WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Kaka DC,

Nashukuru kwa kunipa hii nafasi na kunifanya nitulie hapa kuweza kutuma salamu kwa wapendwa wetu hapa jamvini.

Natuma salamu za kufunga mwaka kwa members wenzangu wote, wale niliowakuta, walionikuta, na tukakutana hapa hasa ambao tukiwa tukiwasiliana mara kwa mara kwa namna moja ama nyingine tukiwa hapa. Salamu zangu hizi zimeambatana na wishing them all the best katika msimu huu wa sikukuu na maisha yao yote. Mwenyezi Mungu azidi kutujaalia wote na kutubariki.

Kwa kweli ni weengi kuwataja na kuwakumbuka hasa tokana na kutokutana sana kwa sasa, hivyo natuma salamu kwa wote nitakao wataja na nisio wataja... Kwa kuanzia salamu hizo ni kwa; Kaizer, Asprin, Roulette, EMT, Husninyo, sweetlady, FirstLady1, MwanajamiiOne, Mbu, Nyamayao, nyumba kubwa, Boflo, Elizabeth Dominic, Mwita Maranya, Maty, Blue G, TANMO, Mzee, miss Judith, TIMING, Mr Rocky, RR , Mtambuzi, Rejao, Smile Fidel80, Teamo, Kimey, klorokwini, uporoto01, I Riwa, Arushaone, Steve Dii, Gaijin, Nyani Ngabu, Mwali, Eiyer, Mentor, Speaker, MKATA KIU, Nazjaz, Pauls njiwa, Globu, Raia Fulani, YNNAH, Nsiande, fazaa, Saint Ivuga, companero, Vin Diesel, The Finest, BAK, Preta, PakaJimmy, BelindaJacob, King'asti, Mwali, Ritz, Matola, Zion Daughter, Bishanga, The Boss, Nicas Mtei, bht, Balantanda, WomanOfSubstance, Nguruvi3, Mchambuzi, JingalaFalsafa, Kiranga, Cantalisia, Judgement, Shark, Jasusi, ZeMarcopolo, Pasco, cheusimangala, Chauro, Gaga, Manumbu, Tuko, SnowBall, zumbemkuu, BADILI TABIA, gfsonwin, DEMBA, KakaKiiza, HorsePower, Manyanza, Kaunga, Dena Amsi, Bigirita, Karen_Happuch , Blaki Womani, Mamndenyi, afrodenzi, WiseLady, Lizy, LD , Kongosho, platozoom, Sizinga, Bishanga, Blaine, lara 1 , jouneGwalu, Ndahani, Azimiojipya, Zakumi, Mkandara, Mrembo by Nature, Bujibuji, Erickb52, MANI, kinyoba, Mulama, snowhite, Michelle, Rutashubanyuma, Ruttashobolwa, KOKUTONA, Apollo, moto2012, Mkirua, bacha, Leonard Robert, mwaJ, Young Master, C6 , Madame B, MadameX Katavi, OLESAIDIMU, MziziMkavu, babaV, Invisible, Cookie, Paw, Moderator, Fang, Buchanan, X-PASTER, INNOVATOR, Active, PainKiller, Mike McKee and Maxence Melo.

Pamoja na wengine wengi saana ambao nimesahau, nitaenda nikiwakumbuka taratiibu.


Pamoja Saana with loads of Love.:grouphug:


AshaDii.


P.S Msalimie mama DC.

Asante sana kwa salamu za upendo AshaDii. Natumai bado una mawasiliano ya karibu na yule rafiki yetu. Msalimie sana.

Pia natuma salamu kwa rafiki zangu wote mliopo MMU. Heri nisitaje majina nisije nikasahau kumtaja mtu mmoja mwenye nongwa sana maana hatonisamehe.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kwa salamu za upendo AshaDii. Natumai bado una mawasiliano ya karibu na yule rafiki yetu. Msalimie sana.

Pia natuma salamu kwa rafiki zangu wote mliopo MMU. Heri nisitaje majina nisije nikasahau kumtaja mtu mmoja mwenye nongwa sana maana hatonisamehe.

Mzima wewe mwaJ,

Safi sana kuonana tena jukwaani na bado ukiwa na hilo tabasamu lako....


Mungu akupe uzima, raha na kutimilizie ndoto zako.....

Na tuseme....Aaaamen...!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nikutumie ticket ya boat, ndege, bus au unataka private drive?

Sema unachiotaka my cute grand daughter!

Babu DC!!
hizi karibisho naona zinapita tuuuuuu,
wengine hatukaribishwi? au ni lazima uwe cute grand daughter ndo wapata mwaliko?
naweza kuja na babu wa pande hii halafu tuka-have fun sana ujue!
nasubiri mwaliko!
 
hizi karibisho naona zinapita tuuuuuu,
wengine hatukaribishwi? au ni lazima uwe cute grand daughter ndo wapata mwaliko?
naweza kuja na babu wa pande hii halafu tuka-have fun sana ujue!
nasubiri mwaliko!

hehehe! mbona kama umeuonea wivu mwaliko wangu!! lol
 
Asante sana kwa salamu za upendo AshaDii. Natumai bado una mawasiliano ya karibu na yule rafiki yetu. Msalimie sana.

Pia natuma salamu kwa rafiki zangu wote mliopo MMU. Heri nisitaje majina nisije nikasahau kumtaja mtu mmoja mwenye nongwa sana maana hatonisamehe.
hasa ukinisahau mimi, si unajua zali lake? anyway, salamu zangu ulifikisha?
nakutokea upande wa pili
 
Asante babu Dark City kwa uzi huu, mie ni mmoja wa watu walonufaika sana, nimekua sana kimitazamo, kukubali kutokubaliana, kukubali/kuheshimu hisia za watu wengine(Yaani hapa nimegundua inawezekana nimeshaumiza sana watu huko nyuma kwa kudhani kila mtu ana stamina kama zangu kihisia, still a work in progress though)

Mie kwa kawaida si mtu sana wa kupenda kukutana/kujichanganya na watu, lakini kuna watu hapa hadi nyumbani kwangu wanawajua kwa jinsi ninavyowasimulia, imebidi nijidai ni co-workers or something (naogopa kuulizwa ID yangu ni ipi) kwa jinsi walivyonigusa kwa michango yao. Kwa kweli kila mdau kwa njia moja ama nyingine amenigusa.

Asanteni sana kwa kuwa sehemu ya maisha yangu, naomba ninukuu sahihi ya watu8 "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"

Kiukweli, japo ni fake IDs ana Avatar, lakini kuna baadhi ya michango ya wadau inagusa mioyo na akili zetu, mwisho wa siku inaathiri jinsi zetu za kutafakari mambo.
 
my beloved brother BAK thanks alot i feel my self so higher dear.live longer my dear


Kwa nini unapotea kiasi hicho na wewe Nivea?

Vibaya hivyo...hujui kwamba wewe ndiye dawa ya ngozi ya wadau? Unataka ngozi iwe kama ya mjuzi au kenge?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW & Sizinga!!

Wakubwa wa ukweli!
Mawazo yenu na akili zenu,
Ni muhimu sana kwa maendeleo ya kusini.
Men!! Dont dare to stop, lets ur mission and vission be accomplished..
Nimewajua nyie kupitia JF and i will always apriciate u.

Mkumbuke tuko katika wakati mgumu sana,
Mkumbuke kuna mambo yanatakiwa yafanywe kusini.
Msikate tamaa hata kidogo wakuu!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana babu Dark City kwa uzi huu

Binafsi namshukuru sana Mungu kwa kunipa pumzi ya uhai tena buree mpaka muda huu

Naishukuru jeiefu kunikutanisha na marafiki kwenye social media hii

Shukrani zangu zimwendee mume wangu kipenzi Erickb52...i appreciate your love, nakupenda sana kwa kuwa nami through weakness and strength, happiness & sorrow..you are the reason i believe in love..for better for worse i'll love u with every beat of my heart

Salam za msimu huu wa siku kuu ziwafikie madame b ladyfurahia Lady doctor charminglady KOKUTONA Mwanyasi mwallu DEMBA Asprin Kaizer kiwatengu shansarie The secretary Arushaone mimi49 farkhina BAK MziziMkavu daaarh aisee ni wengi

Ziwafikie wooote mliopitia uzi huu

Wishing you happy holiday
 
dah!
MI HATA SIJUI NISEMEJE!
SERIOUS,sijui!SIJUI KWELI MJUE!
ila niseme tu JF imekuwa zaid ya vile niliwaza itakuwa!imenikutanisha na watu ambao eventually wamekuwa sehemu ya maisha yangu!TRULLY!
na sijawahi kujuta kuwafahamu! The Boss the guru of sreesome himself ehehehhe yu were there in makorokocho kibao!thank yu

Nicas Mtei shemeji uuuuuwih najua una hasiraje na mimi lakin mi na weye twajua tunamaliziana wapi!dec haijaisha hii ujue
Fixed Point my dada langu lenyewe la ukweee mwe i love yu sana!
BAK laifu server himself the best part of this mwaka was how tulimisiana af tukawa tunakufia ndani kwa ndani!
Kaunga shosti ai we sijui nisemeje!the recipe and the everything plus libesi kila nilipolimiss mweee makiss zingi zingiiiiii
King'asti ehehehehe mimi penda wewe sana girl yani ile offer ya kope za kubandika iko pale pale!sijui tumwibie nani atupeleke si unajua bakhresaa wetu kapotea wapi sijui!
amu oddo wangu mi naisubiri aprilo tufanye yetu!nipigiepo thimu bathi uniambie
SnowBall pacha wangu japo mwaka huu umesua sua sana humu jamvini ila i have u here here so najua upo and always thinking about ur pacha
Dark City ahahhaha babu mi ndo Mjukuu DC bana nsipokuchokoza unaweza uumwe ujue!ahahahha kwanza nasiki hili sredi umeanzisha uthiku ulikuwa umemuachaje bibi babu!oh
Kaizer umekuwa mwanafunzi mtiiifu kwangu kwa mwaka mzima!sijui hata kwenye ripoti nikuandikie A+au sijui niandikeje ila ur good gooder goodest
Asprin sante sana kwa kuwa unanipa samare mwaka wote huu!kwa kweli ntakupa zawadi!
Tized best mi japokuwa nilikuwa na mahesabu makali mwaka huu nimejitahidi sana kuyarahisisha ili twende sawa
Eiyer ah we bana umenifanya niwe natumia maakili ya chuo kikuu wakati mi uwezo wangu darasa la pili B tu!ulikuwa unaniuziga kama nini!
gfsonwin !mwe haki vile mi sijui nisemeje bana!SIJUI PEKE YAKO!
heaven on desert ujue huu mwaka umeisha bila kuwazalimisha hawa mamods watuwekee kale kajukwaa ketu!mwakani mpka kieleweke
Ablessed ehehhe hv hilo lemba pacha wako anajua kulifunga kama wewe,i hope hajui maana alivo kilaza si unajua?peda sana wewe

AshaDii we bana mwaka huu kati kati umekuwa mtoro mtoro humu umeniwacha kichwa kimepungua maakili yako ujue!mwakani puleeeez azima mimi hayo maakili kwa kuandika humu
HorsePower sijui nilni kilikuwa kinakupata pengine wifi alikuwa anakaba sana au ndo ulikuwa unatimiza il;e ahadi ya kuikimbiza china japo kwa idaid ya watu ila uliadimika humu kiasi fulani
watu8 dah!we mtani wangu wa kule kule kumiiitu af ujue pale makao makuu kuna kitu kinashushwa direct from kwa kina mangi hebu tufanye mashtuzi asee kabla mwaka haujaisha huu
EMT partner i think we need a retreat japo siku tatu hivi tufanye tathmini na mipango nimechacha ujue na white christmas nahis kama inanipiga chenga hiv
cacico mke mwenza ujue siku ile ulinitamanisha ehehhehe huu mwaka kabla haujaisha hakikisha unanipa ze secreto!
jouneGwalu kwani na we unataka nikwambilie hapa,ah we subiri tukiwa beach bana
Mkunde Original been a pleasure kuzaring yu girl
Karucee aint any good word to write expressing th feelings u know
lara 1 manondo yako nimeyakubali mwaka huu thou mwishoni hapa uliniangusha kweli kweli!ila poa najua we ni fighter na vita ni vita mura haina kadi ya mwaliko wala dressing code!
GUYS NARUDIA TENA HAYO NILIYOANDIKA HAPO UNAFIKIRI NDO YOTE VILE NAJISIKIA!?a lot is in HERE IN THE HEART!
:busu:busu:busu:amen:
 
Babu Dark City mi nashukuru sana kwa kuleta hii mada....!
Nina mengi sana moyoni yan saaaaana kwa kweli na sitaweza kuyaandika yote.
Ila JF imenipatia mwangaza sana katika maisha hivyo nimejifunza mengi sana!
JF imenifanya niwajue watu wa dizain zote....!

