WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Back kwenye hoja, jf nisipoingia kwa siku nzima nahisi kupungukiwa kitu ingawa si mchangiaji sana ila najifunza na kufundisha wenzangu pia, nawashukuru sana theboss, watu8, mwita maranya (ndg yng) kwa msaada wao ambao najua hata wao hawajui km wamewahi kunisaidia kupitia pm nilizo waomba msaada pale nilipokwama ktk hii foroum yetu pendwa na mtima wng. Nasema mungu aendelee kutubaliki wote kwa wingi wetu wote humu ndani

Ndio uungwana mkuu, mimi bado nina kumbukumbu nzuri sana...
 
Shukrani sana mkuu, nawe pia uwe na msimu mwema kipande hiyo...

Usisahau kuwanunulia watoto viwalo vya sikukuu...

Asante sana mkuu watu8 mwenyezi Mungu akutangulie katika msimu huu na akujalie kila la kheri katika kuumaliza mwaka salama na kuuanza mwaka ujao kwa rehema zake
 
Last edited by a moderator:
hivi waspanish wanatumia bastola? au wao hawatendwi? wameingia kwenye game siyo yao....
itabidi tuwaombe kaka zetu wawape semina shem zetu...
cc. Nicas Mtei..... mkitoka huko kwa kikao chenu nawaandalia semina ya kukabiliana na vibuti, hata kama uliinvest mabilioni....
ha haaa, nakumbuka kuna kakangu alioa mchaga. akampeleka chuo, kule mdada akapata kaBF. kaka alimfumania live, akamwambia vaa, akampandisha kwenye gari lake, break ya kwanza ilikuwa migombani kwa wazazi wa binti kuwaambia nimekuja kukabidhi laana yenu hii, itawasimulia kilichotokea. sitaki mrudishe mahari wala hela zoote nilizotumia kumsomesha na mambo mengine........ sasa hivi kaka ana mke mwingine, bombaaa, maisha yanasonga mbele. chezeya wangoni weye,..... mwanaume kujiamini

ahahahahhah mi hapo ndo napowazimikia kaka zangu!
hapo tu!
msawati kwenye kitumbua soniiiiii !ababili leepi!
wapi moto2012
 
Last edited by a moderator:
snowhite said:
watu8 dah!we mtani wangu wa kule kule kumiiitu af ujue pale makao makuu kuna kitu kinashushwa direct from kwa kina mangi hebu tufanye mashtuzi asee kabla mwaka haujaisha huu

Hehehe!! mtani tutafanya mashtuzi wala usijali...

Ila mtani mbona kama umemsahau Kongosho banaaa...
 
Last edited by a moderator:
hizi karibisho naona zinapita tuuuuuu,
wengine hatukaribishwi? au ni lazima uwe cute grand daughter ndo wapata mwaliko?
naweza kuja na babu wa pande hii halafu tuka-have fun sana ujue!
nasubiri mwaliko!

Umenichekesha sana mkubwa mwenzangu Fixed Point

Kumbe wivu hauna umri ehhhhhhhhhh??

Ndiyo maana ndoto zangu za kitoto kwamba tukishazeeka nimsimulie bibi faulo zote nilizokaribia kumchezea nitakufa nazo....

Unakaribishwa sana na wewe....bila wewe wajukuu watasindikizwa na nani??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana babu Dark City kwa uzi huu

Binafsi namshukuru sana Mungu kwa kunipa pumzi ya uhai tena buree mpaka muda huu

Naishukuru jeiefu kunikutanisha na marafiki kwenye social media hii

Shukrani zangu zimwendee mume wangu kipenzi Erickb52...i appreciate your love, nakupenda sana kwa kuwa nami through weakness and strength, happiness & sorrow..you are the reason i believe in love..for better for worse i'll love u with every beat of my heart

Salam za msimu huu wa siku kuu ziwafikie mabame b ladyfurahia Lady doctor charminglady KOKUTONA Mwanyasi mwallu DEMBA Asprin Kaizer kiwatengu shansarie The secretary Arushaone mimi49 farkhina BAK MziziMkavu daaarh aisee ni wengi

Ziwafikie wooote mliopitia uzi huu

Wishing you happy holiday
Thanks bby wangu wa ukweli....!
I real feel loved....!
Naomba ndoa yetu idumu na iwe na furaha kwa mwaka mpya wa 2014.

I love you with all my heart!
 
uwoniiii mlongo wangu....... mleka na kitumbua chake, vimemi ngo pambwani hapa, kyani hasa kujikoma kwa kitumbua tu na viwi vya mahele sana!
vimemi ngo!
ahahahahhaha hapa tu ndo kingoni kinaponipa raha!
MWILI MZIMA UNATUMIKA!
akisema nee mbwiitu na mabega yananyanyka!ehehehehhe
 
hahahahaha babu dc bana aisee sitaki hata kusema kweli nimepotea ila nakuwepo kilingeni mara chache chache .namshukuru mungu pia kwa ajili yenu kwani muu wazima .babu dc nlikuj atanga KOKUTONA akaninyima namba yako na nisikutafute lol


Hawezekanani, .....yaani KOKUTONA huyu huyu ninayemfahamu??

Usijali, hata mimi mwaka huu nimejikuta nakuwa mgeni kabisa wa MMU, hadi wajukuu wananiuliza maswali mazito.

Haishangazi naulizwa mie nani hapa MMU? au Ubabu wangu umetokea wapi??

Basi tena, ila tumshukuru Mungu kwamba tunapumua na tunarudi mara moja moja. Siyo kama akina @klorokwin ambaye kaamua kutususa milele (hadi napata wasi wasi)!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Umenichekesha sana mkubwa mwenzangu Fixed Point

Kumbe wivu hauna umri ehhhhhhhhhh??

Ndiyo maana ndoto zangu za kitoto kwamba tukishazeeka nimsimulie bibi faulo zote nilizokaribia kumchezea nitakufa nazo....

Unakaribishwa sana na wewe....bila wewe wajukuu watasindikizwa na nani??

Babu DC!!
ha haaa, yaani hujamsimulia tu? basi bibi si mdadisi.... yaani mimi ndo huwa zinakuwa night bed stories...... nacheeeka mpaka nakamatwa na usingizi. ila nimegundua siku nyingine nahadithiwa za uongo. kuna siku nilimshtukia akaniambia ukweli hadithi zilishaisha zamaaani, ila kwa sababu napenda sana kusikiliza faulo alizocheza basi anaamua kujitungia, lol!
huko tutakaribia mkubwa mwenzangu, ngoja tupange majeshi
 
vimemi ngo!
ahahahahhaha hapa tu ndo kingoni kinaponipa raha!
MWILI MZIMA UNATUMIKA!
akisema nee mbwiitu na mabega yananyanyka!ehehehehhe
he heee, umeona eeehhh!
hebu hamia kwanza pande za kule, dada mkubwa maji shingoni, need your helppppppppppppppp:A S-confused1:
 
Kwa moyo mkunjufu na unyenyekevu wa hali ya juu nami nijiunge nanyi wenzangu wote katika kutoa salamu za kufunga mwaka huu wa 2013. Kwa kweli JF imekuwa ni kama familia. Katika mwaka huu nakumbuka siku nilipojikuta katika kitanda chenye matairi nikielekea theater ghafla, na kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu sikuweza kumjulisha ndugu, rafiki wala jamaa yeyote zaidi ya kupost hapa JF. Mlinifariji sana marafiki, na ile faraja ambayo sikuweza kuipata kutoka kwa mke, ndugu au jamaa niliipata in excess hapa MMU.

Asanteni sana marafiki...


Don Williams - Amanda - YouTube


Ahsante sana mkuu Tuko na pole sana kwa yote yaliyokusibu...

Nimefurahi kukuona tena jukwaani.

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
babu mi nakuangalia tu !unavyomkribisha dada mkubwa huku unanisahau!
sasa utanikoma ntakavokuwa nakumwagia maji kwenye ugoro wako kila ukiuanika!
WE SUBIRI!
 
ahsante babu loo mpaka mda huu hujalala?
Kwi kwi bibi ana kazi gani?
Binafsi napenda kuwashukuru wafuatao Mtambuzi kwenye hardest time alikuwa karibu sana na mie sana jamani yaani kiukweli he is one of the kind kanifungua upeo sana,mambo mengi kanisaidia ni mtu pekee anayenijua in and out.Yaani Mtambuzi ana moyo wa ajabu sana yes yaani ana impact kubwa sana kwangu.Ninamuheshimu sana
Pia napenda kuwashukuru snowhite na gfsonwin kile kikao cha siku ile pale ubungo kilinitoa kwenye handaki ujue nawashukuru sana na impacts yake before april mtaiona hapa Nicas Mtei anahusika sana.Jamani humu ndani kuna maangel hapa natamani niandike kila kitu ila nashindwa.
Napenda kuwashukuru tanga wing mlinipa support zaidi ya mara 3 tanga kwenye msiba wa dada yangu,kwenye msiba wa shangazi yangu na nlipoenda kumuuguza dada yangu mwingine kiukweli sina cha kuwalipa nilifurahi sana hapa naandika huku nalia ahsante sana YNNAH ahsante mohamed Mtoi ahsante sana nakushukuru sana hii kumbukumbu haitafutika ahsante sana Mwanyasi ahsante sana arabella ahsante mwenyekiti Dark City ahsante sana mzee CHUAKACHARA ahsanteni sana kwa kweli.
Pia napenda kumshukuru Kaizer alikuwa karibu sana na mimi ana impact kubwa sana kwangu.
Paloma ahsante mamiii ahsante kwa kila kitu umenisaidia kwa kweli na upo karibu sana na mimi.
Madame B nakushukuru kwa kweli una roho ya peke yako ahsante mama.
Nicas Mtei ahsante kwa miushauri yako ya ukweeee watu8 mtaalamu wangu ahsante kwa kutonichoka nikikwamaga mambo yetu ya technolojia mtu wangu wa ukweee.
Special thankx kwa @Maxence Mello kaka mkubwa wa ukweee.
Ahsanteni kiukweli nachoweza kusema nilingia jukwaani mweupe peee ila sahivi i have a confidence,nina msimamo balaaa yaaani mpaka mengine niliyopitia nasema kama bila jf sidhani kama ningeyamudu.
Kipaji Halisi ahsante sana jirani yangu wa ukwee.

karibu kipenzi!

love you mingi mingi!!!

Heri ya mwaka mupya 2013!!!
 
Asante sana dada yangu AshaDii kwa salamu....umekuwa mtu muhimu sana maishani mwangu....
Nina mengi nimejifunza toka kwako na nina imani udugu wetu utazidi kukua kila uchao...
Nami kichwa kikitulia nitatuma salamu za heri za mwaka mpya kwa ndugu zangu kwa majina yao....

Ahsante sana Vin Diesel, ni faraja sana kukutana na wewe hapa jukwaani....

Nakuaminia sana kamanda!

Nami tunakupenda sana Dark City mwenyekiti wangu na nakutakia kila la kheri mwaka 2014.

Sina cha kusema YNNAH......nina deni kubwa na wajukuu zangu hadi sijui nitaanzia wapi kulipa.


Ila nyie members wa timu yangu nawaaminia sana...hata nikilala leo, mtalipa kila kitu.

Ubarikiwe sana!

JF members ni ndugu mkuu!
JF forever!

Huyo ndiye Katibu wetu......Nakupa imani yangu yote mkuu!!

Nimekukubalia😎
Asante AshaDii kwa wishes zako.....

Napenda tunavyokutana kwa keyboard...na kuwa marafiki...na kuelewana....na kikubwa kujifunza toka kwa keyboard za wengine....
Nawatakia JF wote kila jema wanapofunga 2013 na kufungua 2014.....
JF ni complete package....

Safi sana mkuu RR....nimefurahi sana kukuona tena...

Wapi umejificha/fichwa??

Naishukuru Familia ya JF kwa wingi wenu.

Bahati mbaya simfahau hata mmoja kwa sura ya uhalisia, lakini kwa avatar zenu ninawona mioyo yenu na fikra zenu kwa namna ambayo mmekuwa msaada sana. nimejifunza mengi mno, nimefurahi sana na naendelea kujifunza.

Nakumbuka post ya kwanza ilikua kuutua mzigo niliokuwa nao moyoni juu ya kusalitiwa na jamaa zangu, na kikiri nilijuuta kwa nini sikuwa nimewahi kuja apa.

Nawaombea Baraka tele kwenye mnaoyafanya, Mungu azidi kuwainua kwa kadiri ya rehema zake. Mzidi kuimarika katika kunena na kutenda. Nawatakieni mwisho wa mwaka mwema na 2014 yenye heri.

Shukrani za kipekee kwenu.
BAK, snowhite, lara 1, Karucee, Mentor, Fixed Point, Dark city, gfsonwin, Eiyer, Ablessed, Mtambuzi, Nyani Ngabu, Zion Daughter, Asprin, Kaizer, watu8, Kaunga na uongozi wote wa JF chini ya Maxence Melo, Invisible . Kunzia mwakani mna mchango wangu na wengine woote karibuni kusapoti JF.

Poa mkuu,

Uwepo wako hapa jamvini ni muhimu sana kuliko ninavyoweza kueleza.

Ila ujitahidi uingie kwenye ile club ya kuuza uhuru wako ili siku moja na wewe ustaafu...lol!!

cc: Fixed Point kwa ajili ya huduma ya counseling ...

Nashukuru Dark City, AshaDii kwa maelezo yenu kwani ukweli kila mmoja humu anafaida kuliko hasara mimi binafsi nawashukuru wote wale ambao tumeweza kujuana humu JF na bado tunaendelea kufahamiana nawashukuruni sana,Pia nawashukuru wote kwa vipindi tofauti ndani ya Jf mmekuwa kiielelezo cha maisha yangu na waletuliokutana uso kwa uso na wale tunaojuana kwa simu na wale tunaojuana kwenye jf wote nawapenda nawatakia mwaka mpya na wenye mafanikio ila napenda kuwakumbusha party yetu msikose kwani itazidi ya mwaka jana ni tarehe 25/January/2014 zaidi muwasiliane na Mtambuzi

Mbona unapotea hivyo mkuu?

Halafu umesahau kwamba ile kazi tuliyoianzia pale Nyinda hatujaimaliza...

Inshallah tutajaribu tena 2014...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, yaani hujamsimulia tu? basi bibi si mdadisi.... yaani mimi ndo huwa zinakuwa night bed stories...... nacheeeka mpaka nakamatwa na usingizi. ila nimegundua siku nyingine nahadithiwa za uongo. kuna siku nilimshtukia akaniambia ukweli hadithi zilishaisha zamaaani, ila kwa sababu napenda sana kusikiliza faulo alizocheza basi anaamua kujitungia, lol!
huko tutakaribia mkubwa mwenzangu, ngoja tupange majeshi


Hahahahahahhahahahhahahhahh,

Hivi kweli uko naive kiasi hicho?? Hayo madesa/simbi unayopewa ni toxic mkubwa mwenzangu...labda kama ungekuwa mwanamume mwenzake ningeamini....

Hata siku moja, hakuna mwanamume anayeweza kumueleza mwenzi wake successful attacks au deliberate attempts. Mara nyingi zinatolewa stories za watu wanaosumbua sumbua kama akina Kongosho...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom