Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

kongosho umeanza yaani Mwita Maranya hata nia hajaonyesha umeshaanza kumpeperusha haya na tuendelee na marathon yetu kwa Theboss uone. Mi mwenzio naweza kuhonga hata shamba shauri zako.

Dada mkubwa Mamndenyi usiwe na shaka na Kongosho anataka kunitisha tu ili nikose vinono toka kwako.
Mimi ndo hivyo tena nimeshatangaza nia labda kama bado una mashaka kidogo kwamba Konnie atakuzidi speed hapo nitakuelewa. lol
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Mohamedi Mtoi kwa bandiko lako lenye wingi wa hekima na busara.
Mwenyezi Mungu azidi kukujalia kheri na fanaka ili tuendelee kujifunza mengi toka kwako hapa JF.
 
Last edited by a moderator:


Kuna wale wanaingia katika kundi la tukutanao mara kwa mara, mara discussions (hasa private) yahusuyo mambo katika jamii yetu iwe social ama political issues, most katika hawa ni list of my JF buddies thou among a few kama BelindaJacob, EMT, Azimiojipya, PakaJimmy, jouneGwalu, Steve Dii, Eqlypz, sherifApraio, Kivumah, 3D. , Ndahani, SHERRIF ARPAIO, Madabwada, WomanOfSubstance, ..


... Will always appreciate the purity of your consciousness and its superb conscience, forming the TOUGH LOVE the rare professional Love for community expenditure ... God bless!
 
Thanks sana Mamndenyi pia nawashukuru wote kwa kuwa pamoja katika maisha haya...tunajifunza mengi na namna ya kuishi!
Thanks kwa wana JF wote
Special thanks kwa Amyner sweetlady Preta Mr Rocky Kipipi Remmy BAGAH @smilling Saint Mzee wa Rula Madame B charminglady Elizabeth Dominic

Sepacial Appreciation kwa Filipo AshaDii Roulette Mamndenyi Arushaone marejesho Ruttashobolwa Baba V St. Paka Mweusi Ruhazwe JR bila kumsahau kaka yangu Judgement popote ulipo.

Best zangu Asprin Bishanga Kaizer na wake zenu cacico gfsonwin snowhite TANMO mtu chake FP na Dena Amsi

Mwisho wanachit chat wote nawakubali sana!

Erickb52 kaka,
Nashukuru kwa kutambua uwepo wangu humu Jf.
Hata nami nakukubali sana kaka,
Asante.
 
Last edited by a moderator:

Hakika sikujua kama Da mkubwa AshaDii anatambua uwepo wangu humu JF.
Nakushukuru sana dada kwa kunifahamu, japokuwa uwepo wangu humu jamvini ni wa kidaku daku.


Hebu acheni niringe mie, kumbe AshaDii ananifahamu mie mtoto wa Zenji LOL
 
Last edited by a moderator:
Mie waliobadilisha maisha yangu ni wana chit chat wote humu jamvini, aspecially pacha wangu Madame B.
 
Last edited by a moderator:
Mie waliobadilisha maisha yangu ni wana chit chat wote humu jamvini, aspecially pacha wangu Madame B.

Pacha wangu Zinduna nashukuru sana kwa kutambua mchango wangu kwako.
Vivyohivyo nami ndivyo ulivyonibadilisha ghafla bin vuu.... humu Jf,
Hasa baada ya Kusajili Company yetu binafsi.
Zinduna tuko pamoko.
 
Last edited by a moderator:
ujue Mamndenyi = bi kidude??

Shauri lako, you have been warned!

Dada mkubwa Mamndenyi usiwe na shaka na Kongosho anataka kunitisha tu ili nikose vinono toka kwako.
Mimi ndo hivyo tena nimeshatangaza nia labda kama bado una mashaka kidogo kwamba Konnie atakuzidi speed hapo nitakuelewa. lol
 
Last edited by a moderator:
Tena ushakua sasa mjukuu mpendwa.....

Ukuje pande hii ukaguliwe sasa.

Babu Asprin mie sikuji huko bana, wewe siku hizi macho yako hayaoni vizuri usije ukatoa matokeo ya kubahatisha.
 
Last edited by a moderator:
Haya ni maamuzi sahihi sana toka kwa mwanamke mwenye sifa ya kuwa na busara.
Nimezidi kukupenda bure kwa uamuzi wa kutumia posta ili kuepusha msongamano ingawa sina uhakika na delivery itachukua muda gani.

Nilitumia Registered Mail, usihofu utayapata tu.
 
Asante kaka Mohamedi Mtoi, umefanya nifikirie ... hivi huwa nachangia kitu gani cha maana? Najijua kuwa ni mvivu sana sana wa kuanzisha uzi mie husubiri tu kuwasoma wengine. Asante kwa kunitambua.
 
Last edited by a moderator:
Asante JF kwa kutupanulia wigo wa mapambano, vita vilivyopo mbele yetu kama taifa ni kubwa na ngumu na si kama nilivyofikiria nilipojiunga JF...sikujua humu nitawakuta watu kama Ritz, chama, zomba na wengineo ila nawapongeza wote ambao kweli wanakerwa na tunakoelekea na wanaona umuhimu wa dereva kupumzishwa. CCM inaingia kwenye rekodi ya Guiness book kama chama kilichokaa madarakani kwa miaka mingi huku bado ikijizatiti kung'ang'ania kwa njia zozote zile iwe ufisadi, ukandamizaji na hata mauaji ikibidi.
A luta continua!

Uzushi mwingine hauna hata mpango, na hawa jee, utawaweka wapi?

Republican Party. The party under its present name was established by Andrew Jackson during the 1820s, but it traces its origins to Thomas Jefferson and the Democratic-Republican Party in 1792. It is, along with Britain's Conservative Party, one of the two oldest political parties in the world.
Source: Democratic Party - Essays - Jk123
 
Na hili ndilo neno la Mungu.

Kakague kule nimekugongea ka-LIKE ka heshima.

BTW hi ninekubadilishia maisha yako kwa wema au kwa mabaya?

Kama kwa wema, Karibu tena. Kama kwa ubaya, nitajirekebisha naomba unipe nafasi tena.

Hheheheheehhehee, huishi vijaruba weye, mie peace tuu sina hiyana na mtu.
Pamoja sana kidonge cha kutuliza maumivu a.k.a Asprin lol.
 
Mimi kwakweli ni wengi wamebadilisha maisha yangu na kuwa na mchango mkubwa!
Nikianza na jukwaa la siasa kwakweli ni wengi wamekuwa wakinifanya niipende siasa ya Tanzania na kujifunza mengi kutoka kwao na michango yao pamoja na kujua changa moto za siasa za Tanzania,sito wasahau hawa
Chama,ritz,Zomba pamoja na kutofautiana katika mambo fulan ila uwepo wao unifanya nijue hii ni mada ya aina gani na ina umuhimugani pamoja na uelekeo gani! Pamoja na wengine wengi wamekuwa na michango inayo ni vutia kule siasani,
*Mungi huyu namkubali sana hasa anapoleta habari za mahakamani yuko makini hadi raha.
Wengine wanaonivutia
*Paka Jimmy
*Mohamed Mtoi
*malemo
*Mwita maranya
*Mkandara
kwenye jukwaa la kimataifa nimekuwa nikijifunza mengi sana kutoka huko na siasa za nje
siwezi kuwasahau
*Mzee Mwanakijiji

*Jmushi
hasa kile kipindi cha uchaguzi wa marekani kwakweli nilijihisi niko Washington Dc kupitia Mabandiko ya hawa watu.

Kwenye jukwa la Chit-chat na MMU huku ndiko nimejifunza mengi kuhusu mahusiano na pia kwenye haya majukwa nimepata marafiki ambao na waona kama ndugu zangu kwani furaha yangu imekuwa ikiongezeka kila leo!

Pia nimekuwa nikijifunza changamoto na Mengi kuhusu mahusiano na upendo!
Kwani kupitia haya majukwa nimekuwa nikiwaona member wenzangu kama moja ya familia yangu na watu wangu wakaribu!

Kuhusu upendo kwakweli chit-chat naona limekuwa jukwaa mfano la kuonesha upendo.
Kwakweli kwenye hayo majukwa ni wengi sana wamekuwa wakinivutia kila leo.
*Mtambuzi,aisee napenda story zake sana na huwa zina nifunza mengi,mungu akuongezee upeo.

Jamani kwenye haya majukwa nimmejipatia marafiki wengi na na nafurahia uwepo wao
*Madame B,namkubali sana huyu mdada kwakweli huyu ni zaidi ya rafiki kwangu, kwakweli ni kimkosa jamvini si sikii raha.

*gfsonwin
*Cacico
*St,paka mweusi
*Kaunga
*King'asti
*ErickB52
*Nicas Mtei
*Mamdenyi
*charminglady
*Arusha one
*lara1
*Ciello
*Aspirin( huyu ananifanya kila muda niwe na tabasamu kwa kukumbuka post zake.
*Bishanga
*Preta
*Badili Tabia
*Kongosho
*Pombe kali
*Snowhite
*Zinduna
*Black Woman
*The Boss
*Snowball
*Remmy
*judgement
*Baby nasty

kwakweli wana chit-chat na MMU wamekuwa na mchango mkubwa kwenye maisha yangu ya kila siku kwakweli na wapenda sana

Mungu awabariki.
 
Mimi kwakweli ni wengi wamebadilisha maisha yangu na kuwa na mchango mkubwa! Kuhusu upendo kwakweli chit-chat naona limekuwa jukwaa mfano la kuonesha upendo.
Kwakweli kwenye hayo majukwa ni wengi sana wamekuwa wakinivutia kila leo.
*Mtambuzi,aisee napenda story zake sana na huwa zina nifunza mengi,mungu akuongezee upeo.

Jamani kwenye haya majukwa nimmejipatia marafiki wengi na na nafurahia uwepo wao
*Madame B,namkubali sana huyu mdada kwakweli huyu ni zaidi ya rafiki kwangu, kwakweli ni kimkosa jamvini si sikii raha.

Mungu awabariki.

Amina.
Ruttashobolwa thanx a lot kwa kutambua umuhimu na Mchango wangu kwako.
Pia vile vile nakushukuru kwa kufurahishwa na Majukwaa yenye kukuletea mabadiliko.
Asante Mkuu,
Tuko Pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Jamani hata mie wapo walionitoa sehemu moja na kwenda sehemu ingine kwa ushauri wao wa kimisingi kabisa na wameweza kunifanya nionekana mtu mbele za watu, vilevile wamenishauri sana kuhusu kitabu changu ambacho kitatoka hivi karibuni kinashusu Jicho nilivyoomba ushauri kwao waliweza kunishauri namna ya kufanya na nikapata mwangaza katika macho yangu si weingine bali ni Maxence melo, Mike Mickee, Rutta, MAMMAMIA, Ana thomas, Mute, na wengineo wengi asante kwa ushauri wenu na support yenu mmenitoa mbali
 
Back
Top Bottom