Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Bwana akasema,Na hii mida hii...
Naona mbingu zikimshukia Asprin...ila upside down!
Ungekuwa na imani ndogo kiasi cha chembe ya haradali, ungeuambia mlima huu ung'oke ukaote baharini.... Na hakika ungekutii.
Lakini nikifananishe na nini kizazi hiki?
Kwa maana Yohana amekuja hali wala hanywi mkasema tazama yu ana pepo, lakini mwana wa Adamu amekuja akila na kunywa mkasema tazama huyu, mlafi tena mlevi; rafiki yake watoza ushuru!!
Nikifananishe na nini kizazi hiki???