Mimi na wewe hatujakutana barabarani ujue..... Msako wa kukutafuta bado unaendelea.
Nikikukamataaaaaaaaa!!
asante Mr Rocky. mungu ni mwema atatulindaMkuu Dark City asante sana kwa uzi huu ambao kwa kweli unakumbusha mengi sana
Jf imekuwa kituo cha mafunzo, sehem ya kubadilishana mawazo, sehem ya kujifunza na nimejifunza mengi sana kupitia JF na kukutana na changamoto mbalimbali za maisha
Nimekutana na wafundishaji na waelimishaji wengi sana AshaDii, Himidini, SnowBall, HorsePower, mwalimu wangu gfsonwin, King'asti, babu Dark City, Mbu) ambao kwa namna nyingine walichangia kunielimisha na kunifundisha mengi sana ya maisha na namna ya kuishi na watu mbalimbali na mafunzo kuhusu maisha ya ndoa kiujumla
Nimekutana na marafiki ambao kwa kweli wamechangia mengi sana katika maisha yangu ya kuwa humu JF kwa mwaka huu 2013 na hao sitawasahau Erickb52 (kaka asante sana), Vin Diesel (mpango wako wa penda penda ufe mwaka ujao utulie) grafani11 (ujue tunashare Heaven on Earth mpaka mwakani) kiwatengu, sosoliso, stevoh, Arushaone, BAK (mkuu pamoja sana ) EMT, The Finest (sijui kapotelea wapi), Mentor (kumbuka ahadi yako mkuu) The Boss, Rutashubanyuma (mkuu asante sana kwa michango yako yenye kila aina ya hekinma na busara, Nicas Mtei (mkuu umepotea sana) Bishanga, binamu zangu wa ukweli ambao mchango wao sitausahau Madame B, Heaven on Earth (mwambie grafani11 mpango wetu wa kuwa wetu sote uko pale pale hata 2014, Mamndenyi, Lily Flower, sweetlady, ladyfurahia, Chocs, amu, snowhite, Preta, Blaki Womani, Kaunga, Paloma, Passion Lady, Evelyn Salt, KOKUTONA (jua mpango wetu wa kwenda rocky sity uko pale pale), na The secretary, charminglady, Lady doctor
Siwezi kuwataja hao bila kumtaja wangu wa pekee na mpendwa wangu Dena Amsi na nampenda sana
Kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyingine kuyafanya maisha ndani ya JF yawe mazuri ila pokeeni salam zangu za Xmass na mwaka mpya na tuombeane wote tuuone mwaka kesho kwa amani na furaha
Cc TANMO, DEMBA, Kaizer, KakaJambazi, Filipo, Mungi, Mzee wa Rula, LIVEPOOLfc, PakaJimmy, Ruttashobolwa, IGWE, Tutor B, marejesho, Simplicity
Niwatakie kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuanza mwaka 2014 kwa afya na ulizi wa Mungu na naamini mwakani tukakutana hapa tena katika kuendeleza kila jema miliolitenda kwa mwaka huu.
Asanteni sana
Bonge la UJUMBE huo mkuu...I'm following you always!! Mungu akipenda by end of this week nitakuwa Mtwara...Nilikuwa out of intouch kwa mambo flani ya kimaisha!! Bt Nakusoma sana kiongozi!!THE BIG SHOW & Sizinga!!
Wakubwa wa ukweli!
Mawazo yenu na akili zenu,
Ni muhimu sana kwa maendeleo ya kusini.
Men!! Dont dare to stop, lets ur mission and vission be accomplished..
Nimewajua nyie kupitia JF and i will always apriciate u.
Mkumbuke tuko katika wakati mgumu sana,
Mkumbuke kuna mambo yanatakiwa yafanywe kusini.
Msikate tamaa hata kidogo wakuu!
ngoja niangalie uwezekano wa kuadimika mimi hiyo mwakani
Babu,,,,, Nivea ananisingizia..nilimwambia tuje tukusalimie eti akakataa akasema anamuwahi mume.
Hata namba hakuomba..huyoooo akapepea
Najiweka pembeni kuepusha msongamanooooooo!!!:tape::tape::tape::tape:
ahsante mpenzi na kwako pia.Asante sana babu Dark City kwa uzi huu
Binafsi namshukuru sana Mungu kwa kunipa pumzi ya uhai tena buree mpaka muda huu
Naishukuru jeiefu kunikutanisha na marafiki kwenye social media hii
Shukrani zangu zimwendee mume wangu kipenzi Erickb52...i appreciate your love, nakupenda sana kwa kuwa nami through weakness and strength, happiness & sorrow..you are the reason i believe in love..for better for worse i'll love u with every beat of my heart
Salam za msimu huu wa siku kuu ziwafikie madame b ladyfurahia Lady doctor charminglady KOKUTONA Mwanyasi mwallu DEMBA Asprin Kaizer kiwatengu shansarie The secretary Arushaone mimi49 farkhina BAK MziziMkavu daaarh aisee ni wengi
Ziwafikie wooote mliopitia uzi huu
Wishing you happy holiday
Babu,,,,, Nivea ananisingizia..nilimwambia tuje tukusalimie eti akakataa akasema anamuwahi mume.
Hata namba hakuomba..huyoooo akapepea
ha haaa pole,Lol sijaambulia chochote zaidi ya kitumbua!!
Miss you so much my sis
Mmmh! Naomba 2013 ipite salama, huyo C6 ni kama Mushi wa Ufoo nini?:whip:
Hahahaaaa. Sawa.sijui nijisalimisheeee?
wewe huogopi ugomvi au na wewe unajibu kujifunga urefa wa ile mieleka ya kisanii ya kwenye Luninga?
ha haaa, nina uhakika kati ya watakaonimiss wala hutakuwepo, so relaxSiyo vizuri kuadimika Bana.
Hivi unajua kumiss mtu kunapunguza umri wa kuishi?
kwani hujauona utetei wangu mdogo wangu? na wakiendelea kuzingua tunawarudishia mahari yao..... sisi kwetu hela haina nafasi kabisaaaaaa
we sema tu hawana ubavu..... dadako Alpha Newa si umemwona? kaishia kupoteza mdogo wetu na lishem la nguvu kwa hao hao wachaga.....
Hiyo changamoto imetukuta wengi mkuu. Hata hivyo umeonesha kuwa kweli wewe ni Babu ambaye hujafikiria kustaafu kama mie....lol!
Hivi bila wewe hili jukwaa lingekuwaje?
Ngoja nisubiri kama kuna mjukuu yeyote wa Adam na Hawa anaweza kubisha!
Babu DC!