Kaoe type yako mkuu unaoendana maono Sasa Karne hii ya 21 unabebewa maji kwa ndoo bafuni ka si ushamba nini?
Mume wangu awaze vitu vikubwa vya kimaisha sio kuwaza mie nimubebee maji kwa ndoo maana hapo bado tutakuwa tunaishi kwenye poverty line
Ww huna heshima hata kidogo , unajifanya sijui et mumeo anawaza vitu vikubwa , umeshasema huwezi muhandle mumeo , huwezi kumthamini mtu ambaye hana shukurani
 
The same applies kwa mwanamke! Afanye hayo kama anayafurahia ila kama hafurahii asijilazimishe ndicho tunachokisema hapa na trust me 99% ya wanawake hawafurahii kufanya majukumu mengi kuzidi waume zao sababu mume ndiyo kiongozi na mke ni msaidizi!

Sasa uliona wapi msaidizi ndiyo anafanya majukumu mengi kuliko kiongozi inakuwaje upewe mamlaka makubwa halafu uwe na majukumu madogo kuliko aliyekuwa placed chini yako under which standards yaani? Au hujui kwamba with great power comes great responsibility aloooo?
Kati ya samia na mwigulu nani anafanya kazi nyingi
 
Ni sahihi na sina tatizo na hilo endapo mwanamke ataamua kufanya hivyo au ataamua kufanya zaidi ya hivyo pia haina shida.

Hoja yangu ni kuwa sio sahihi endapo akifanya hivyo ukaanza lawama na kuona hajafanya sawa.

Akifanya sawa na asipofanya hakuna haja ya kumlaumu kwa sababu hakuna sehemu yoyote imesemwa kwamba ni lazima kwwke kufanya hivyo bali ni matakwa ya waume tu ambayo kila mume ana matakwa yale,atatimiza mangapi mke huyo mkuu
sidhani kama wewe ni Me....yaani mke akiwa nyumbani kutwa yupo insta au whatsapp ....Mume anahangaika na kuosha vyombo nk....kweli?
 
Kwanini msioe tu hao wadada wanaoshinda nyumbani?
Wataolewa wa makazini sana tu, na spana za kutosha watachezea..tena spana malaya! Hatutaki ujinga sisi, kwani Mungu alisemaje eti, sisi ni vichwa, kichwa gani kikasonga ugali na kuanza kutoa makamasi jikoni😂😂😂
 
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!

Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!

Chakula cha mke kitamu ukikua utaelewa
 
Mwanamke kitamaduni zetu za asili anakuwa ni deputy. Majukumu yake ni ku care household yake na welfare ya mume na watoto.

Kizungu mke ni partner tu ambaye anaishi na mume wakiwa wamezaa watoto! Mume ndio slave wa kubeba majukumu yote ndani mke na watoto. Mwanamke yeye hafanyi lolote yupo kwa ajili ya kulalamika anateswa tu!
Facts
 
Hahahaha ukiwaambia hawa watu humu kuwa watoto wao wakioa watafurahia kukuta wanakunishwa nazi utaona watakavyo ng’aka!😅😅😅

Wamama wengi tu wivu wao utaskia mwanangu halagi maboga 😅 toka anakuwa huwa hayapendi we unampikiaje!?
Haha... Na hapo lazima wagombane na mkwe wake, halafu hapa anataka mtoto wa mwenzie afanye mambo ya ajabu, haikubaliki.
 
Back
Top Bottom