Ila napenda kuwashukuru wote wenye mitizamo chanya katika kuendeleza jamii yetu ya watanzania, nawaombea mafanikio katika mwaka ujao 2014.

Special thanks kwa my Number One, bibie Chocs kwa kuwa nami kwa shida na raha :smile-big:
Pia Bishanga popote ulipo nakumiss sana mzee mwenzangu (Come back)! The secretary, AshaDii Avemaria Mr Rocky (Big Up sana)

Merry X-Mass and Happy New Year 2014!


Zimenifikia Kipenzi

Asante sana
 
Shukrani sana Mr Rocky

Na Mungu atufikishe salama,AMEN

Mkuu Dark City asante sana kwa uzi huu ambao kwa kweli unakumbusha mengi sana
Jf imekuwa kituo cha mafunzo, sehem ya kubadilishana mawazo, sehem ya kujifunza na nimejifunza mengi sana kupitia JF na kukutana na changamoto mbalimbali za maisha
Nimekutana na wafundishaji na waelimishaji wengi sana AshaDii, Himidini, SnowBall, HorsePower, mwalimu wangu gfsonwin, King'asti, babu Dark City, Mbu) ambao kwa namna nyingine walichangia kunielimisha na kunifundisha mengi sana ya maisha na namna ya kuishi na watu mbalimbali na mafunzo kuhusu maisha ya ndoa kiujumla
Nimekutana na marafiki ambao kwa kweli wamechangia mengi sana katika maisha yangu ya kuwa humu JF kwa mwaka huu 2013 na hao sitawasahau Erickb52 (kaka asante sana), Vin Diesel (mpango wako wa penda penda ufe mwaka ujao utulie) grafani11 (ujue tunashare Heaven on Earth mpaka mwakani) kiwatengu, sosoliso, stevoh, Arushaone, BAK (mkuu pamoja sana ) EMT, The Finest (sijui kapotelea wapi), Mentor (kumbuka ahadi yako mkuu) The Boss, Rutashubanyuma (mkuu asante sana kwa michango yako yenye kila aina ya hekinma na busara, Nicas Mtei (mkuu umepotea sana) Bishanga, binamu zangu wa ukweli ambao mchango wao sitausahau Madame B, Heaven on Earth (mwambie grafani11 mpango wetu wa kuwa wetu sote uko pale pale hata 2014, Mamndenyi, Lily Flower, sweetlady, ladyfurahia, Chocs, amu, snowhite, Preta, Blaki Womani, Kaunga, Paloma, Passion Lady, Evelyn Salt, KOKUTONA (jua mpango wetu wa kwenda rocky sity uko pale pale), na The secretary, charminglady, Lady doctor
Siwezi kuwataja hao bila kumtaja wangu wa pekee na mpendwa wangu Dena Amsi na nampenda sana
Kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyingine kuyafanya maisha ndani ya JF yawe mazuri ila pokeeni salam zangu za Xmass na mwaka mpya na tuombeane wote tuuone mwaka kesho kwa amani na furaha
Cc TANMO, DEMBA, Kaizer, KakaJambazi, Filipo, Mungi, Mzee wa Rula, LIVEPOOLfc, PakaJimmy, Ruttashobolwa, IGWE, Tutor B, marejesho, Simplicity

Niwatakie kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuanza mwaka 2014 kwa afya na ulizi wa Mungu na naamini mwakani tukakutana hapa tena katika kuendeleza kila jema miliolitenda kwa mwaka huu.
Asanteni sana
 
Last edited by a moderator:
dada angu
huyo member ni mimi, niliondolewa figo iliyokuwa ameshambuliwa na sasa namshukuru mwenyezi mungu niko salama, mungu akuzidiie moyo wa namna hiyo.

mkuu mungu ni mwema ubarikiwe sana na neema ya mwenyezi mungu muumba wa vyote.

Back kwenye hoja, jf nisipoingia kwa siku nzima nahisi kupungukiwa kitu ingawa si mchangiaji sana ila najifunza na kufundisha wenzangu pia, nawashukuru sana theboss, watu8, mwita maranya (ndg yng) kwa msaada wao ambao najua hata wao hawajui km wamewahi kunisaidia kupitia pm nilizo waomba msaada pale nilipokwama ktk hii foroum yetu pendwa na mtima wng. Nasema mungu aendelee kutubaliki wote kwa wingi wetu wote humu ndani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom