Ilikua kampuni kubwa sana nini?, Rostam kainunua toka kwa ulinwengu, haizidi hata miaka kumi nyuma,,, leo inadaiwa bilioni 3tena za mafao,, kwa wafanyakazi 200 tu,,
Mbona hesabu hazikai sawa?
Hapa ndipo Ulimwengu alipotajwa kuwa hiyo kampuni ilikuwa yake na ndiye aliyemuuzia Rostam Aziz!! Ndio sababu ya kuulizia kama kulikuwa na malimbikizo ya hizo stahili!!