Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha maisha yangu hapa JF ni

The Boss, Mnama,BAK, Mahmetkic, Mute na Asprin.


Hawa nawakubali kwa michango yao Mtambuzi, Kiranga, Ashadii na Mwali.

Kwenye vichekesho hawa hunichekesha na hufanya nitabasamu siku nzima Boflo, Excy zamani Excellent na Ndallo.

Ni wengi kwa kutaja nitajaza karatasi kama kumi ila sitoweza kusahau michango ya mapacha wawili ambao ni Snowhite na SnowBall.

Mbarikiwe wote, pamoja sana.

Ever Remaining,

Sakapal.
Na hili ndilo neno la Mungu.

Kakague kule nimekugongea ka-LIKE ka heshima.

BTW hi ninekubadilishia maisha yako kwa wema au kwa mabaya?

Kama kwa wema, Karibu tena. Kama kwa ubaya, nitajirekebisha naomba unipe nafasi tena.
 
Nimeamua kujibu kwa njia ya posta!

Haya ni maamuzi sahihi sana toka kwa mwanamke mwenye sifa ya kuwa na busara.
Nimezidi kukupenda bure kwa uamuzi wa kutumia posta ili kuepusha msongamano ingawa sina uhakika na delivery itachukua muda gani.
 
I'm humbled (source AshaDii) for your appreciation.
Kwakweli sikuwa natambua kwamba ninaweza kuwa na mchango mkubwa katika maisha yako, ubarikiwe sana mamito.

Kusema kweli hapa JF watu ni wengi sana waliochangia mimi kuwa hapa nilipo leo na kuwa hivi nilivyo leo kwa namna moja ama nyingine.
Kwakuwa siwezi kuwataja wote lakini kwakweli niwataje wachache kama Mtambuzi, Zion Daughter, WiseLady, Asprin & Filipo (hawa tumetoka nao mbali sana!!), Preta, PakaJimmy, zumbemkuu, Mungi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula, Dena Amsi, Maxence Melo na Dark City.

Lakini pia kuna watu ambao sijawahi kuonana nao lakini nimekuwa nikiwasiliana nao mara kwa mara aidha kwa simu ama kwa PM hapa JF, nao pia wamechangia sana kunifikisha hapa nilipo kwani najifunza vitu vingi toka kwao; Nguruvi3, Mag3, Mkandara, Mchambuzi, Mtumishi Wetu, Mohamedi Mtoi, Thanda, AshaDii, Matola, Molemo, Michelle, carmel na Riwa.

Na mwisho kabisa ningeomba niwatambue marafiki wanaonifanya nilipende jukwaa la MMU na kulitembelea mara kwa mara tofuti na siku za mwanzo; Madame B, Kongosho, Ciello, gfsonwin, Kaizer, Kabakabana, The Finest, The Boss, lara 1, cacico, mwaJ, mdida, nivea, platozoom, snowhite, SnowBall, Boflo, King'asti, MwanajamiiOne na MziziMkavu.

Mwita Maranya nashukuru kwa kutambua mchango wangu kwako.
Naahidi kuendelea kukufurahisha daima.
Tuko pamoja mkuu.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha..basi dady nitamuacha kisirisiri...lkn naomba uache kudai mahari za serengeti ili asilete vurugu....aniache nisepe zangu

Weeeee hapo kwenye mahari ndo usiguse kabisaaaa.
Tena nilivyokusomesha hadi ukamaliza vidato vyote na ulivyokuwa ''cheupe dawa'' mwambie kabisa huyo mharibifu aandae ng'ombe hamsini. No less no more!
 
Sasa koleji meti mbona hujawaambia wadau nlivyokuwa nakukatia nyanga za hesabu? Bila mimi ungemaliza chuo wewe?

najua utabisha kwa sababu maisha yameshakubali.

Mzee wa LMM, mambo yote balcony na muzeya ya Arusha Filipo.

Namshangaa sana Filipo hajanimenshen kama mojawapo wa watu waliyoyabadilisha maisha yake.

Kijana hatari sana yule

Hahaha acha kabisa mkuu habari ya LMM ni kitu ingine kabisa. Ndo imetufikisha hapa tulipo leo. Umenikumbusha ''Gaidi'' Kajwaura na suti zake......!!!tehetehetehe
Filipo ameshikwa siku hizi na mnyange mmoja mkali sana anaitwa marejesho, hasikii wala haoni ya watu wengine.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha acha kabisa mkuu habari ya LMM ni kitu ingine kabisa. Ndo imetufikisha hapa tulipo leo. Umenikumbusha ''Gaidi'' Kajwaura na suti zake......!!!tehetehetehe
Filipo ameshikwa siku hizi na mnyange mmoja mkali sana anaitwa marejesho, hasikii wala haoni ya watu wengine.
Nikikumbuka hiyo mutu, nakumbuka mutu inautwa Kajumba, Zee la Mecco na Rombian.

Dah... tumetoka mbali muzeya!!
 
Dada mkubwa Mamndenyi sasa ninaziona busara zako dhahiri.
Nimesoma comments za wadau juu yako na sasa nimekubali wewe ni zaidi ya dada mkubwa ama mama mkubwa kama wanavyokuita watu wengi hapa. Bila shaka nitajitahidi kujisogeza karibu nawe ili nijipatie maujuzi unayowapatia wengine!! lol

Mwita Maranya asante hata kwa kutaja jina asante. Jf ni zaidi ya familia moja hata kama itikadi ziwe tofauti lakini upendo upo.
 
Last edited by a moderator:
Thanx ErickB52 for your concern!

Thanks sana Mamndenyi pia nawashukuru wote kwa kuwa pamoja katika maisha haya...tunajifunza mengi na namna ya kuishi!
Thanks kwa wana JF wote
Special thanks kwa Amyner sweetlady Preta Mr Rocky Kipipi Remmy BAGAH @smilling Saint Mzee wa Rula Madame B charminglady Elizabeth Dominic

Sepacial Appreciation kwa Filipo AshaDii Roulette Mamndenyi Arushaone marejesho Ruttashobolwa Baba V St. Paka Mweusi Ruhazwe JR bila kumsahau kaka yangu Judgement popote ulipo.

Best zangu Asprin Bishanga Kaizer na wake zenu cacico gfsonwin snowhite TANMO mtu chake FP na Dena Amsi

Mwisho wanachit chat wote nawakubali sana!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom