WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Mtambuzi jalala.........chochote hupokea!!!

Akija namchezea sharubu ananyong'onyea mwenyewe!

Eti nini?

bora masikio yangu yangeshastaafu pia.... Sikutamani kuyasikia haya kabisa.

Babu DC!!
 
Kwahiyo huwa unaninyima vie ninavyovitamani ili tu ukisikie kigugumizi changueeeehhh
Sasa nabadilika na utaisoma namba!!!!1!

Sasa vipi kale ka kitu bana?
Ujue huwa nakafikiria sana ujue!

mie mbona namba zote nishazisomaga....sasa sijui wewe utakuja na namba ipi nsoijua?!?!?!

kale kakitu kapo bana nakapendezesha......wee kaa chonjo tu!
 
ila Eiyer kusema ukwlei nilikuwaga nakuogopaaaa kha!
ulikuwa unaweka uso wa mbuzi sana na wewe!kha!
siku hizi umekuwa mellowed mpka namiss ulivyokuwa na juso la mbuzi!
ahahahaha we kuna siku ulicheka hadi nikahis kuna mtu kakuibia pasiwedi yako!

Ninachokupendeaga wewe nakijua mimi tu

Na sifa kubwa ya mwanaume ni kutokuchekacheka hovyo
Lakini anatakiwa asiwe gangstar sana hadi kwa awapendao

Si unaweza kumuona shweziniga akiwa na uso wa mbuzi lakini akifika kwa mamaa anakuwa mdogo kama nukta!
 
Babu Dark City, itabidi tuweke kikao mimi wewe, Asprin, na Kaizer ili Asprin aseme ananitafutia nini mie Karucee. Lol.Nawapenda woteee.
BAK, thank you for your inspiration and Merry Merry Xmas to you. Happy New Year.
The Boss, sheriFF ARPAIO thanks for your friendship.
snowhite, U r a darling. gfsonwin, thank you for being the one I run to when motherhood drives me crazy The secretary, thank you. sun wu, Another year...thank you.
Kaunga, King'asti, Kongosho, sakapal, SUZANE, Howt Lady,thank you.
SnowBall, miss you bro, Mentor, fanya uoe KOKUTONA, you are a blessing. Invisible, thank you DonLuchesse, hope we puff next year.
gobore, if only.....damn.
Nyani Ngabu........ if I were a boy, I would be you. Just like you. Very bad.haha.


Hicho kikao itabidi red brigade wawepo just in case...
 
mie mbona namba zote nishazisomaga....sasa sijui wewe utakuja na namba ipi nsoijua?!?!?!`
Mbona gia ni nyingi sana na nakuhakikishia huzijui zote na lazima nitafanikiwa tu
We ngoja tu!
kale kakitu kapo bana nakapendezesha......wee kaa chonjo tu!
Kwahiyo lini sasa?
Acha kuniweka roho juu mtoto wa mwanamke mwenzio!
 
kaka mkubwa ndo anaona himaya yake haiko sawa!
sasa anatembezaje kipondo!
ehehehheehhe ushawahi kuhamisha jogoo kwenye banda dogo anakuja mwingine anahakikishe mlango haupo!ahahahahha walahi siwaelewi!
sasa kama jogoo tu linatangaza utemi namuna hiyo Eiyer anambwela mbwela tu hapa!
ah mi nishaweka mpira kwapani ndo nayeya hivo!

Ki ukweli nakiri kutoka kapa hapa!
 
Ninachokupendeaga wewe nakijua mimi tu

Na sifa kubwa ya mwanaume ni kutokuchekacheka hovyo
Lakini anatakiwa asiwe gangstar sana hadi kwa awapendao


Si unaweza kumuona shweziniga akiwa na uso wa mbuzi lakini akifika kwa mamaa anakuwa mdogo kama nukta!

ulivyo na misifa sasa!
lione!mi spendi ujue!
 
Kwani kuna cha mbavu?
Mi nakijua kile cha pale tu......!!!!!!!

hv kwani mbavu huwaga ziko ngapi?
babu nisaidie hili swali!
enzi zenu jeshini mlikuwa mnaambwa mkitaka adui azimie pigeni mbavu ya ngapi vile
af mkitaka afe je mlikuwa mnapiga mbavu ya ngapi?
NAULIZA TU!
 
Back
Top Bottom