Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mother ndio wanaolewa sana katika karne hizi kuliko hao mnaowaona ndio wako royal
nimeshuhudia ndoa kama tatu nne hivi na still wamedumu na wanapendana sana

pia single mother sio kwamba walikuwa wanasoko then wakakosa soko umewapa tafasiri ya tofauti kabisaaa
nadhani ndio maana umekuwa na fikra kama hizo
but all in all ulilosema lipo ila ni kwa wale tunasema vicheche kama ulivyosema pia ni asilimia ndogo sana kwa ulilosema
pia say sorry to single mother hawapo namna hiyo unavyowapa tafasiri hiyo

nilipata mwanamke wa kwanza alijitegesha mimba nimuoe but msimamo ulikuwa nikwamba mimba sio kigezo aliolewa ana mtoto wa pili now
Nilipata mtoto wa kirangi huyu aliolewa na mimba yangu kabisaaa na mtu mwingin

but watoto niliwachukua so mimi pia ni sigle father ila uewanukuu vibaya sana kuna factors nyingi sana zinasababisha kuwa single mothers kama mbili hizo hapo juu
Single mother inapotokea shida kila mmoja anatamani kikumbia
Lakini walio lelewa na wazazi wore ikitokea shida wanatafuta mtu wakuwasaidia kifedha mwanafamilia hili maisha ya endelee .
Lkn single mother wengi hawakupata support toka kwa ndugu hasa kielimu .
Sasa mategemeo yao ni ndoa .Sasa uchumi ukifaili kila mtu anatamani kukimbia
 
Kwanza mi sidharau mtu in real life ukiacha hapa nyuma ya keyboard ila tu nimesema mambo mawili makubwa, Cha kwanza mimi siwezi binafsi na huu Ni msimamo wa wanaume wengi hata humu pitia nyuzi nyingi utagundua huu Ni msimamo wa wengi tu.

Pili,self fulfil prophesy ni kweli kabisa..

soma vzr coment yangu uelewe nilichosema mkuu,
mtazamo wako usitake uwe wa wote, kuna wengine wanawakandia masingle mother humu alafu ndo waliowaoa hao hao (nina ushahidi), wengine dada zao single mother, wengine mama zao single mother wamelelewa na huyo single mother mpaka leo wanajiita wanaume...

huo ni ukweli wako wewe na akili yako ndo inakuaminisha hivyo mkuu na fyi am a happy married with two beautiful kids so serve ur sorry for urself

note: a real and matured gentleman will never talk shit about single mother,
 
Kwanza mi sidharau mtu in real life ukiacha hapa nyuma ya keyboard ila tu nimesema mambo mawili makubwa, Cha kwanza mimi siwezi binafsi na huu Ni msimamo wa wanaume wengi hata humu pitia nyuzi nyingi utagundua huu Ni msimamo wa wengi tu.

Pili,self fulfil prophesy ni kweli kabisa..
Most of them wanaishi kwa kulalamika Sana .at ukimsomesha atakukimbia .wanaoongaza kupotezeana muda .ukijenga nae nyumba anapambana iuweze mugawanae
 
Kwanza mi sidharau mtu in real life ukiacha hapa nyuma ya keyboard ila tu nimesema mambo mawili makubwa, Cha kwanza mimi siwezi binafsi na huu Ni msimamo wa wanaume wengi hata humu pitia nyuzi nyingi utagundua huu Ni msimamo wa wengi tu.

Pili,self fulfil prophesy ni kweli kabisa..
Nimgumu naona unawakilisha maazimio yetu ya kikao.

Endelea mimi nitakuja kumalizia hapo baadaye.
 
sikubaliani cause Life is how you make it, too much negativisms you will not make it tangible.

Hata huyo politically null child, amechoropoa mara kibao,

Hata uoe bikra, siku hizi kuna artificial nyingi tu. wanakamulia ndimu au na maji yarangi

more importantly mnaelewana baaasi.
 
I love you...can u agree to https://jamii.app/JFUserGuide me freely....maana siyo kwa point hiyo.sure mekukubali
ninao wangu naye the same...... we fall inlove....get married......kuna tatizo?......tunasema single mothers dd they fucked themself..........????...wengi wameolewa na wana ndoa njema sana...
 
Umenikumbusha kisa cha muhindi mmoja alikuwa single father mwenye watoto wanne akaoa single mother mwenye watoto wanne halafu wakazaa watoto wanne siku moja mwanamke anarudi nyumbani akakuta watoto wake wanne na watoto wanne wa mume wake wanawapiga watoto wao wanne basi akampigia mumewe simu akimwabia

" MY HUSBAND COME HOME NOW BECAUSE MY CHILDREN AND UR CHILDREN ARE BEATING OUR CHILDREN "
" MY HUSBAND COME HOME NOW BECAUSE MY CHILDREN AND UR CHILDREN ARE BEATING OUR CHILDREN " hahahahah
 
Rate ya single parenting nadhani inaongezeka kila mwaka, sababu hasa ni nini? Tunapoelekea tutakuwa kama western world, wao kwa sasa wanaachana sana, ndoa zao hazidumu. Kwa nini kuna wanaume wanaona kuoa/kuishi na single mother ni mkosi au balaa?

Maisha ni vile utaamua wewe kuishi, unachokiona bora kwako, hakika kwa wengine hata hakina nafasi. Kila mtu aishi kwa mtazamo wake, ili mradi you're not interfering with others' life.
 
Umenikumbusha kisa cha muhindi mmoja alikuwa single father mwenye watoto wanne akaoa single mother mwenye watoto wanne halafu wakazaa watoto wanne siku moja mwanamke anarudi nyumbani akakuta watoto wake wanne na watoto wanne wa mume wake wanawapiga watoto wao wanne basi akampigia mumewe simu akimwabia

" MY HUSBAND COME HOME NOW BECAUSE MY CHILDREN AND UR CHILDREN ARE BEATING OUR CHILDREN "
hii kiboko 😂😂😂😂😂
 
Kuna kitu watu hawajui kuhusu wanawake...

Wanawake wanaheshimu sana Mwanaume mwenye options nyingi kwenye kila nyanja ya maisha..

Kama mwanaume anayependa kizezeta,hana kosa ila anatuma taarifa kwa mwanamke kwamba hana options which is bad sababu mwanamke ataanza kutafuta kasoro zako tena nyingine za kijinga tu.

Utashangaa anahudumia huyo sijui sababu mfupi,sijui sababu Ana pua kubwa sijui sababu hajui kutongoza,sijui sababu hajui mapenzi yaani yeye Anaamini mwanaume hawezi kukupa kila kitu labda kama Ana kasoro hivo anatafuta kasoro.. Wanawake Ni kama wameumbwa hawajiamini. Yes,ukipata mwanamke anayejiamini utapata raha sana coz unavyomuhudumia anajua huyu mtu ananithamini hivo anazidi kukuheshimu pata Hawa majority waliozoea drama zA kijinga halafu jaribu kumpa kila kitu uone atakavyo kuona bwege.

Single mothers wanaamini hawawezi kupendwa tena hivo wanaingia kwenye relationship kwa strategy na hapo ndo self fulfil prophesy inatokea..Imani inawaponza.Ila mwanaume timamu huwez oa single mother unless alikuwa na mume na mume kafa.Inauma sana ndo ukweli huu .mkiona mwanaume timamu anataka single mother anA psychological problem achunguzwe tu kwakweli,inaumaaaaaaa lakini kwel.

Tunapenda vitu fresh bikra,kigoli,hajatumika sana.Mi binafsi hata nikupendeje nikisikia una mtoto biashara inaishia hapo,sina mda kabisa nitakutania Tania tu na kubeba mwanao sababu napenda watoto
😂😂😂😂😂 hahah watakumaindii....But umeongea kitu sensible sana. Ukiwa huna options mwanamke atakusumbua sana na huo ndo ukweli unaofanya raia humu ndani wanashauri tutafte pesa tu.

Ukiwa na pesa inaaminika kwamba options zote zilizo mbele yako waweza kuziendea. Hamna namna mwanamke atakusumbua kama anajua una guts za kum replace ndani ya muda mchache tu.
 
Back
Top Bottom