Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
- Thread starter
- #381
babu basi nikuhadisie!
kule kwangu nina majogoo matatu!mawili yameshaanza kuwika!eheheheheh kamoja bado!
sasa mitetea mnne inalalia si nikaona niongeze tetea lingine!
ehehehhehehhee hizo ngumi zinazolika bandani kuna siku ntakuta wamenichomea nyumba
!
sasa Eiyer anabaki kulia lia tu hapa hado ze neeful si ndo nambustisha makusudi!
mimi bana mwakani sitakuwa na ugomvi na mtu hata!
iiila sasa ole wako nisikie dadakubwa na babu wa pande zake umewaalika!
moto ntakaokuwashia!ehehehhehehhe chichemi!
😛lane:
Mjukuu DC
Unaanimalizaga kwa vijimambo vyako.....
Kwani hao jogoo hawana kaka mkubwa ili wamwachie kazi ya kuwaongoza??
Babu DC!!