, I owe you my friendship.

Special thanks to JamiiForums FOUNDERS, Tanga Wing, Arusha Wing and Dar wing.

Nimejifunza mengi kutoka kwenu na nimepata mengi ya faida yatokanayo na posts/threads kwenye majukwaa yote.

Kwa kumalizia I just wish you a.......

2279231.jpg



FRIENDSHIP FOREVER
KOKUTONA

Mtani KOKUTONA ahsante kwa kuja, wewe ni kati ya marafiki zangu wa JF niliofanikiwa kuonana nao beyond keyboard kwa mwaka huu wa 2013.

Nakutakia mwaka 2014 uwe mwema sana na wa furaha na mafanikio.
 
Last edited by a moderator:
JF imekua kituo kingine cha mafunzo kwangu
kupitia michango ya membaz humu naendelea kujifunza kila iitwapo leo
shukrani za dhati kwa members woote..mnafanya siku yangu kua na furaha na maudhi madogo madogo..yote ni maisha
kwa Kaizer..umekua kaka mwema,umekuwepo pale ninapohitaji mtu wa kuongea nae,kwa ushauri wako na kujali kwako nimekua strong kwa kweli..asante sana..Mungu akujalie busara zaidi,haujui tu...lakini unamchango mkuubwa sana kwa hatua niliyopo Kaizer paroko..ule mpango wacha nitumie kura yangu ya veto niufanikishe,usikatae kucheza na mie loo
..tumechoka kujifanya wajinga Kaizer,siku nyingi zishapita
kiwatengu..a thousands apologies to u my dia,nimekuangusha mara nyingi sanaa...mpaka aibu..haimaniishi kua nafanya makusudi ila naamini kuna siku tu utanielewa..i will make it up to you
Rich woman we sijui umep[otelea wapi,lakini nakukumbuka sanaaa....mchango wango ulikua muhimu sana unajua...love u much
Mentor...I have alot to say about you,one day i will find the right words and they will be simple...Thank you for being there for me..katika nyakati nilizokua siwezi kutabasamu wewe na Kaizer mlinifanya nitabasamu sana..thank you so much..na uache kuacha alama alama kila unapopita..
Arushaone raisi wa CC..thank you bro..najua unajua kwa nini nasema ivi

to all members :michango yenu chanya na hasi kwenye nyuzi,wakati mwingine inaathiri maisha yetu halisi...
 
Last edited by a moderator:
Babu huwezi amini
i'm speechless kabisaaaa kwenye hili

Nahisi furaha na kustaajabu hapohapo kutokana na watu walivyokuwa na michango ya kutisha kwa point
Hata nikianza kuwataja nahisi siwatendei haki!

Ahsante sana Eiyer,

Mimi nilijaribu kuwataja wachache ila bado najisikia vibaya kwani kuna watu wengi nilishindwa kuwamention. Naamini watanisamehe.

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Babu Dark City mi nashukuru sana kwa kuleta hii mada....!
Nina mengi sana moyoni yan saaaaana kwa kweli na sitaweza kuyaandika yote.
Ila JF imenipatia mwangaza sana katika maisha hivyo nimejifunza mengi sana!
JF imenifanya niwajue watu wa dizain zote....!

Ila napenda kuwashukuru wote wenye mitizamo chanya katika kuendeleza jamii yetu ya watanzania, nawaombea mafanikio katika mwaka ujao 2014.

Special thanks kwa my Number One, bibie Chocs kwa kuwa nami kwa shida na raha :smile-big:
Pia Bishanga popote ulipo nakumiss sana mzee mwenzangu (Come back)! The secretary, AshaDii Avemaria Mr Rocky (Big Up sana)

Merry X-Mass and Happy New Year 2014!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dark City...

Kweli umegusa mengi na wengi tunakila sababu ya kushukuru!
Mimi Jf imekuwa kama familia yangu ya pili,
Kuna wadau nimejuana nao hapa lakini i regard them as the part of my
family!! Mamndenyi, (huyu ni aunt yangu coz ukoo wetu ni mmoja but i use to call her mama na namkubali sana), Mr Rocky, Arushaone my brothers, tumejuana hapa na i always consider you as my truly brothers.

Nimekuwa nikipata faraja kubwa sana kupitia majukwaa mbalimbali hapa
JF

Misiba, shida za hapa na palepale mara nyingi nilifarijiwa na wanajf!

Special thanks kwa wife wangu shansarie, japokuwa hatukujuana kupitia JF ,
lakini hapa pamekuwa pia kama sehemu kubwa ya mawasiliano yetu..and I love you so much!!
( Ablessed i think you know something about me and shansarie)

Thanks to KOKUTONA umenikampani vya kutosha rafiki yangu.
we unaweza kuona ni kawaida but i real appriciate it....

my friends Ablessed mwallu, watu8 Kaizer marejesho Erickb52 Heaven on Earth, Mungi Filipo Passion Lady, kabanga, The secretary, MMAHE!!
mmekuwa marafiki wazuri sana kwangu, na nimefurahia sana kuwa marafiki wazuri.

Nimengi sana ambayo nayapata kupitia Jf, nisikusahau AshaDii inawezekana umesahau, lakini nikukumbushe tu
Tuliwahi kubadilishana mawazo hapa na hakika kuna kitu nilijifunza kupitia wewe!!
Thanks to all!!


Viva Jamiiforums, Viva Wanajamiiforum wote.
Much love to you all.
Dark City na watu8 kuna siku tutaonana!! keep this!

sina cha kuongeza mkuu.

Karibu sana kwenye family ya babu.

Babu DC!!
 
Babu Dark City mi nashukuru sana kwa kuleta hii mada....!
Nina mengi sana moyoni yan saaaaana kwa kweli na sitaweza kuyaandika yote.
Ila JF imenipatia mwangaza sana katika maisha hivyo nimejifunza mengi sana!
JF imenifanya niwajue watu wa dizain zote....!

Ila napenda kuwashukuru wote wenye mitizamo chanya katika kuendeleza jamii yetu ya watanzania, nawaombea mafanikio katika mwaka ujao 2014.

Special thanks kwa my Number One, bibie Chocs kwa kuwa nami kwa shida na raha :smile-big:
Pia Bishanga popote ulipo nakumiss sana mzee mwenzangu (Come back)! The secretary, AshaDii Avemaria Mr Rocky (Big Up sana)

Merry X-Mass and Happy New Year 2014!

Mkuu wale Number one wengine mbona hujawataja?
BTW: Preta hajambo lakini?
 
Last edited by a moderator:
Duu!! Ups and downs the year 2013 hazikuwa za kitoto, ngoja niscan the past kuconfirm kuna kunazakucompare.
 
Nashukuru sana kwa member wote wa MMU, na jukwaa zima; kwa kweli kuna mengi nimejifunza yamenisaidia sana kwa kipindi cha miaka 3 ambayo nimekuwa member.

Sijakutana na wengi physically lakini nimekuwa nao kwa karibu sana katika shida na raha. Nachelea kutaja majina kwani ni wengi mno kiasi kwamba naweza nisiwatendee haki ambao sijawataja.

Mungu azidi kutukinga na mibalaa na kutubariki katika kila tuliwazalo, tulisemalo na tulitendalo ili vyote viendane na utukufu wake.

Love you all
and Happy end of the year holidays
 
Babu Dark City mi nashukuru sana kwa kuleta hii mada....!
Nina mengi sana moyoni yan saaaaana kwa kweli na sitaweza kuyaandika yote.
Ila JF imenipatia mwangaza sana katika maisha hivyo nimejifunza mengi sana!
JF imenifanya niwajue watu wa dizain zote....!

Ila napenda kuwashukuru wote wenye mitizamo chanya katika kuendeleza jamii yetu ya watanzania, nawaombea mafanikio katika mwaka ujao 2014.

Special thanks kwa my Number One, bibie Chocs kwa kuwa nami kwa shida na raha :smile-big:
Pia Bishanga popote ulipo nakumiss sana mzee mwenzangu (Come back)! The secretary, AshaDii Avemaria Mr Rocky (Big Up sana)

Merry X-Mass and Happy New Year 2014!

Kesi yangu na wewe ni kuwa kuliko Rivonia trial... Ngoja Nitafuatilia loya kwanza.

Hivi @kloroquin ndo kapotea jumla?

Lazima tumalizane kabla ya kuu funga huu mwaka!

Babu DC!!
 
Nashukuru sana kwa member wote wa MMU, na jukwaa zima; kwa kweli kuna mengi nimejifunza yamenisaidia sana kwa kipindi cha miaka 3 ambayo nimekuwa member.

Sijakutana na wengi physically lakini nimekuwa nao kwa karibu sana katika shida na raha. Nachelea kutaja majina kwani ni wengi mno kiasi kwamba naweza nisiwatendee haki ambao sijawataja.

Mungu azidi kutukinga na mibalaa na kutubariki katika kila tuliwazalo, tulisemalo na tulitendalo ili vyote viendane na utukufu wake.

Love you all
and Happy end of the year holidays


Mzima Kaunga?


missed you so much.

Ahsante kwa kwa kuwa mmoja wa stars wa MMU!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Asanteni babu DARKCITY na dada AshaDii kwa salamu nzuri za kufungia mwaka nami nakiri kuwa kwa kweli jf ni sehemu nzuri ya kujifunzia,kufahamiana kujenga mahusiano mazuri,kuelemishana,kukosoana pale inapofaa,kufahamishana mambo yanayoendelea katika jamii zetu, kupata ushauri ambao ukitumiwa vizuri ni wenye manufaa JF na idumu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom