ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,962
1 na 2 kwa pamoja.Namba 2 ndo jibu sahihi, wanawake wameshindwa kwenye ndoa zao, na wanaume wengi wameogopa ndoa. Upande wangu ndo sababu.
1 na 2 kwa pamoja.Namba 2 ndo jibu sahihi, wanawake wameshindwa kwenye ndoa zao, na wanaume wengi wameogopa ndoa. Upande wangu ndo sababu.
Kwa nini mwanaume huyo asilee mwanae?Hakuna mwanaume anataka mwanae kulelewa na baba mwingine ila circumstances ndio zinaanza hapo na kuongezeka kwa single mother.
Lakini wanapenda kupandikiza mimba?Wanaume wengi hawataki kuoa vimeo!
Wanawake wengi siku hizi hawajitambui. Wanaishi maisha fake na Ujuaji mwingi.
Hii 50/50 imewapotezea mwelekeo!
Linapofikia suala la kuoa mwanaume hata awe vipi ila huwa makini sana kwny kuchagua mke wa kuishi nae!
1 sijaiweka sababu inasema wanaogopa kutunza familia. Mtazamo wangu, hawaogopi tunza. Bali huogopa kelele za na migogoro za ndani ya ndoa.1 na 2 kwa pamoja.
Nilijua msimbe ni lugha ya kikabila.Wabongo tusivyopenda ukweli na kupenda maneno laini na matamu tamu utasikia single mother kumbe kwa kiswahili ni msimbe so sad
Unamaanisha wakiwa vyuoni? Kwa hili, vijana wa kiume hawastahili lawama ya kungoneka wakiwa masomoni?Pamoja na hoja zako nne hapo juu. Suala la elimu nalo linachangia ongezeko la single mothers kwani siku hizi mabinti wengi wanajikuta wanafikisha miaka 26 wakingali masomoni wakati siku za nyuma mabinti wengi waliolewa wakigali wadogo (15-20 yrs).
Hali hii, inasababisha kuanza ngono kabla ya ndoa na hivyo kuzaa kabla ya ndoa.
hahaaaaWabongo tusivyopenda ukweli na kupenda maneno laini na matamu tamu utasikia single mother kumbe kwa kiswahili ni msimbe so sad
kufilisika mkuuWqnawake wenyewe ndio kina joyce kiria unategemea nn
MaisHao uliowatag ni single mothers??
Mmh! Anamlalamikia mume hatekelezi majukumu ipasavyo.Wqnawake wenyewe ndio kina joyce kiria unategemea nn
Nini kifanyike kama Jamii?namba (2)
namba(3)
na
namba(4)
ndio majibu mujarabu kabisaa ya hiyo scenario yako mkuu ...kwa mantiki hii hali inatisha mnoo mkuu
Mume akifilisika kiuchumi wanasepa?kufilisika mkuu
Tumeambiwa hapo juu kuwa huzaa wakiwa vyuoni( 25 age).Wadada wengi wanajikadiriaga ukomo wa kuolewa, wakipita ule ukomo basi huamua kuzaa mtoto ili kujifariji walau ni mzima kiafya sio mgumba.