MWANA ileje
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 750
- 566
Daaaah very stupidy kwakweli hiyo midume haijielewHao jamaa ni stupid tu from the core!
Tumejaribu kusuluhisha hio migogoro na katika pande zote wanaume ndio wameonekana wapuuzi! Wanyakyusa wanajionaga smart katika kila kitu ila wame prove weakness in every angle of raising arguments and facts. Wako kama kondoo alilosema na kutaka mama au dada ndio hilo hilo ukoo mzima utafata hata kama ni upuuzi!
Hivi unaweza oa mke ukakaa nae kwa mamaako for 9 years huku yeye akikulisha wewe na mamaako?
Unaweza lipia mahari mchumba ukakaa nae kwako zaidi ya mwaka huku ukikwepa kumuoa kwa kiburi kwamba umemzalisha hatakuwa na pakwenda na unaspend mda mwingi kazini mkoa tofauti na ulipomuacha? Mbaya zaidi ukirudi huna time nae. Huyu jamaa alichanganyikiwa baada ya mke kusepa.
Hebu tetea bila kuwa biased!