Wafanyakazi zaidi ya 200 waliokuwa wameajiriwa kwenye kampuni ya new habari(2006) limited inayomiliki magazeti ya Mtanzania na mengine wameiomba Serikali imshinikize mfanyabiashara maarufu, Rostam Aziz kuwalipa fedha zao ambazo ni mafao yao.
Msemaji wa wafanyakazi hao, Arodia Peter amesema...
Habari, naomba kutoa waraka huu mfupi iwe sehem ya kunena yalio mazur kuhusu NSSF Tawi la Kinondoni.
Ni kweli NSSF ni suala ambalo limekua pasua kichwa mno, hususan kwa watumishi waliopewa dhamana ya kuhudumu wa wanachama, mim nilikua sehem ya muhanga, sintotaja ni kampun gan nilihitim mkataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.