Kwa sharti hilo acha nisivipate!! Ila kama Shetani anaweza kuwapa watu wake, naamini Mungu anaweza zaidi sana kuwabariki watu wake.
Sio kweli
Ndoufinyu wako wa akili ulipofikia, tafuta pesa ndugu yangu hao walijiwekeza saizi wanaenjoy, shetani anauwa hatoi utajiri Bali utajiri unatoka Kwa Mungu. Wabongo bhana ndomana mnaendelea kuwa makapuku tu
Namshangaa sana huyu mzee anazeeka vibaya, ujana umemtupa amejikuta hana kiwanja Wala urithiSio kweli
Kwa msaada wa mtandao japo sijaelfewa vizuri.kwanin hawajafunga vishikizo?
Shetani kwa mujibu wa maandiko ndio mkuu wa anga! Hatuna ukamilifu wa kimungu kuweza kuyakataa ya shetani katika uhalisia wake kwakuwa tumejawa na tamaa ulafi na ubinafsiKwa sharti hilo acha nisivipate!! Ila kama Shetani anaweza kuwapa watu wake, naamini Mungu anaweza zaidi sana kuwabariki watu wake.
Wamelazimishwa!! Hebu mmoja aamue kutembea badala ya kukimbia uone kitakachomtokea!! Rais wa Korea ya kaskazini (Kim) aliwahi kuamrisha mmoja wa makamanda wa ngazi ya juu auawe hadharani!! Kosa lake lilikuwa ni kusinzia wakati Rais anahutubia!! Na siyo kwamba alipigwa risasi, bali alipigwa bomu!!
Hiyo ni sehemu ya majukumu yako kikazi na wanalipwa kwa kazi hiyo na wengi wanaitamani sanaWamelazimishwa!! Hebu mmoja aamue kutembea badala ya kukimbia uone kitakachomtokea!! Rais wa Korea ya kaskazini (Kim) aliwahi kuamrisha mmoja wa makamanda wa ngazi ya juu auawe hadharani!! Kosa lake lilikuwa ni kusinzia wakati Rais anahutubia!! Na siyo kwamba alipigwa risasi, bali alipigwa bomu!!