Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,607
Hakika tujadiliane kwa kina ili ambao bado hawajaoa wasirudie tulichofanya. Hakika kosea kujenga nyumba ila sio kuoa. Jamaa yangu alimuona mwanamke mrembo(30) akamuoa bila kuchunguza kilichokufanya asiolewe mpaka akagonga 30. Sasa anajuta mpaka namuonea huruma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app