Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,015
12,282
Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?

Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.

Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.

Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.

Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.

Maisha ya wa Haiti
CCO_Blog-Header_1200x630_PovertyinHaiti.jpg
the-vicious-circle-of-poverty-in-haiti-2.jpg
Aid-in-Haiti-.jpg
3360.jpg

Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln

GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700

GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)

GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)

Maisha ya wa Korea kusini
wp2328777.jpg
seoul-korea-wallpaper-2-5a90c96901cf76.45319258.jpg
thediplomat_2021-09-10-6.jpg
20210922000096_0.jpg
Untitled-683--1024px-1024--683px-2023-07-26T103216.985.jpg


Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion

GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709

GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)

GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)

Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.

Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.

wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k

Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.

ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.

HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI?
 
Kuna kifungu katika biblia kina sema watoto wa Nuhu walimchungulia baba yao wakati amelewa, mmoja akaanza kumcheka wawili wakaenda kumfunika, Kisha Nuhu alipopata ufahamu akatoa laana kwa huyu mtoto aliyekuwa anamcheka, ambaye Sasa inaoneka ni mtu mweusi kwamba atakuwa mtumwa wa wenzie. Kwa ujinga huu wa watu weusi inabidi tukubali tu maandishi ya kwenye bible.
 
Mwafrika ni mwafrika haijalishi yuko wapi. Ona hata black Americans. Sisi tunapenda sana lawama. Maisha wanayoishi ya kimbwa mbwa halafu baadae lawama nyingi.
Na mkuu acha kulinganisha south korea na mambo ya kipuuzi walau ungeiringanisha na south africa
Inasikitisha sana sisi kubadilika ni ngumu sana sijui tuna matatizo gani?
 
Kuna kifungu katika biblia kina sema watoto wa Nuhu walimchungulia baba yao wakati amelewa , mmoja akaanza kumcheka wawili wakaenda kumfunika, Kisha Nuhu alipopata ufahamu akatoa laana kwa huyu mtoto aliyekuwa anamcheka, ambaye Sasa inaoneka ni mtu mweusi kwamba atakuwa mtumwa wa wenzie. Kwa ujinga huu wa watu weusi inabidi tukubali tu maandishi ya kwenye bible.
Inasikitisha kwa kweli kwa hali kama hizi tulizo nazo
 
Mwafrika ni mwafrika haijalishi yuko wapi. Ona hata black Americans. Sisi tunapenda sana lawama. Maisha wanayoishi ya kimbwa mbwa halafu baadae lawama nyingi.
Na mkuu acha kulinganisha south korea na mambo ya kipuuzi walau ungeiringanisha na south africa
Hakuna kitu sipendi kama nikiona kijana anaiga pigo za Black Americans, jamaa ni washamba hawajielewi, kesi zote za hovyo wapo... Hao hao wanamalizana wao kwa wao kila siku.

Aibu tupu hao jamaa.
 
Hakuna kitu sipendi kama nikiona kijana anaiga pigo za Black Americans ,jamaa ni washamba hawajielewi ,kesi zote za hovyo wapo ...Hao hao wanamalizana wao kwa wao kila siku.

Aibu tupu hao jamaa.
Halafu kutwa kulalamikia wazungu black lives matter.

Ni ngumu kukutana na watu wa Asia wanaoishi Marekani kulalamika wazungu hovyo hovyo wao wanapiga kazi wanapata elimu, pesa wanajazana tu kwenye makampuni makubwa kama wahindi, wachina.
 
Inasikitisha sana sisi kubadilika ni ngumu sana sijui tuna matatizo gani ?
Mkuu tatizo letu kubwa ni uongozi. Tukubali au tukatae, mtu mweusi kujiongoza hawezi. Tungekubali kuwa tuna hii weakness na tuitafutie solution tungefika mbali.

Na solution ingekuwa ni kuwaajiri ''wazungu'' nafasi zote za uongozi au nafasi muhimu watuongoze. Sisi tubaki kuwa wafanyakazi tu.

Naweza kuonekana kama mjinga kwa kujidharau mimi mwenyewe, lakini hakuna dharau mbaya kama hizi shida tunazopitia wakati tuna kila kitu hata kuwazidi mataifa makubwa.

Hebu ona South Africa. Imeendelea kwa sababu wazungu ndiyo walikuwa viongozi. Waafrika siyo kwamba hawakushiriki kwenye kuijenga, hapana. Walishiriki sana lakini hawakuwa kwenye nafasi za uongozi.
 
Mtu mweusi ni kama ana laana hivi, mfano juzi waziri anaulizwa hali ya uchumi anasema mambo ni shwari kwa sababu kila akitembea njiani anaona gari namba E pia watu wananchangia sana michango ya harusi, sasa kama hiyo ni akili ya mtu aliyepewa wadhifa wa kusimamia uchumi wa watu takribani milioni 60 na ni msomi wa kiwango cha Phd hao walio ishia kidato cha nne watakua na fikira gani??!! kuna maana nyingine ya laana zaidi ya hii kweli??????
Mimi binafsi ningezaliwa ngozi nyeupe ningejitenga na kuwabagua watu weusi kwa sababu inaonekana bado hawajamaliza process ya evolution na kuwa binadamu kamili
 
Halafu kutwa kulalmikia wazungu black lives matter.

Ni ngumu kukutana na watu wa Asia wanaoishi marekani kulalamika wazungu hovyo hovyo wao wanapiga kazi wanapata elimu,pesa wanajazana tu kwenye makampuni makubwa kama wahindi, wachina
Mwafika kulalamika ndiyo jadi yake. Na ukichunguza kwa makini kwenye hayo malalamiko yake yote mara nyingi ni yeye mwenye makosa.
 
Mkuu tatizo letu kubwa ni uongozi. Tukubali au tukatae, mtu mweusi kujiongoza hawezi. Tungekubali kuwa tuna hii weakness na tuitafutie solution tungefika mbali. Na solution ingekuwa ni kuwaajiri ''wazungu'' nafasi zote za uongozi au nafasi muhimu watuongoze. Sisi tubaki kuwa wafanyakazi tu. Naweza kuonekana kama mjinga kwa kujidharau mimi mwenyewe, lakini hakuna dharau mbaya kama hizi shida tunazopitia wakati tuna kila kitu hata kuwazidi mataifa makubwa. Hebu ona South Africa. Imeendelea kwa sababu wazungu ndiyo walikuwa viongozi. Waafrika siyo kwamba hawakushiriki kwenye kuijenga, hapana. Walishiriki sana lakini hawakuwa kwenye nafasi za uongozi.
Upo sahihi ifike muda tuambizane ukweli na tukubaliane na huo ukweli wenyewe hata kama una tuumiza.

Kuna mahali tunafeli pakubwa na sisi tunajifanya kutokukubalina na hali hiyo.
 
Mkuu tatizo letu kubwa ni uongozi. Tukubali au tukatae, mtu mweusi kujiongoza hawezi. Tungekubali kuwa tuna hii weakness na tuitafutie solution tungefika mbali. Na solution ingekuwa ni kuwaajiri ''wazungu'' nafasi zote za uongozi au nafasi muhimu watuongoze. Sisi tubaki kuwa wafanyakazi tu. Naweza kuonekana kama mjinga kwa kujidharau mimi mwenyewe, lakini hakuna dharau mbaya kama hizi shida tunazopitia wakati tuna kila kitu hata kuwazidi mataifa makubwa. Hebu ona South Africa. Imeendelea kwa sababu wazungu ndiyo walikuwa viongozi. Waafrika siyo kwamba hawakushiriki kwenye kuijenga, hapana. Walishiriki sana lakini hawakuwa kwenye nafasi za uongozi.
Mfano mzuri ni nchi iliyopakana na haiti, The Dominican Republic Ukizilinganisha ni mfano wa mbingu na ardhi
 
Mtu mweusi ni kama ana laana hivi, mfano juzi waziri anaulizwa hali ya uchumi anasema mambo ni shwari kwa sababu kila akitembea njiani anaona gari namba E pia watu wananchangia sana michango ya harusi, sasa kama hiyo ni akili ya mtu aliyepewa wadhifa wa kusimamia uchumi wa watu takribani milioni 60 na ni msomi wa kiwango cha Phd hao walio ishia kidato cha nne watakua na fikira gani??!! kuna maana nyingine ya laana zaidi ya hii kweli??????
Mimi binafsi ningezaliwa ngozi nyeupe ningejitenga na kuwabagua watu weusi kwa sababu inaonekana bado hawajamaliza process ya evolution na kuwa binadamu kamili
Kuna vitu vinatulazimisha sisi kubaguliwa kabisa
 
Hivi hawa wenzetu ndiyo Juzi nimeona taarifa Rais Ruto wa Kenya amesaini Mkataba wa kupeleka Jeshi lake Haiti kulinda amani!

Kama Nchi itakuwa kwenye vita na majanga ya asili mara Kwa mara ni vigumu kupiga hatua za maendeleo


Vita za watu weusi husababishwa na wao wenyewe.

Katika maisha mambo mengi mabaya huwa binadamu wanayachagua wenyewe
 
Back
Top Bottom