jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
Naomba hii iwe avatar yangu??
Ha ha ha ha, hapo pekundu jani linahusika, si bure
Umbea gredi one
Hahaha. Ama
bwana nipe pesa
watoto wana njaa
na mimi mke wako
nimechoka kutangatanga
hata majirani
wamechoka kuniona
nao husema fungeni mulango she is comingiiiii (msisitizo tu)
All of you guys in JF mmechangia katika mabadiliko.Huwa haipiti siku bila kuchungulia hapa...
Especially Mwita Maranya
dah! am very humbled madame...............
but ukweli siwez kuliongelea hili jamvi pas kumtaja Kongosho, King'asti Blaine boss, mwaJ na Mtambuzi napenda sana michango yenu wapendwa ingawa yahitajika sana akili kuweza kung'amua nondo za Kongosho na King'asti manake waweza kukuta jicho ukadhan pua lol! wewe boss yaani unaniachaga hoi kwa vijicoment vyenye harufu ya sintofahamuuuuuuuu nyingiiiiiiiii kuliko kufaham lol! sijuagi huwaga mnawaza nn mnapotoa comment and nataman sana niwaone siku moja.
Mtambuzi wewe stor zako zinatupa akili ya maisha, Blaine u mdogo but you have brain especially ktk social life, mwaJ wewe sijui ni wa tandale ama wa tandika manake lol! kuliko nikutane na mnango mmoja wakwako heri kugongwa na semi trela hahahha!
Mie nimezeeka kuanzia kiunoni kuja kichwani tu
Kwingine niko under 18 🙂
dah! am very humbled madame...............
but ukweli siwez kuliongelea hili jamvi pas kumtaja Kongosho, King'asti Blaine boss, mwaJ na Mtambuzi napenda sana michango yenu wapendwa ingawa yahitajika sana akili kuweza kung'amua nondo za Kongosho na King'asti manake waweza kukuta jicho ukadhan pua lol! wewe boss yaani unaniachaga hoi kwa vijicoment vyenye harufu ya sintofahamuuuuuuuu nyingiiiiiiiii kuliko kufaham lol! sijuagi huwaga mnawaza nn mnapotoa comment and nataman sana niwaone siku moja.
Mtambuzi wewe stor zako zinatupa akili ya maisha, Blaine u mdogo but you have brain especially ktk social life, mwaJ wewe sijui ni wa tandale ama wa tandika manake lol! kuliko nikutane na mnango mmoja wakwako heri kugongwa na semi trela hahahha!
Na tunavyokuwia wakali jamani? Basi nashukuru kama unafurahia dawa chungu ili upone. Najua nakupenda sana, nafurahi kujifunza na wewe
I'm humbled (source AshaDii) for your appreciation.
Kwakweli sikuwa natambua kwamba ninaweza kuwa na mchango mkubwa katika maisha yako, ubarikiwe sana mamito.
Kusema kweli hapa JF watu ni wengi sana waliochangia mimi kuwa hapa nilipo leo na kuwa hivi nilivyo leo kwa namna moja ama nyingine.
Kwakuwa siwezi kuwataja wote lakini kwakweli niwataje wachache kama Mtambuzi, Zion Daughter, WiseLady, Asprin & Filipo (hawa tumetoka nao mbali sana!!), Preta, PakaJimmy, zumbemkuu, Mungi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula na Dark City.
Lakini pia kuna watu ambao sijawahi kuonana nao lakini nimekuwa nikiwasiliana nao mara kwa mara aidha kwa simu ama kwa PM hapa JF, nao pia wamechangia sana kunifikisha hapa nilipo kwani najifunza vitu vingi toka kwao; Nguruvi3, Mag3, Mkandara, Mchambuzi, Mtumishi Wetu, Mohamedi Mtoi, Thanda, AshaDii, Matola, Molemo.
I'm humbled (source AshaDii) for your appreciation.
Kwakweli sikuwa natambua kwamba ninaweza kuwa na mchango mkubwa katika maisha yako, ubarikiwe sana mamito.
Kusema kweli hapa JF watu ni wengi sana waliochangia mimi kuwa hapa nilipo leo na kuwa hivi nilivyo leo kwa namna moja ama nyingine.
Kwakuwa siwezi kuwataja wote lakini kwakweli niwataje wachache kama Mtambuzi, Zion Daughter, WiseLady, Asprin & Filipo (hawa tumetoka nao mbali sana!!), Preta, PakaJimmy, zumbemkuu, Mungi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula na Dark City.
Lakini pia kuna watu ambao sijawahi kuonana nao lakini nimekuwa nikiwasiliana nao mara kwa mara aidha kwa simu ama kwa PM hapa JF, nao pia wamechangia sana kunifikisha hapa nilipo kwani najifunza vitu vingi toka kwao; Nguruvi3, Mag3, Mkandara, Mchambuzi, Mtumishi Wetu, Mohamedi Mtoi, Thanda, AshaDii, Matola, Molemo.
Na mwisho kabisa ningeomba niwatambue marafiki wanaonifanya nilipende jukwaa la MMU na kulitembelea mara kwa mara tofuti na siku za mwanzo; Madame B, Kongosho, Ciello, gfsonwin, Kaizer, Kabakabana, The Finest, The Boss, lara 1, cacico, mwaJ, mdida,
Uchakavu wanaanza kulipia wenye miaka 22Hata TRA wanajua under 18 lazima ulipie uchakavu!!
Hao wote uliowataja hata mie nawakubali sana tu. Kweli mie natamani sana kukutana na Kongosho! Ila nimecheka sana kuhusu hizo sehemu (tandale na tandika) ulizo niassociate nazo! Duh, itabidi nikawatembelee jamaa zangu wa tandika!
Ah Da King'asti dawa zako ndo zimenifikisha hapa aisee yaani nikianzaga kuwaza maroroso tu picha yako inanijia ukiwa na gufimbo gukuuuuuubwa unanikoromea. Sasa mie ni mtu wajameni kusema kweli isingekuwa wewe na wanaMMU wengine mie thamani yangu kama mwanadamu na mwanamke ninayestahili mapenzi ya dhati nisingeijua kamwe. Nimejifunza mengi sana humu kusema ukweli na japo kuwa bado sijaingiamo humo ulingoni lakini sina hali ya unyonge wala papara tena kama ilivyokuwa mwanzo. Ile thread ya nalivua pendo kwangu ilikuwa ni mwanzo wa maisha mapya kabisa ambayo ninyi ndio mlishika majembe, mapanga na mashoka kunichongea barabara.
Ninawashukuru sana wote na MUNGU wangu awabariki ninyi na familia zenu. Amen