Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Hahahahaha Kong huachi ushankupe??

Mi ulinipeperushia Malkia wangu humu hivihivi kwa ushankupe wako!

Ila umenikumbusha Mpole alizimika na zile Headphone za studio ya jamaa hahahaha
MTM akaona isiwe tabu bwana na jina akabwaga hahahah

Na ukinijibu vibaya sikwambii siri ya alipo Lizzy

Ndege yupi niliyempeperusha? Huyo atakuwa alikuwa keshajifunga parachuti lake
Mie nikawa kisababu tu
Mwambie Lizzy wifi wake wa ukweli anammiss sana

Asante sana na nasubiri mualiko. Kuhusu sura usijali maana nadhani tunafanana! Lol!

Sare itakuwa dera la zambarau, skintait ya orange, wigi la utajiju, viatu vyekundu
Make up kama ya haloween.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu hata siwasiliani nao… Nawasoma sana tu, na mara nyingi yale ambayo wanaandika ni msingi kwangu na hujifungua/kunijenga na kunikomaza ama tu kunipa angle nyingine ya mtazamo, hasa katika yaliyo msingi kama Nguruvi3, Zitto, Mkandara, Mchambuzi, Sikonge (nae akiamua), MzeeMwanakijiji , JingalaFalsafa, zomba, Jasusi, pascal, Kiranga, Ngongo (hapa na pale), jmushi1, Zakumi, Nsiande, Kiranga, Companero, Father of All, Shark, Molemo, Mag3

P.S:- Ngabu mbona unaniwekea kiwingu cha kuitwa genious?:becky: (Lol!


AshaDii.
AshaDii many thanks for having me in your list, much appreciated really i didnt know if anyone thought anything of whatever i write here, so am actually speechless and really thankful...

my list goes

1. AshaDii ( not returning favour but you are one JF sweetheart, atleast to me and many when you see the tags you are getting, i dont know how to tag a name yet )
2. Michelle......miss you big !
3. FaizaFoxy...as i was just getting to know you ....
4. Miss Judith....ever wondered what happened to huyu Mpendwa ?
5.Kaizer,The Boss, EMT, BAK, Kiranga, Nyani Ngabu
6. Reverend Kishoka...where @ thou ?




wengine woooote, nawapenda jamani Lara1 na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Ndege yupi niliyempeperusha? Huyo atakuwa alikuwa keshajifunga parachuti lake
Mie nikawa kisababu tu
Mwambie Lizzy wifi wake wa ukweli anammiss sana

Kweli mikwara inasaidia...

Ahsante Lizzy kwa kupotea utaendelea kuwa fimbo yangu ya kutuliza Konie!!

Halafu huo u-wifi wa wapi? Mbona sikumbuki kuwa na dada kama wewe??

Au ndio ulishajipa ukuwadi kwa mtu?? Nicheke mie!
 
Last edited by a moderator:
unajua kuna baadhi yetu jf imetufanyia mambo makubwa mno kiasi kwamba tunapata kigagaziko nani wa kumshukuru na nani wa kutomshukuru...!

lakini haina mbaya...!

twendelee tu hivyo hivyo.....
 
Mwita Maranya much respect kwako mkuu! ingawa najua kiitikadi tuko tofauti kabisa mm na wewe lol! nimekumbuka siku ulonikimbiza kisa nimeishauri cdm sitaisahau na huwa na imagine ningekuwa kwenye upeo wa macho yako ungenifanyaje.......... sijui ni kibao ama ngumi wala sijui hahahah.

Hahahaha... Pamoja sana gfsonwin mimi na wewe kwenye siasa tunagombana kwa hoja tu hakuna chuki wala ngumi. Hili jina langu nalo wakati mwingine kuna baadhi ya watu wanatishika nalo lakini wale tuliopata kufahamiana nao in real life wanautambua ukweli kwamba mimi ni mtu wa kawaida sana.

Lakini usisahau kwamba tukikutana MMU ama Chit chat ama jukwaa lingine mimi na wewe ni washikaji tunaonge ktk the same frequency hadi huwa natamani siku moja tuonane face to face. Hatahivyo sina historia ya kugombana na akina dada, kwa mujibu ya mafundisho niliyopata kwetu ni mwiko kugombana na mwanamke!!
 
Last edited by a moderator:
I cant let this thread pass:
wapo wenzangu hasa wa MMU tuliokua na ambao bado tupo karibu since April 2008 nilipokua MTM
wapo wale tuliojenga ujamaa zaidi ya JF na ni wengi zaidi ya 50, I am blessed
wapo tulioenda mbali zaidi na kusaidiana katika kazi, biashara na hata kwenye shida na raha... nimehjudhuria sherehe, misiba, vikao nk. vywa wana JF, majority wakiwa MMU
wapo tuliosaidiana kimawazo kwenye siasa, uchumi, investment n.k

Lakini pamoja na yote hayo, wapo ambao husimama kama outstanding and influential people in life ambao tumekutana JF... in a positive way and negative way!!! about 99% ni positive, ila wapo wachache, ambao kama kawaida kwenye jamii, walijaribu kutumia kujuana kwetu either kufanya character assassination, au hata kujaribu kupanda mbegu ya bad image kwa watu wengine, pengine kutokana na insecurity au kutokujua tu

ALL IN ALL, YUPO MEMBER NIMUONAYE KAMA LUCKY CHARM YANGU.... KILA TULIPOKUA TUKIKUTANA KUPATA STORY, BASI NILIPATA SOMETHING OF A SURPRISE IN MY LIFE, INCLUDING THE CURRENT JOB I AM HAVING

KUDOS MMU, KUDOS JF
Aksante kwa kuniacknowledge hapo kwa red hahahahhah (We si umeiacha vacant so acha nijichukulie ujiko mie).

MTM/TIMING you have been missed aisee.
 
IT = Individual Talent Source Kongosho

Lazima una talent ambayo wengine hatuna, kwa hiyo wewe ni kinara wa IT -Source Mimi mwenyewe
Hahahha Da Kongosho huniachii? Hahh yaani afu nilivyokuwa mmbeya mie mwenzenu natamani kweli kuifunua funua hiyo signature ya Paw nione ndani yake but mh naogopa Ban.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani nitaanza kukutafuta ili usinisahau. Tatizo la babu Asprin hataki kustaafu hicho kitengo cha ukaguzi! Hayo mambo ya kukagua kagua watoto wa watu yanamvuruga akili.

Ukifanya hivyo utakuwa umejitendea kitu ambacho ni zaidi ya haki. Watoto wazuri kama wewe hamuhitaji kubugudhiwa na mibabu kama Asprin, hujiulizi ujana wake alikula na nani aje kuzeekea kwako?
 
Last edited by a moderator:
wengine woooote, nawapenda jamani Lara1 na wengineo

Kusema ukweli Nsiande nakupendaga sana.

Hatujawahi kuwa kwenye mjadala wa pamoja ila huwa nakusoma tu na kubarikiwa sana na maujuzi yako na uzoefu hasa katika field yako.
 
Last edited by a moderator:
I cant let this thread pass:
wapo wenzangu hasa wa MMU tuliokua na ambao bado tupo karibu since April 2008 nilipokua MTM

Aisee wewe mutu kumbe ndiye ulikuwa ukijiita MTM!!??
Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza umepotelea wapi? kumbe ulizaliwa upya kama TIMING!!
Nafurahi kutambua uwepo wako mkuu..
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha... Pamoja sana gfsonwin mimi na wewe kwenye siasa tunagombana kwa hoja tu hakuna chuki wala ngumi. Hili jina langu nalo wakati mwingine kuna baadhi ya watu wanatishika nalo lakini wale tuliopata kufahamiana nao in real life wanautambua ukweli kwamba mimi ni mtu wa kawaida sana.

Lakini usisahau kwamba tukikutana MMU ama Chit chat ama jukwaa lingine mimi na wewe ni washikaji tunaonge ktk the same frequency hadi huwa natamani siku moja tuonane face to face. Hatahivyo sina historia ya kugombana na akina dada, kwa mujibu ya mafundisho niliyopata kwetu ni mwiko kugombana na mwanamke!!

ahaa! Mwita Maranya, umeniacha hoi lol!
but much respect to you sana tu.

pia kuna kijana aitwae stayreal huyu kwa mara ya kwanza jf imenipatia mtu ambaye amenigusa sana sana. Mungu ambariki sana Naueka huu ushuhuda hapa uwe fundisho kwa wengine wote.

juzi nilieka bandiko langu hapa jamvini kwenye jukwaa la tech &gadgets ilihusu center for new technologies......... eebwana huyu kijana kanifanya leo hapa nilipo niwe ubao kwa wengine kwa kazi ninayoifanya, yaani ame collaborate na mm kiasi cha kudiriki kunitumia latest publications tena uzuri ambazo ziko relevant kwa yale ninayoyafanya yaani nimefurah sana sana sana.

nitoe wito kwa wanajamvi wenzangu, hapa jf tunaweza kuatumia hata ku excell kwenye carrier zetu vizuri zaid kama tu tutashirikiana kwenye majukwaa husika. usione aibu kuelezea idea yako, kisha ukubali ushauri na kushirikisha wenzio hata huwaoni lkn wanatakusaidia sana tu. stayreal barikiwa sana mkuu and much respect sana tu kwako.
 
wengine woooote, nawapenda jamani

Nadhani na mimi niko hapo kwenye wengine.
Binafsi nakuhusudu sana mhandisi Nsiande, ingawa sometimes tunashindwa kukubaliana lakini when it comes to TANESCO and electric power issues huwa nakukubali sana mkuu kwani umenisaidia kuyafahamu mengi ya pande hizo ambayo katika hali ya kawaida nisingeyajua. Ubarikiwe sana mkuu.

Btw, kama hutojali wewe ni he or she?
 
Last edited by a moderator:
Kweli mikwara inasaidia...

Ahsante Lizzy kwa kupotea utaendelea kuwa fimbo yangu ya kutuliza Konie!!

Halafu huo u-wifi wa wapi? Mbona sikumbuki kuwa na dada kama wewe??

Au ndio ulishajipa ukuwadi kwa mtu?? Nicheke mie!
Hujui mie ni wifi wa LIzzy tena wa ukweli kabisa??
Hata wewe naweza kuwa dada tu, mradi abaki kuwa wifi yangu

Hahahha Da Kongosho huniachii? Hahh yaani afu nilivyokuwa mmbeya mie mwenzenu natamani kweli kuifunua funua hiyo signature ya Paw nione ndani yake but mh naogopa Ban.
Namsubiri King'asti tuje tuifumue
Potelea Mbali akituban
 
Last edited by a moderator:
Naomba niwatambue wana MMU wooote jamani ngoja tu nitambue uwepo wa SnowBall, jouneGwalu, Eiyer, Mwita Maranya, Asprin, mwanjamiione, BADILI TABIA na nyumba kubwa .......
Pamoja sana mkuu.
Utakumbuka jinsi tulivyofahamiana katika mazingira ya msiba wa classmate wangu Esther hadi leo umekuwa rafiki wa ukweli. Najua tutaendelea kushirikiana mambo mengine mengi zaidi na zaidi. Mungu akubariki sana mkuu kwa elimu unayoitoa hapa JF kwani watu wengi sana tunajifunza na kuitumia kuboresha maisha na mienendo yetu in one way or another.
 
Watu hawa michango yao imenigusa sana kupanua mtazamo wangi wa kisiasa Ritz, zomba, Zakumi, Rejao ,Le Mutuz, mohamed Mtoi, Matola, Molemo, Precise pangolin, mwita Maranya, Mungi, MichaelAweda, Kiranga, Mchambuzi; Faizafoxy, Sikonge, Mwanakijiji, Pasco wa JF,Ngruvi3, Mkandara, mohamedsaidi na makamanda wote pamoja wanaoshiriki kwenye mijadala ya JF ila tutukumbuke maneno ya mwanasiasa mkongwe Jonh Shibuda aka Lionel Messi "upinzani si uadui"

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama hili ni jukwaa la MMU ukipenda unaweza kuliita "stress free"
Sasa usitake kutuletea mambo yako ya kiccm hapa ili kutuvurugia mazungumzo. Hiyo hoja yako iache huko huko jukwaa la bangua bongo, hapa ni mwendo wa kupeana mapendo tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Ile kitu ya mtambuzi ilinifanya nikatoka na machozi kabisa

Kweli mwanangu ule mkasa ulikuwa una-hisia nyingi sana.

Ila watu wamecopy mno hadi ikawa kero, yaani kule FB ilikuwa kero.
 
Kongosho, nakupenda kwa kuwa tunakosana then tunafikia muafaka,

Dada mkubwa Mamndenyi sasa ninaziona busara zako dhahiri.
Nimesoma comments za wadau juu yako na sasa nimekubali wewe ni zaidi ya dada mkubwa ama mama mkubwa kama wanavyokuita watu wengi hapa. Bila shaka nitajitahidi kujisogeza karibu nawe ili nijipatie maujuzi unayowapatia wengine!! lol
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin Umesema kweli kabisa gfsonwin, hapa JF kuna mkusanyiko wa wataalamu wa fani mbalimbali.
Kama tukiwa serious tutafaidishana sana zaidi ya tunavyofikiria. Binafsi kadri navyopata nafasi ya kukutana na mwanaJF mmoja ninajifunza kitu toka kwake na yeye anajifunza kitu toka kwangu.

Tulipofikia sasa JF ni familia moja, sijawahi kwenda mkoa wowote hapa Tanzania nikamkosa mwanaJF. Kwahiyo kila mahali ninapokwenda ninajiona nipo nyumbani kwakuwa na wenyeji.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom